Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Ujerumani yalikosoa Baraza la Usalama la UN, yasema limepooza na kudumaa

    Ujerumani yalikosoa Baraza la Usalama la UN, yasema limepooza na kudumaa

    Jun 30, 2020 02:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amelikosoa vikali Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa akisema limeshindwa kutekeleza majukumu yake.

  • Malalamiko ya Ujerumani kwa vitisho vya Marekani dhidi ya usalama wa nishati barani Ulaya

    Malalamiko ya Ujerumani kwa vitisho vya Marekani dhidi ya usalama wa nishati barani Ulaya

    Jun 15, 2020 08:00

    Baada ya Donald Trump kuingia katika Ikulu ya Marekani, White House, uhusiano wa Washington na Umoja wa Ulaya ikiwemo Ujerumani umevurugika na kufikia kiwango cha chini kabisa. Uhusiano huo umezidi kuwa mbaya baada ya Trump kuzungumzia suala la kuondoa wanajeshi wa Marekani huko Ujerumani.

  • Putin na Merkel wabainisha wasiwasi wao kufuatia kushtadi mapigano ya silaha huko Libya

    Putin na Merkel wabainisha wasiwasi wao kufuatia kushtadi mapigano ya silaha huko Libya

    Jun 10, 2020 07:50

    Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel wamesema kuwa wana wasiwasi kufuata kushtadi mapigano ya silaha huko Libya. Viongozi hao wawili wa Russia na Ujerumani wameeleza hayo katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu.

  • Amri ya Trump ya kupunguza idadi ya askari wa Marekani nchini Ujerumani

    Amri ya Trump ya kupunguza idadi ya askari wa Marekani nchini Ujerumani

    Jun 07, 2020 11:55

    Uhusiano wa Marekani na Ujerumani katika mtazamo mpana wa kupungua uhusiano kati ya nchi za Ulaya na Marekani umekumbwa na mvutano hasa baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump.

  • Kansela wa Ujerumani alaumiwa baada ya silaha za nchi hiyo kuonekana zikitumika Libya

    Kansela wa Ujerumani alaumiwa baada ya silaha za nchi hiyo kuonekana zikitumika Libya

    May 29, 2020 06:39

    Chama cha Kijani ambacho ni moja ya vyama vya upinzani nchini Ujerumani kimemshutumu Kansela wa nchi hiyo Angela Merkel kwa kutoheshimu marufuku ya Umoja wa Mataifa na kumtaka atoe ufafanuzi kuhusu kutumwa silaha za nchi hiyo kwa makundi hasimu nchini Libya.

  • Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    May 28, 2020 09:22

    Umoja wa Ulaya umekumbwa na changamoto nyingi tofauti hususan wakati huu wa mgogoro wa maambukizi ya corona. Hivi sasa bara la Ulaya limekumbwa na mgogoro ambao haujawahi kutokea barani humo. Si hayo tu, lakini mivutano iliyodhihiri zaidi ndani ya Umoja wa Ulaya wakati huu wa corona, ni msiba mwingine uliolikumba bara hilo na kuzidi kuonesha udhaifu wake katika nyuga tofauti hasa za kiafya na kiuchumi na utegemezi wa nchi hizo kwa mataifa mengine kama China.

  • Rais wa Ujerumani ataka ushirikiano wa wote katika kuwalinda Waislamu wa nchi hiyo

    Rais wa Ujerumani ataka ushirikiano wa wote katika kuwalinda Waislamu wa nchi hiyo

    May 24, 2020 02:52

    Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani sambamba na kutoa pongezi kwa mnasaba wa Sikukuu ya Idul-Fitr, ametaka wananchi wote washirikiane kwa ajili ya kuwalinda Waislamu wa nchi hiyo.

  • Jumamosi, 23 Mei, 2020

    Jumamosi, 23 Mei, 2020

    May 23, 2020 02:39

    Leo ni Jumamosi tarehe 29 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1441Hijria sawa na tarehe 23 Mei 2020 Miladia.

  • Ujerumani yalaumiwa kwa kutumia vibaya mgogoro wa Libya

    Ujerumani yalaumiwa kwa kutumia vibaya mgogoro wa Libya

    May 18, 2020 00:41

    Duru mbalimbali duniani zinailaumu Ujerumani kwa kuchochea mapigano nchini Libya na kutojali vikwazo na marufuku ya kutopeleka silaha katika nchi hiyo iliyoathiriwa vibaya na vita.

  • Vyama vya Siasa Tunisia vyalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    Vyama vya Siasa Tunisia vyalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    May 06, 2020 07:55

    Vyama vitano vya kisiasa nchini Tunisia vimelaani vikali hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiorodhesha Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kama kundi la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS