-
Nasrullah: Tangazo la Ujerumani dhidi ya Hizbullah ni kwa maslahi ya Wazayuni
May 05, 2020 02:48Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon sanjari na kulaani hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiita harakati hiyo ya muqawama kuwa ni kundi la kigaidi, amesisitiza kuwa serikali ya Berlin imeshindwa kuwasilisha ithibati yoyote ya kuyapa nguvu madai yake hayo.
-
Mshikamano wa muqawama Asia Magharibi dhidi ya uamuzi wa Ujerumani kuhusiana na Hizbullah ya Lebanon
May 03, 2020 07:29Mhimili wa muqawama katika eneo mla Asia Magharibi umechukua msimamo mmoja wa kulaani hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiita Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi.
-
Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah
May 02, 2020 10:52Vyama na makundi tofauti ya Lebanon, Syria na Palestina vimeitaja hatua ya Ujerumani ya kuitangaza Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni kusalimu amri kwa njia ya kujidhalilisha nchi hiyo ya Magharibi kwa amri za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni.
-
Jihadul-Islami na HAMAS zalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
May 02, 2020 03:30Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imelaani hatua ya Ujerumani ya kuiweka Hizbullah ya Lebanon kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kueleza kwamba hatua hiyo inadhihirisha upendeleo na uungaji mkono wa Berlin kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Jumanne tarehe 14 Aprili 2020
Apr 14, 2020 02:26Leo ni Jumanne tarehe 20 Shaabani 1441 Hijria sawa na Aprili 14 mwaka 2020.
-
Oparesheni ya nyuklia ya siri ya Marekani yafichuliwa katika ardhi ya Ujerumani
Apr 12, 2020 07:42Vyombo vya habari vimeripoti kufichuliwa oparesheni ya siri ya jeshi la Marekani iliyotekelezwa katika msimu wa mapukutiko mwaka uliopita wa 2019 nchini Ujerumani kwa lengo la kuboresha mabomu yake ya nyuklia 20.
-
Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU
Apr 01, 2020 09:41Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.
-
Corona yawaelemea Wazayuni, waomba msaada kwa Ujerumani, wakataliwa
Mar 30, 2020 02:26Baada ya wimbi la maambukizi ya corona kuukumba utawala wa Kizayuni wa Israel, viongozi wa utawala huo ghasibu wamekuwa wakihaha kutafuta msaada kila sehemu ikiwemo Ujerumani ambako Kansela wa nchi hiyo Angela Merkel amekataa kuisaidia Israel akisisitiza kuwa Ujerumani yenyewe ina upungufu wa vifaa.
-
Merkel: 60% hadi 70% ya Wajerumani huenda wakakumbwa na Corona
Mar 11, 2020 07:17Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amesema yumkini asilimia 60 hadi 70 ya jamii ya nchi hiyo ya Ulaya itaambukizwa virusi vya Corona.
-
Theluthi mbili ya Wajerumani hawataki Angela Merkel awanie tena Ukansela
Feb 23, 2020 07:15Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Ujerumani yanaonyesha kuwa theluthi mbili ya Wajerumani hawataki Kansela wa nchi hiyo Bi Angela Merkel awanie tena wadhifa huo.