-
Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu
Feb 22, 2020 07:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amewataka viongozi wa Saudi Arabia wafanyie marekebisho sheria zao na wachunge haki za binadamu.
-
Wajerumani waandamana kupinga mashambulizi ya kibaguzi ya Hanau, ulinzi wazidishwa kwenye misikiti
Feb 22, 2020 03:41Maelfu ya Wajerumani wamefanya maandamano katika miji kadhaa ya nchi hiyo wakilaani mashambulizi ya kibaguzi yaliyotokea katika eneo la Hanau lililoko karibu ya mji wa Frankfurt.
-
Watu tisa wapigwa risasi na kuuawa katika hujuma ya kigaidi Ujerumani
Feb 20, 2020 12:12Watu tisa wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi mjini Hanau magharibi mwa Ujerumani iliyotokea Jumatano usiku.
-
Mkutano wa Usalama wa Munich waanza ukiwa umegubikwa na ukosefu wa usalama ulimwenguni
Feb 15, 2020 04:14Mkutano wa Usalama wa Munich "Munich Security Conference" (MSC) ulianza jana Ijuumaa nchini Ujerumani ambapo takribani viongozi 35 wa mataifa ya dunia na karibu Mawaziri 100 wa Mashauri ya Kigeni wanashihiriki mkutano huo.
-
Ujerumani yafuata nyendo za Marekani katika hatua za kigaidi dhidi ya Uislamu
Jan 27, 2020 04:27Serikali ya Ujerumani imeifuata nyendo za kigaidi za serikali ya Marekani kwa kufunga kituo cha Kiislamu cha mjini Hamburg ambacho kiliendesha marasimu ya kumuenzi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC.
-
Ujerumani yatahadharisha kuhusu kuanza tena mashambulizi ya kundi la Daesh
Jan 25, 2020 03:13Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ametahadharisha kuwa, kuna uwezekano kundi la kigaidi la Daesh likaanza tena kutekeleza vitendo vyake vya kigaidi.
-
Ujerumani: Wasioheshimu usimamishaji vita Libya wasusiwe
Jan 24, 2020 06:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi zinazopakana na Libya huko Algiers, mji mkuu wa Algeria kwamba, wale wote wasioheshimu usitishaji vita nchini Libya inabidi wawekewe vikwazo za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA
Jan 11, 2020 04:51Umoja wa Ulaya sambamba na nchi tatu za Ulaya za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zinazojulikana kama Troika ya Ulaya, ni waungaji mkono wa mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Ripoti: Idadi ya watu waliofariki dunia kwa Ebola DRC imefikia 2,231
Dec 30, 2019 07:29Idadi ya watu waliofariki dunia kwa maradhi ya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeongezeka na kufikia 2,231.
-
Ujerumani yaituhumu harakati ya muqawama ya Lebanon
Dec 20, 2019 01:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani sambamba na siasa za White House ametoa matamshi yasiyo na msingi wowote dhidi ya Hizbullah na kuituhumu harakati hiyo ya muqawama ya Lebanon kuwa ni ya kigaidi.