Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu

    Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu

    Feb 22, 2020 07:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amewataka viongozi wa Saudi Arabia wafanyie marekebisho sheria zao na wachunge haki za binadamu.

  • Wajerumani waandamana kupinga mashambulizi ya kibaguzi ya Hanau, ulinzi wazidishwa kwenye misikiti

    Wajerumani waandamana kupinga mashambulizi ya kibaguzi ya Hanau, ulinzi wazidishwa kwenye misikiti

    Feb 22, 2020 03:41

    Maelfu ya Wajerumani wamefanya maandamano katika miji kadhaa ya nchi hiyo wakilaani mashambulizi ya kibaguzi yaliyotokea katika eneo la Hanau lililoko karibu ya mji wa Frankfurt.

  • Watu tisa wapigwa risasi na kuuawa katika hujuma ya kigaidi Ujerumani

    Watu tisa wapigwa risasi na kuuawa katika hujuma ya kigaidi Ujerumani

    Feb 20, 2020 12:12

    Watu tisa wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi mjini Hanau magharibi mwa Ujerumani iliyotokea Jumatano usiku.

  • Mkutano wa Usalama wa Munich waanza ukiwa umegubikwa na ukosefu wa usalama ulimwenguni

    Mkutano wa Usalama wa Munich waanza ukiwa umegubikwa na ukosefu wa usalama ulimwenguni

    Feb 15, 2020 04:14

    Mkutano wa Usalama wa Munich "Munich Security Conference" (MSC) ulianza jana Ijuumaa nchini Ujerumani ambapo takribani viongozi 35 wa mataifa ya dunia na karibu Mawaziri 100 wa Mashauri ya Kigeni wanashihiriki mkutano huo.

  • Ujerumani yafuata nyendo za Marekani katika hatua za kigaidi dhidi ya Uislamu

    Ujerumani yafuata nyendo za Marekani katika hatua za kigaidi dhidi ya Uislamu

    Jan 27, 2020 04:27

    Serikali ya Ujerumani imeifuata nyendo za kigaidi za serikali ya Marekani kwa kufunga kituo cha Kiislamu cha mjini Hamburg ambacho kiliendesha marasimu ya kumuenzi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC.

  • Ujerumani yatahadharisha kuhusu kuanza tena mashambulizi ya kundi la Daesh

    Ujerumani yatahadharisha kuhusu kuanza tena mashambulizi ya kundi la Daesh

    Jan 25, 2020 03:13

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ametahadharisha kuwa, kuna uwezekano kundi la kigaidi la Daesh likaanza tena kutekeleza vitendo vyake vya kigaidi.

  • Ujerumani: Wasioheshimu usimamishaji vita Libya wasusiwe

    Ujerumani: Wasioheshimu usimamishaji vita Libya wasusiwe

    Jan 24, 2020 06:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema katika kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi zinazopakana na Libya huko Algiers, mji mkuu wa Algeria kwamba, wale wote wasioheshimu usitishaji vita nchini Libya inabidi wawekewe vikwazo za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA

    Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA

    Jan 11, 2020 04:51

    Umoja wa Ulaya sambamba na nchi tatu za Ulaya za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zinazojulikana kama Troika ya Ulaya, ni waungaji mkono wa mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Ripoti: Idadi ya watu waliofariki dunia kwa Ebola DRC imefikia 2,231

    Ripoti: Idadi ya watu waliofariki dunia kwa Ebola DRC imefikia 2,231

    Dec 30, 2019 07:29

    Idadi ya watu waliofariki dunia kwa maradhi ya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeongezeka na kufikia 2,231.

  • Ujerumani yaituhumu harakati ya muqawama ya Lebanon

    Ujerumani yaituhumu harakati ya muqawama ya Lebanon

    Dec 20, 2019 01:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani sambamba na siasa za White House ametoa matamshi yasiyo na msingi wowote dhidi ya Hizbullah na kuituhumu harakati hiyo ya muqawama ya Lebanon kuwa ni ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS