-
Ulaya yapinga ombi la Trump la kujiondoa JCPOA
Jan 11, 2020 01:21Umoja wa Ulaya sambamba na nchi tatu za Ulaya za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zinazojulikana kama Troika ya Ulaya, ni waungaji mkono wa mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Ripoti: Idadi ya watu waliofariki dunia kwa Ebola DRC imefikia 2,231
Dec 30, 2019 03:59Idadi ya watu waliofariki dunia kwa maradhi ya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeongezeka na kufikia 2,231.
-
Ujerumani yaituhumu harakati ya muqawama ya Lebanon
Dec 19, 2019 21:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani sambamba na siasa za White House ametoa matamshi yasiyo na msingi wowote dhidi ya Hizbullah na kuituhumu harakati hiyo ya muqawama ya Lebanon kuwa ni ya kigaidi.
-
Kushtakiwa Ujerumani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kwa kuiuzia silaha Saudia
Dec 18, 2019 23:01Kuendelea vita vya Yemen na kuuawa maelfu ya raia wa nchi hiyo katika vita hivyo, kumezipelekea baadhi ya asasi na mashirika ya haki za binaadamu kukosoa vikali siasa mbovu na hatua za nchi za Ulaya ikiwemo ya kuuzia silaha muungano vamizi wa Saudia unaoongoza vita hivyo dhidi ya Yemen.
-
Nchi za Magharibi zinatumia vibaya suala la haki za binadamu kwa kisingizio cha kutetea watu
Dec 13, 2019 23:32Abbas Musawi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amelaani msimamo wa hivi karibuni wa Heiko Maas, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani wa kutumia kisiasa matukio na ghasia za hivi karibuni nchini Iran.
-
Mousavi: Matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani yanangilia mambo ya ndani ya Iran
Dec 13, 2019 09:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani akisema kuwa matamshi kama hayo yanayoingilia masuala ya ndani ya Iran hayaweza kuficha makosa ya baadhi ya nchi za Ulaya ya kutotekeleza majukumu yao katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na misimamo yao isiyo sawa kuhusiana na ugaidi wa kiuchumi wa Marekani.
-
Watu wenye chuki watishia kulipua kwa bomu msikiti mjini Berlin, Ujerumani
Nov 26, 2019 01:09Viongozi wa msikiti wa Sehitlik mjini Berlin, mji mkuu wa Ujerumani wametangaza kwamba watu wenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu miongoni mwa makundi ya mrengo wa kulia na yenye misimamo ya kigaidi, wametishia kulipua kwa bomu msikiti huo.
-
Indhari ya Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani kuhusu kusambaratika NATO
Nov 12, 2019 04:27Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ni maarufu kwa kuibua utata, angali anaendelea kukosoa vikali Muungano wa Kijeshi wa Atlantiki ya Kaskazini (NATO) . Trump hasa anawakosoa wanachama wa bara Ulaya katika muungano huo kwa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi. Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani nao sasa pia wanafuata nyayo za Trump katika kuukosoa muungano wa kijeshi wa NATO.
-
Rais wa Ujerumani akosoa sera za kijuba za Marekani
Nov 11, 2019 03:35Siasa za kijuba na misimamo inayokiuka sheria za kimataifa ya Marekani imekuwa ikipingwa na kukosolewa na nchi nyingi duniani na hata washirika wa nchi hiyo barani Ulaya.
-
Jumamosi, 9 Novemba, 2019
Nov 08, 2019 23:45Leo ni Jumamosi tarehe 11 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1441 Hijria mwafaka na tarehe 9 Novemba 2019 Miladia.