-
Taarifa ya pamoja ya Kansela wa Ujerumani na Waziri Mkuu wa India kuhusu makubaliano ya JCPOA
Nov 03, 2019 04:21Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalikuwa natija ya juhudi za kidiplomasia na mazungumzo ya awamu kadhaa kati ya Iran na kundi la 5+1; hivi sasa yanakabiliwa na hatari kubwa kufuatia hatua ya Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano hayo na kutotekeleza ahadi nchi za Ulaya; hatua iliyokabiliwa na radiamali kali ya Iran ambayo pia imeamua kupunguza hatua kwa hatua uwajibikaji wake ndani ya makubaliano hayo.
-
Alkhamisi, tarehe 3 Oktoba, 2019
Oct 03, 2019 00:42Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Safar 1441 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2019.
-
Ujerumani: Hatukubali kufanywa wenzo wa kutekeleza siasa za Marekani dhidi ya Iran
Sep 25, 2019 04:18Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani sambamba na kuashiria kuwa nchi yake ni nchi huru inayojiamulia yenyewe mambo yake amesema kuwa, Berlin haiko tayari kuwa sehemu ya wenzo wa Marekani ya kutekeleza siasa zake za vikwazo vya kiwango cha juu kupindukia dhidi ya Iran.
-
Ujerumani yarefusha kwa miezi sita mingine marufuku ya silaha kwa Saudia
Sep 19, 2019 02:42Serikali ya Angela Merkel imeongeza kwa miezi mingine sita marufuku ya silaha zote za Ujerumani inazoziuzia Saudi Arabia licha ya miito inayotaka kulegezwa marufuku hiyo.
-
'Kushambuliwa vituo vya mafuta vya Saudia, kunabainisha udhaifu na kushindwa kwa Riyadh'
Sep 17, 2019 07:55Mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya Magharibi mwa Asia amekadhibisha madai yaliyotolewa kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imehusika katika shambulizi dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusema kuwa, shambulizi hilo kwenye taasisi hizo limeonyesha udhaifu na kushindwa kwa Wasaudi.
-
Mtazamo unaogongana wa Ulaya kuhusiana na JCPOA
Sep 10, 2019 02:44Licha ya kuwa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ( Ujerumani, Ufaransa na Uingrereza) zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 zimekuwa zikisisitiza mara kwa mara udharura wa kulindwa mapatano ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), lakini hazijaweza kuwasilisha rekodi nzuri ya utendaji wao katika uwanja huo.
-
Mahmoud Abbas: Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani Mashariki ya Kati
Aug 30, 2019 22:14Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Sisitizo la Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia na Ujerumani juu ya kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Aug 23, 2019 02:50Baada ya Marekani kujiondoa kinyamela katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) Mei mwaka jana, kinyume na matarajio ya Washington ambayo ilitaka nchi zingine wanachama wa kundi la 5+1 nazo zichukue uamuzi kama wake, mataifa hayo ikiwemo Russia na Ujerumani yalisisitiza juu ya kuendelea kubakishwa makubaliano hayo ya kimataifa yaliyokuwa yamepata baraka kamili za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mkuu wa Instex ajiuzulu, sababu, kuikosoa Israel
Aug 09, 2019 02:29Gazeti la Bild linalochapishwa nchini Ujerumani limeripoti kuwa mkuu wa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya, kwa kifupi INSTEX, Bernd Erbel amejiuzulu wadhifa huo.
-
Ujerumani yapinga kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Ghuba ya Ujemi
Jul 31, 2019 06:39Kudhihiri mivutano katika eneo la Ghuba ya Ujemi kutokana na kuongezeka uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo hili lenye umuhimu wa kistratijia na vilevile kukamatwa meli ya Uingereza na wanajeshi wa Iran kutokana na kukiuka kwake wazi wazi sheria za usafiri wa baharini, kumezipelekea Washington na London kujaribu kubuni muungano wa baharini kwa madai ya kulinda usalama wa safari za meli katika eneo hilo.