-
Kansela wa Ujerumani asisitizia ulazima wa kuacha kuiuzia silaha Libya
Jul 11, 2019 04:01Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesisitiza kupatikana njia ya kidiplomasia kwa ajili ya kuutatua mgogoro wa Libya na kuitolea wito jamii ya kimataifa kuacha kuiuzia silaha nchi hiyo.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria
Jul 09, 2019 08:18Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.
-
Kansela wa zamani wa Ujerumani akosoa vikali siasa za uharibifu za Trump
Jul 07, 2019 07:25Kansela wa zamani wa Ujerumani amekosoa siasa zinazotekelezwa na Rais wa Marekani na kuituhumu Washington kuwa inafanya juhudi za kusambaratisha mfumo wa uchumi duniani.
-
Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka "Shahidi wa Hijabu" Marwa el Sherbini
Jul 07, 2019 03:02Wanaharakati wa Ujerumani leo Jumapili wanahitimisha warsha zilizoanza Jumatatu iliyopita za kukumbuka mauaji ya mwanamke Mwislamu, Marwa el-Sherbini aliyeuawa kwa kudungwa kisu mara kadhaa ndani ya ukumbi wa mahakama ya mji wa Dresden nchini Ujerumani.
-
Ukandamizaji dhidi ya watoto Ujerumani, zaidi ya 130 wauawa
Jul 05, 2019 02:23Idara ya masuala ya jinai nchini Ujerumani imetangaza kwamba, zaidi ya watoto 130 wameuawa kutokana na ukatili wa ndani ya familia nchini humo.
-
Rais Rouhani: Kamwe Iran haitotumbukia katika mkwamo kwa sababu ya mashinikizo
Jun 10, 2019 17:19Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuashiria kwamba hatua ya Marekani ya kujiondoa katika matapatano ya nyuklia ya JCPOA haikuwa na matokeo mengine ghairi ya taathira hasi kwenye mahusiano na usalama wa nchi za eneo, amesisitiza kwamba kamwe nchi hii haitotumbukia kwenye mkwamo kupitia mashhinikizo.
-
Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi
Jun 10, 2019 11:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."
-
Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini kuhusu JCPOA
May 28, 2019 03:12Umoja wa Ulaya na troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza daima imekuwa ikidai kuwa inaunga mkono mapatano ya nyuklia na Iran maarufu kwa jina la JCPOA na kwmba nchi hizo zimekuwa zikisisitizia muda wote umuhimu wa kutekelezwa kivitendo mapatano hayo.
-
Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA
May 22, 2019 09:48Mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA yalifikiwa mwezi Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1 lililojumuisha nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Russia, China pamoja na Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Mapatano hayo yalianza kutekelezwa mwezi Januari 2016.
-
Russia, Ujerumani na Ufaransa zasisitiza kuwa JCPOA lazima ilindwe
May 22, 2019 08:16Viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa wamesisitizia haja ya kubakishwa hai na kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, huku wakibainisha kuwa nchi zao zinafanya kila linalowezekana kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, licha ya Marekani kuchukua hatua ya upande mmoja ya kujiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa.