-
Jumanne tarehe 30 Julai mwaka 2019
Jul 29, 2019 21:56Leo ni Jumanne tarehe 27 Dhulqaada 1440 Hijria inayosadifiana na Julai 30 mwaka 2019.
-
Heiko Maas asisitiza udharura wa kufanya mazungumzo na Iran
Jul 27, 2019 02:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa kuna udharura wa kufanya mazungumzo na Iran. Maas ameyasema hayo katika mazungumzo kwa njia ya simu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani Mike Pompeo.
-
Ujerumani yahimiza kuundwa umoja wa nchi za Ulaya wa kuwaokoa wakimbizi
Jul 13, 2019 21:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amesema kuwa kuna ulazima wa kuundwa umoja wa nchi za Ulaya kwa ajili ya kuwaokoa wakimbizi na kutoa mchango wa kimsingi Berlin katika jukumu hilo.
-
Kansela wa Ujerumani asisitizia ulazima wa kuacha kuiuzia silaha Libya
Jul 10, 2019 23:31Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesisitiza kupatikana njia ya kidiplomasia kwa ajili ya kuutatua mgogoro wa Libya na kuitolea wito jamii ya kimataifa kuacha kuiuzia silaha nchi hiyo.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria
Jul 09, 2019 03:48Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.
-
Kansela wa zamani wa Ujerumani akosoa vikali siasa za uharibifu za Trump
Jul 07, 2019 02:55Kansela wa zamani wa Ujerumani amekosoa siasa zinazotekelezwa na Rais wa Marekani na kuituhumu Washington kuwa inafanya juhudi za kusambaratisha mfumo wa uchumi duniani.
-
Wanaharakati wa Ujerumani wamkumbuka "Shahidi wa Hijabu" Marwa el Sherbini
Jul 06, 2019 22:32Wanaharakati wa Ujerumani leo Jumapili wanahitimisha warsha zilizoanza Jumatatu iliyopita za kukumbuka mauaji ya mwanamke Mwislamu, Marwa el-Sherbini aliyeuawa kwa kudungwa kisu mara kadhaa ndani ya ukumbi wa mahakama ya mji wa Dresden nchini Ujerumani.
-
Ukandamizaji dhidi ya watoto Ujerumani, zaidi ya 130 wauawa
Jul 04, 2019 21:53Idara ya masuala ya jinai nchini Ujerumani imetangaza kwamba, zaidi ya watoto 130 wameuawa kutokana na ukatili wa ndani ya familia nchini humo.
-
Rais Rouhani: Kamwe Iran haitotumbukia katika mkwamo kwa sababu ya mashinikizo
Jun 10, 2019 12:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuashiria kwamba hatua ya Marekani ya kujiondoa katika matapatano ya nyuklia ya JCPOA haikuwa na matokeo mengine ghairi ya taathira hasi kwenye mahusiano na usalama wa nchi za eneo, amesisitiza kwamba kamwe nchi hii haitotumbukia kwenye mkwamo kupitia mashhinikizo.
-
Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi
Jun 10, 2019 07:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."