-
Ukosoaji wa Jumuiya ya Kiarabu (Arab League) dhidi ya uamuzi wa Ujerumani kuhusu BDS
May 21, 2019 04:42Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imeukosoa uamuzi wa serikali ya Ujerumani wa kupiga marufuku nchini humo shughuli za Harakati ya Kimataifa ya Kuususia Utawala haramu wa Israel BDS na kusema kuwa uamuzi huo si wa kisheria.
-
Sisitizo la Ujerumani la kutokuwa na natija siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi" za Donald Trump dhidi ya Iran
May 19, 2019 07:04Rais Donald Trump wa Marekani iwe ni katika kipindi cha kampeni zake za uchaguzi au baada ya kuingia katika ikulu ya White House Januari 2017, ametanguliza mbele mkondo wa siasa za kutaka kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kwa mara nyingine EU yapinga siasa za Marekani kuhusu Iran
May 19, 2019 01:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani kwa mara nyingine amesisitiza kuwa Umoja wa Ulaya unapinga siasa za Marekani dhidi ya Iran na kusema kuwa siasa hizo za kiuadui hazisaidii chochote.
-
China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran
May 08, 2019 13:50Russia, China, Ufaransa na Ujerumani ambazo ni katika nchi tano zilizosalia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA zimetoa radimali kufuatia uamuzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kusimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano hayo, ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.
-
Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019
Apr 17, 2019 11:10Leo ni Jumatano tarehe 11 Sha'aban 1440, Hijiria, sawa na tarehe 17 Aprili 2019 Miladia.
-
Ndege ya misaada ya kibinadamu ya Ujerumani yawasili nchini Iran
Apr 05, 2019 07:21Balozi wa Ujerumaini nchini Iran ametangaza habari ya kuwasili ndege ya nchi hiyo yenye misaada ya kibinadamu kwa ajili ya wahanga wa mafuriko nchini Iran.
-
Naibu Spika wa Ujerumani ataka balozi wa Marekani nchini humo afukuzwe
Mar 20, 2019 02:32Naibu Spika wa Bunge la Ujerumani ametoa mwito wa kutimuliwa nchini humo balozi wa Marekani kutokana na kile alichokitaja kuwa uingiliaji wake wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Ulaya.
-
Alkhamisi tarehe 14 Machi 2019
Mar 14, 2019 02:32Leo ni Alkhamisi tarehe 7 Rajab 1440 Hijria sawa na Machi 14 mwaka 2019.
-
Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo
Mar 05, 2019 02:44Matokeo ya uchunguzi mpya yanaonyesha kwamba akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono kujengwa misikiti nchini humo.
-
Uchunguzi: Wakristo wengi wamedhoofika kiimani kutokana na vitendo vichafu vya makasisi
Mar 04, 2019 02:39Uchunguzi wa maoni uliofanywa na gazeti moja la nchini Ujerumani umefichua kuwa, kashfa za kimaadili za viongozi na makasisi wa Kanisa Katoliki vimedhoofisha mno imani za Wakristo nchini humo na kuwafanya wapuuze kwenda makanisani.