-
Waziri wa Mambo ya Uingereza: Kulindwa JCPOA ni nukta muhimu katika uhusiano wa nchi hiyo na Ujerumani
Feb 21, 2019 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JPOA ni moja ya nukta muhimu katika uhusiano kati ya London na Berlin baada ya Uingereza kuondoka ndani ya Umoja wa Ulaya.
-
Marekani yapinga kushirikishwa Russia katika utatuzi wa masuala mbalimbali ya kimataifa
Feb 18, 2019 06:30Katika fremu ya nara yake ya "Marekani Kwanza" inayotoa kipaumbele kwa maslahi ya Marekani na kupuuza maslahi ya nchi nyingine duniani, Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa siasa za kuchukua maamuzi za upande mmoja na za kibinafsi za Washington zitazidisha nguvu za nchi hiyo dhidi ya wapinzani wake.
-
Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao
Jan 17, 2019 07:48Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.
-
Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani
Dec 28, 2018 06:27Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa, nchi hiyo itajiondoa katika mkataba wa makombora ya nyuklia ya masafa ya kati maarufu kwa kifupi kwa jina la INF.
-
Ujerumani yapinga kuwekwa silaha za nyuklia za Marekani katika ardhi yake
Dec 27, 2018 06:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema kuwa Berlin inapinga suala la kuwekwa silaha za masafa ya kati za nyuklia za Marekani katika ardhi yake.
-
Vyuo Vikuu vya Ujerumani kuanza kutumia mafunzo ya Qurani
Dec 26, 2018 02:40Akademia ya Uislamu katika Sayansi na Jamii ya Chuo Kikuu cha Goethe nchini Ujerumani imeunda makundi mawili ya utafiti kwa lengo la kubuni mfumo wa kidijitali wa kuhifadhi maelezo na uchambuzi wa Qurani Tukufu na 'Sheria za Qurani'.
-
Ripoti ya Wizara: Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani vimeongezeka mno
Dec 13, 2018 15:08Gazeti la Neue Osnabrücker Zeitung la Ujerumani limeripoti kuwa, kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi hiyo, vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vimeongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Ujerumani yapinga kuongezwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Russia
Dec 09, 2018 02:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini amegusia mapigano ya hivi karibuni baina ya Russia na Ukraine na kusema kuwa suala la kuongeza vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Moscow haliingii akilini.
-
Ujerumani kuvutia miradi zaidi ya sekta binafsi barani Afrika na kwingineko katika uga wa tabianchi
Dec 03, 2018 15:31Gerd Mueller Waziri wa Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo wa Ujerumani amesema kuwa wiki hii nchi hiyo itaweka wazi ubunifu wake katika mazungumzo ya Umoja wa Mataifa kuhusu mabadliko ya tabianchi kwa ajili ya kuvutia miradi zaidi ya uwekezaji wa sekta binafsi barani Afrika na kwingineko.
-
Ujerumani yataka muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa urekebishwe
Nov 27, 2018 02:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitizia ulazima wa kufanyiwa marekebisho muundo wa idadi ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.