-
Alkhamisi tarehe 14 Machi 2019
Mar 13, 2019 23:02Leo ni Alkhamisi tarehe 7 Rajab 1440 Hijria sawa na Machi 14 mwaka 2019.
-
Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo
Mar 04, 2019 23:14Matokeo ya uchunguzi mpya yanaonyesha kwamba akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono kujengwa misikiti nchini humo.
-
Uchunguzi: Wakristo wengi wamedhoofika kiimani kutokana na vitendo vichafu vya makasisi
Mar 03, 2019 23:09Uchunguzi wa maoni uliofanywa na gazeti moja la nchini Ujerumani umefichua kuwa, kashfa za kimaadili za viongozi na makasisi wa Kanisa Katoliki vimedhoofisha mno imani za Wakristo nchini humo na kuwafanya wapuuze kwenda makanisani.
-
Waziri wa Mambo ya Uingereza: Kulindwa JCPOA ni nukta muhimu katika uhusiano wa nchi hiyo na Ujerumani
Feb 20, 2019 23:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JPOA ni moja ya nukta muhimu katika uhusiano kati ya London na Berlin baada ya Uingereza kuondoka ndani ya Umoja wa Ulaya.
-
Marekani yapinga kushirikishwa Russia katika utatuzi wa masuala mbalimbali ya kimataifa
Feb 18, 2019 03:00Katika fremu ya nara yake ya "Marekani Kwanza" inayotoa kipaumbele kwa maslahi ya Marekani na kupuuza maslahi ya nchi nyingine duniani, Rais Donald Trump wa Marekani anaamini kuwa siasa za kuchukua maamuzi za upande mmoja na za kibinafsi za Washington zitazidisha nguvu za nchi hiyo dhidi ya wapinzani wake.
-
Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao
Jan 17, 2019 04:18Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.
-
Upinzani wa Berlin dhidi ya kuwekwa makombora ya nyuklia ya Marekani nchini Ujerumani
Dec 28, 2018 02:57Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 20 Oktoba mwaka huu alitangaza kuwa, nchi hiyo itajiondoa katika mkataba wa makombora ya nyuklia ya masafa ya kati maarufu kwa kifupi kwa jina la INF.
-
Ujerumani yapinga kuwekwa silaha za nyuklia za Marekani katika ardhi yake
Dec 27, 2018 02:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema kuwa Berlin inapinga suala la kuwekwa silaha za masafa ya kati za nyuklia za Marekani katika ardhi yake.
-
Vyuo Vikuu vya Ujerumani kuanza kutumia mafunzo ya Qurani
Dec 25, 2018 23:10Akademia ya Uislamu katika Sayansi na Jamii ya Chuo Kikuu cha Goethe nchini Ujerumani imeunda makundi mawili ya utafiti kwa lengo la kubuni mfumo wa kidijitali wa kuhifadhi maelezo na uchambuzi wa Qurani Tukufu na 'Sheria za Qurani'.
-
Ripoti ya Wizara: Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani vimeongezeka mno
Dec 13, 2018 11:38Gazeti la Neue Osnabrücker Zeitung la Ujerumani limeripoti kuwa, kwa mujibu wa ripoti ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi hiyo, vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vimeongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya.