-
Muhammad; Jina pendwa na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Ujerumani
Dec 31, 2024 07:44Jina "Muhammad" limetangazwa kuwa ndilo jina pendwa na maarufu zaidi kwa watoto wa kiume katika miji ya Ujerumani ya Berlin na Brandenburg katika mwaka unaomalizika leo wa 2024.
-
Ripota Maalumu wa UN afichua nafasi ya Ujerumani na Marekani katika mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Dec 28, 2024 07:31Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu na Kupambana na Ugaidi amesema: Marekani na Ujerumani zinadhamini asilimia 99 ya silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel na inawezekana kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya nchi hizo.
-
Spiegel: Serikali ya Ujerumani imeidhinisha kutuma kiasi kikubwa cha silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Dec 26, 2024 06:50Jarida la Spiegel limetangaza kuwa serikali ya Ujerumani imeidhinisha kutumwa kiasi kikubwa cha silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendeza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda Gaza.
-
Ukatili wa kijinsia unazidi kuongezeka Kenya, matukio zaidi ya 7,000 yameripotiwa katika mwaka mmoja
Dec 25, 2024 06:54Kenya inakabiliwa na ongezeko la kutisha la ukatili wa kijinsia, baada ya kesi zaidi ya 7,100 kuripotiwa tangu Septemba 2023, ikiwa ni pamoja na mauaji 100 yaliyorekodiwa ya wanawake tangu Agosti mwaka huu. Hayo ni kwa mujibu wa rekodi za serikali.
-
Ujerumani; Kuanzia historia yake ya giza hadi kuunga mkono Israeli katika vita vya Gaza
Nov 28, 2024 09:01Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki ambachao kinazungumzia uungaji mkono usio na kikomo wa Ujerumani na kushirikiana kwake na utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Gaza.
-
Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake
Nov 02, 2024 07:41Kamal Kharrazi, Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Nje la Iran amesema, kuna muelekeo wa Jamhuri ya Kiislamu kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake, akionya kuwa Tehran inaweza kubadilisha mwongozo wake wa kijeshi iwapo itakabiliwa na kitisho cha kuhatarisha uwepo wake.
-
Kuongezeka uhasama na chuki dhidi ya Waislamu barani Ulaya
Oct 28, 2024 06:58Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya ukatili dhidi ya Waislamu katika nchi mbalimbali za Ulaya kumewatia wasiwasi viongozi wengi wa nchi za bara hilo juu ya matokeo ya mwenendo huo.
-
Alkhamisi, tarehe 3 Oktoba, 2024
Oct 03, 2024 02:16Leo ni Alkhamisi tarehe 29 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2024.
-
Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa
Aug 31, 2024 10:59Ujerumani imeviondoa vikosi vyake vya kijeshi kutoka nchi ya Niger katika eneo lenye machafuko la Sahel barani Afrika.
-
Ujerumani yakosolewa kwa kumfukuza mwanachuoni wa Kiislamu
Aug 30, 2024 02:42Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameikosoa vikali serikali ya Ujerumani kwa kumtimua nchini humo mwanachuoni mmoja mashuhuri wa Kiislamu.