Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati

    Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati

    Jul 11, 2018 08:13

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya nchi nyingine na miamala ya kibabe ya Marekani na utawala haramu wa Israel kuhusiana na Wapalestina ni mambo muhimu ambayo yamechangia mno kukosekana amani na uthabiti katika eneo la magharibi mwa Asia (Mashariki ya Kati)

  • Misri: Migogoro ya kieneo haiwezi kupatiwa ufumbuzi kwa mtutu wa bunduki

    Misri: Migogoro ya kieneo haiwezi kupatiwa ufumbuzi kwa mtutu wa bunduki

    Jul 05, 2018 07:33

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Misri amesema kuwa, nchi yake inafanya juhudi kubwa katika mwenendo wa kupatiwa ufumbuzi migogoro wa Syria na Libya na kusisitiza kwamba, migogoro inayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika ufumbuzi wake sio mtutu wa bunduki.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 40 + Sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 40 + Sauti

    Jun 16, 2018 16:14

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 40 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita

    Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita "mpumbavu"

    Jun 12, 2018 08:17

    Magazeti ya Ujerumani yamemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni mtu asiyejua mipaka yake wala asiye na mantiki na yamezitaka nchi zote za Ulaya kuacha kumfuata kiongozi huyo.

  • Wanasiasa wa Ujerumani wamjia juu balozi wa Marekani kwa kuingilia biashara za Berlin na Iran

    Wanasiasa wa Ujerumani wamjia juu balozi wa Marekani kwa kuingilia biashara za Berlin na Iran

    Jun 06, 2018 02:33

    Wanasiasa nchini Ujerumani wamemjia juu balozi wa Marekani mjini Berlin kwa matamshi yake ya kijuba yaliyo dhidi ya mashirika ya Ujerumani yanayoendesha shughuli zao nchini Iran.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti

    Jun 03, 2018 15:11

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 36 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 35 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 35 na sauti

    Jun 03, 2018 14:59

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 35 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA

    Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA

    May 30, 2018 03:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Berlin iko tayari kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran madhali Tehran itaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Jumatano, Mei 23 2018

    Jumatano, Mei 23 2018

    May 23, 2018 02:44

    Leo ni Jumatano tarehe saba Ramadhani mwaka 1439 Hijria, inayosadifiana na tarehe 23 Mei mwaka 2018 Miladia.

  • Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    May 11, 2018 08:14

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS