-
Dakta Kharrazi: Vitendo vya kibabe vya Marekani vimesababisha ukosefu wa usalama Mashariki ya Kati
Jul 11, 2018 08:13Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Iran amesema kuwa, uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya nchi nyingine na miamala ya kibabe ya Marekani na utawala haramu wa Israel kuhusiana na Wapalestina ni mambo muhimu ambayo yamechangia mno kukosekana amani na uthabiti katika eneo la magharibi mwa Asia (Mashariki ya Kati)
-
Misri: Migogoro ya kieneo haiwezi kupatiwa ufumbuzi kwa mtutu wa bunduki
Jul 05, 2018 07:33Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Misri amesema kuwa, nchi yake inafanya juhudi kubwa katika mwenendo wa kupatiwa ufumbuzi migogoro wa Syria na Libya na kusisitiza kwamba, migogoro inayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika ufumbuzi wake sio mtutu wa bunduki.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 40 + Sauti
Jun 16, 2018 16:14Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 40 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita "mpumbavu"
Jun 12, 2018 08:17Magazeti ya Ujerumani yamemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni mtu asiyejua mipaka yake wala asiye na mantiki na yamezitaka nchi zote za Ulaya kuacha kumfuata kiongozi huyo.
-
Wanasiasa wa Ujerumani wamjia juu balozi wa Marekani kwa kuingilia biashara za Berlin na Iran
Jun 06, 2018 02:33Wanasiasa nchini Ujerumani wamemjia juu balozi wa Marekani mjini Berlin kwa matamshi yake ya kijuba yaliyo dhidi ya mashirika ya Ujerumani yanayoendesha shughuli zao nchini Iran.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti
Jun 03, 2018 15:11Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 36 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 35 na sauti
Jun 03, 2018 14:59Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 35 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA
May 30, 2018 03:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Berlin iko tayari kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran madhali Tehran itaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Jumatano, Mei 23 2018
May 23, 2018 02:44Leo ni Jumatano tarehe saba Ramadhani mwaka 1439 Hijria, inayosadifiana na tarehe 23 Mei mwaka 2018 Miladia.
-
Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani
May 11, 2018 08:14Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.