-
Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita "mpumbavu"
Jun 12, 2018 03:47Magazeti ya Ujerumani yamemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni mtu asiyejua mipaka yake wala asiye na mantiki na yamezitaka nchi zote za Ulaya kuacha kumfuata kiongozi huyo.
-
Wanasiasa wa Ujerumani wamjia juu balozi wa Marekani kwa kuingilia biashara za Berlin na Iran
Jun 05, 2018 22:03Wanasiasa nchini Ujerumani wamemjia juu balozi wa Marekani mjini Berlin kwa matamshi yake ya kijuba yaliyo dhidi ya mashirika ya Ujerumani yanayoendesha shughuli zao nchini Iran.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti
Jun 03, 2018 10:41Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 36 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 35 na sauti
Jun 03, 2018 10:29Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 35 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA
May 29, 2018 23:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Berlin iko tayari kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran madhali Tehran itaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Jumatano, Mei 23 2018
May 22, 2018 22:14Leo ni Jumatano tarehe saba Ramadhani mwaka 1439 Hijria, inayosadifiana na tarehe 23 Mei mwaka 2018 Miladia.
-
Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani
May 11, 2018 03:44Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.
-
Balozi wa Marekani Ujerumani ajikuta matatani baada ya kutoa matamshi ya kiuhasama
May 10, 2018 01:55Matamshi ya kuingilia masuala ya ndani ya Ujerumani yaliyotolewa na balozi mpya wa Marekani nchini humo kuhusiana na kadhia ya Iran, yamekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.
-
Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump
May 07, 2018 20:54Nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zimetoa taarifa ya pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa zitaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kujali uamuzi wa Marekani.
-
Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA
May 07, 2018 02:27Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesisitiza kuwa, nchi yakke inaunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na Iran na pia udharura wa kubakishwa makubaliano hayo.