Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Balozi wa Marekani Ujerumani ajikuta matatani baada ya kutoa matamshi ya kiuhasama

    Balozi wa Marekani Ujerumani ajikuta matatani baada ya kutoa matamshi ya kiuhasama

    May 10, 2018 06:25

    Matamshi ya kuingilia masuala ya ndani ya Ujerumani yaliyotolewa na balozi mpya wa Marekani nchini humo kuhusiana na kadhia ya Iran, yamekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.

  • Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    May 08, 2018 01:24

    Nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zimetoa taarifa ya pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa zitaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kujali uamuzi wa Marekani.

  • Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    May 07, 2018 06:57

    Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesisitiza kuwa, nchi yakke inaunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na Iran na pia udharura wa kubakishwa makubaliano hayo.

  • Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi

    Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi

    Apr 23, 2018 04:39

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo kuu la Iran endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni kuanzisha tena shughuli za nyuklia za taifa hili zenye malengo ya amani lakini kwa kiwango cha juu na cha kisasa zaidi.

  • Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria

    Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria

    Apr 22, 2018 03:46

    Kinyume na serikali ya Ujerumani, bunge la nchi hiyo limelaani shambulizi la Marekani, Ufaransa na Uingereza dhidi ya Syria na kulitaja kuwa ni kukiuka sheria na mikataba ya kimataifa.

  • Kukiri Ujerumani nafasi muhimu ya Russia ulimwenguni

    Kukiri Ujerumani nafasi muhimu ya Russia ulimwenguni

    Apr 02, 2018 14:02

    Heiko Maas, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, amesema kuwa nchi yake inakaribisha mazungumzo na Russia kwa ajili ya kukomesha mgogoro uliojitokeza hivi sasa baina ya Moscow na nchi za Magharibi zikiongozwa na Uingereza.

  • Ujerumani yasisitizia umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia

    Ujerumani yasisitizia umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia

    Apr 01, 2018 17:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia.

  • Timuatimua ya wanadiplomasia kati ya Russia na madola ya Magharibi yaendelea, Ujerumani yakaribisha mazungumzo

    Timuatimua ya wanadiplomasia kati ya Russia na madola ya Magharibi yaendelea, Ujerumani yakaribisha mazungumzo

    Mar 31, 2018 07:31

    Huku hali ya kutimua wanadiplomasia kati ya madola ya Magharibi na Russia ikiendelea, serikali ya Ujerumani imesema kuwa inakaribisha mazungumzo na Moscow.

  • Kiongozi wa eneo la Catalani atiwa mbaroni Ujerumani

    Kiongozi wa eneo la Catalani atiwa mbaroni Ujerumani

    Mar 25, 2018 14:20

    Kiongozi wa zamani wa eneo la Catalani linalotaka kujitenga na Uhispania, Carles Puigdemont ametiwa mbaroni leo na polisi nchini Ujerumani kufuatia waranti wa kimataifa uliotolewa na Uhispania.

  • Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 23, 2018 07:57

    Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS