-
Balozi wa Marekani Ujerumani ajikuta matatani baada ya kutoa matamshi ya kiuhasama
May 10, 2018 06:25Matamshi ya kuingilia masuala ya ndani ya Ujerumani yaliyotolewa na balozi mpya wa Marekani nchini humo kuhusiana na kadhia ya Iran, yamekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.
-
Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump
May 08, 2018 01:24Nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zimetoa taarifa ya pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa zitaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kujali uamuzi wa Marekani.
-
Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA
May 07, 2018 06:57Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesisitiza kuwa, nchi yakke inaunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na Iran na pia udharura wa kubakishwa makubaliano hayo.
-
Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi
Apr 23, 2018 04:39Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo kuu la Iran endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni kuanzisha tena shughuli za nyuklia za taifa hili zenye malengo ya amani lakini kwa kiwango cha juu na cha kisasa zaidi.
-
Trump aendelea kukosolewa, bunge la Ujerumani lalaani shambulizi la Marekani dhidi ya Syria
Apr 22, 2018 03:46Kinyume na serikali ya Ujerumani, bunge la nchi hiyo limelaani shambulizi la Marekani, Ufaransa na Uingereza dhidi ya Syria na kulitaja kuwa ni kukiuka sheria na mikataba ya kimataifa.
-
Kukiri Ujerumani nafasi muhimu ya Russia ulimwenguni
Apr 02, 2018 14:02Heiko Maas, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, amesema kuwa nchi yake inakaribisha mazungumzo na Russia kwa ajili ya kukomesha mgogoro uliojitokeza hivi sasa baina ya Moscow na nchi za Magharibi zikiongozwa na Uingereza.
-
Ujerumani yasisitizia umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia
Apr 01, 2018 17:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kufanya mazungumzo na Russia.
-
Timuatimua ya wanadiplomasia kati ya Russia na madola ya Magharibi yaendelea, Ujerumani yakaribisha mazungumzo
Mar 31, 2018 07:31Huku hali ya kutimua wanadiplomasia kati ya madola ya Magharibi na Russia ikiendelea, serikali ya Ujerumani imesema kuwa inakaribisha mazungumzo na Moscow.
-
Kiongozi wa eneo la Catalani atiwa mbaroni Ujerumani
Mar 25, 2018 14:20Kiongozi wa zamani wa eneo la Catalani linalotaka kujitenga na Uhispania, Carles Puigdemont ametiwa mbaroni leo na polisi nchini Ujerumani kufuatia waranti wa kimataifa uliotolewa na Uhispania.
-
Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 23, 2018 07:57Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).