Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita

    Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita "mpumbavu"

    Jun 12, 2018 03:47

    Magazeti ya Ujerumani yamemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni mtu asiyejua mipaka yake wala asiye na mantiki na yamezitaka nchi zote za Ulaya kuacha kumfuata kiongozi huyo.

  • Wanasiasa wa Ujerumani wamjia juu balozi wa Marekani kwa kuingilia biashara za Berlin na Iran

    Wanasiasa wa Ujerumani wamjia juu balozi wa Marekani kwa kuingilia biashara za Berlin na Iran

    Jun 05, 2018 22:03

    Wanasiasa nchini Ujerumani wamemjia juu balozi wa Marekani mjini Berlin kwa matamshi yake ya kijuba yaliyo dhidi ya mashirika ya Ujerumani yanayoendesha shughuli zao nchini Iran.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti

    Jun 03, 2018 10:41

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 36 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 35 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 35 na sauti

    Jun 03, 2018 10:29

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 35 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA

    Ujerumani yaipigia magoti Iran, yaitaka isijiondoe JCPOA

    May 29, 2018 23:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Berlin iko tayari kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran madhali Tehran itaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Jumatano, Mei 23 2018

    Jumatano, Mei 23 2018

    May 22, 2018 22:14

    Leo ni Jumatano tarehe saba Ramadhani mwaka 1439 Hijria, inayosadifiana na tarehe 23 Mei mwaka 2018 Miladia.

  • Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    May 11, 2018 03:44

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.

  • Balozi wa Marekani Ujerumani ajikuta matatani baada ya kutoa matamshi ya kiuhasama

    Balozi wa Marekani Ujerumani ajikuta matatani baada ya kutoa matamshi ya kiuhasama

    May 10, 2018 01:55

    Matamshi ya kuingilia masuala ya ndani ya Ujerumani yaliyotolewa na balozi mpya wa Marekani nchini humo kuhusiana na kadhia ya Iran, yamekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.

  • Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    Troika ya Ulaya: Tutalinda makubaliano ya JCPOA bila kujali uamuzi wa Trump

    May 07, 2018 20:54

    Nchi tatu za Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zimetoa taarifa ya pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa zitaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kujali uamuzi wa Marekani.

  • Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    May 07, 2018 02:27

    Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesisitiza kuwa, nchi yakke inaunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na Iran na pia udharura wa kubakishwa makubaliano hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS