Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Msikiti mwingine washambuliwa kwa bomu nchini Ujerumani

    Msikiti mwingine washambuliwa kwa bomu nchini Ujerumani

    Mar 20, 2018 15:53

    Msikiti mmoja katika mji wa Ulm, kusini mwa Ujerumani umeshambuliwa kwa bomu na watu wasiojulikana, chini ya wiki mbili baada ya msikiti mwingine kuteketezwa kwa moto katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Ulaya, Berlin.

  • Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 16, 2018 06:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.

  • Wenye chuki dhidi ya Uislamu wachoma moto msikiti nchini Ujerumani

    Wenye chuki dhidi ya Uislamu wachoma moto msikiti nchini Ujerumani

    Mar 11, 2018 16:28

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa matukio ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu barani Ulaya, wavamizi wasiojulikana wameuteketeza moto msikiti mmoja katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin.

  • Jumatano tarehe 7 Machi 2018

    Jumatano tarehe 7 Machi 2018

    Mar 07, 2018 03:21

    Leo ni Jumatano 18 Jamadithani 1439 Hijria sawa na Machi 7, 2018.

  • Ujerumani yamkosoa Trump juu ya hatari ya vita vya kibiashara na EU

    Ujerumani yamkosoa Trump juu ya hatari ya vita vya kibiashara na EU

    Mar 07, 2018 03:12

    Msemaji wa Serikali ya Ujerumani ameikosoa Marekani juu ya uwezekano wa kutokea vita vya kibiashara kufuatia hatua ya Washington kuongeza kiwango cha ushuru wa forodha kwa bidhaa za Ulaya.

  • Karibu matukio 1,000 ya hujuma dhidi ya Waislamu yameorodheshwa Ujerumani mwaka 2017

    Karibu matukio 1,000 ya hujuma dhidi ya Waislamu yameorodheshwa Ujerumani mwaka 2017

    Mar 03, 2018 07:56

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imetangaza kuwa matukio yasiyopungua 950 ya hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu na taasisi za Kiislamu yaliorodheshwa nchini humo mwaka uliopita wa 2017.

  • Ukosoaji mkali wa upinzani nchini Ujerumani dhidi ya kuuziwa Saudia silaha zinazotumika kuua raia Yemen

    Ukosoaji mkali wa upinzani nchini Ujerumani dhidi ya kuuziwa Saudia silaha zinazotumika kuua raia Yemen

    Feb 25, 2018 13:09

    Mrengo wa upinzani nchini Ujerumani umekosoa vikali hatua ya nchi hiyo kuiuzia silaha za kisasa Saudi Arabia na washirika wake ambazo wanazitumia katika vita dhidi ya Yemen.

  • Mkutano wa Usalama wa mwaka huu wa Munich, muhimu na nyeti zaidi kuliko iliyopita

    Mkutano wa Usalama wa mwaka huu wa Munich, muhimu na nyeti zaidi kuliko iliyopita

    Feb 16, 2018 07:09

    Mkutano wa Usalama wa Munich "Munich Security Conference" (MSC) unatazamiwa kuanza leo tarehe 16 Februari nchini Ujerumani.

  • Idara ya usalama wa ndani ya Ujerumani yahofia kurejea nchini watoto wanachama wa Daesh

    Idara ya usalama wa ndani ya Ujerumani yahofia kurejea nchini watoto wanachama wa Daesh

    Feb 01, 2018 14:11

    Mkuu wa Idara ya Usalama wa Ndani ya Ujerumani ametahadharisha kuhusu hatari ya watoto na vijana wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh ambao wanarejea nchini humo kutoka maeneo yaliyoathiriwa na vita.

  • Ujerumani yaacha kuiuzia silaha Saudia na wavamizi wa Yemen

    Ujerumani yaacha kuiuzia silaha Saudia na wavamizi wa Yemen

    Jan 21, 2018 03:09

    Serikali ya Ujerumani imesitisha kuiuzia silaha Saudia na karibu waitifaki wenzake wote wanaoshiriki katika jinai dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS