Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 20 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 20 na sauti

    Jan 11, 2018 09:53

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 20 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • 'Kuna uwezekano wa kuingia Ujerumaini zaidi ya watoto 100 waliofundishwa na Daesh'

    'Kuna uwezekano wa kuingia Ujerumaini zaidi ya watoto 100 waliofundishwa na Daesh'

    Jan 08, 2018 16:02

    Duru za ndani ya bunge la Ujerumani zimefichua habari ya kuwepo uwezekano wa kuingia zaidi ya watoto 100 ambao wamefundishwa na makundi ya kigaidi na ukufurishaji hususan Daesh (ISIS) nchini Iraq na Syria.

  • Kuanza vita dhidi ya mitandao ya kijamii barani Ulaya

    Kuanza vita dhidi ya mitandao ya kijamii barani Ulaya

    Jan 04, 2018 08:08

    Kuanzia mwaka huu wa 2018 serikali ya Ujerumani inaanza kutekeleza sheria ambayo kwa mujibu wake mitandao ya kijamii yenye zaidi ya watumiaji milioni mbili italazimika kufuta posti na jumbe za mitandao ya kijamii zenye masuala yanayokiuka sheria hadi kufikia masaa 24 baada ya kupata habari za kuwepo jumbe kama hizo.

  • Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ataka kuongezewa muda vikosi vya nchi hiyo vilivyoko nje ya nchi

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ataka kuongezewa muda vikosi vya nchi hiyo vilivyoko nje ya nchi

    Dec 18, 2017 04:42

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ameomba kuongezewa muda wa mwaka mmoja vikosi vya nchi hiyo vilivyopo Afghanistan, Iraq na Mali.

  • Waziri wa Ujerumani: Uhusiano wa Ulaya na Marekani hautorudi tena katika zama za kabla ya Trump

    Waziri wa Ujerumani: Uhusiano wa Ulaya na Marekani hautorudi tena katika zama za kabla ya Trump

    Dec 05, 2017 15:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema, katika zama za urais wa Donald Trump nafasi ya nguvu za kisiasa za Marekani duniani si kama ilivyokuwa huko nyuma.

  • Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Nov 19, 2017 07:35

    Raia wa Ujerumani wameandamana katika mji mkuu wa nchi Berlin hiyo kulalamikia kuongezeka mivutano kati ya Marekani na Korea Kaskazini.

  • Kuongezeka mivutano ya kisiasa kati ya Ujerumani na Saudia

    Kuongezeka mivutano ya kisiasa kati ya Ujerumani na Saudia

    Nov 19, 2017 02:47

    Matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel dhidi ya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na majibu ya utawala huo vimezidisha mivutano kati ya nchi hizo mbili.

  • Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Nov 15, 2017 07:45

    Waziri mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE ameitaka Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya kudhibiti misikiti na makhatibu wa misikiti katika nchi zao kwa shabaha ya kuzuia uenezwaji wa misimamo mikali ya kufurutu ada.

  • Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi waanza  Ujerumani

    Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi waanza Ujerumani

    Nov 07, 2017 02:43

    Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi ulianza jana Jumatatu na utaendelea hadi tarehe 17 Novemba katika mji mwa Bonn nchini Ujerumani.

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 08:15

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS