-
Mkutano wa Usalama wa mwaka huu wa Munich, muhimu na nyeti zaidi kuliko iliyopita
Feb 16, 2018 03:39Mkutano wa Usalama wa Munich "Munich Security Conference" (MSC) unatazamiwa kuanza leo tarehe 16 Februari nchini Ujerumani.
-
Idara ya usalama wa ndani ya Ujerumani yahofia kurejea nchini watoto wanachama wa Daesh
Feb 01, 2018 10:41Mkuu wa Idara ya Usalama wa Ndani ya Ujerumani ametahadharisha kuhusu hatari ya watoto na vijana wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh ambao wanarejea nchini humo kutoka maeneo yaliyoathiriwa na vita.
-
Ujerumani yaacha kuiuzia silaha Saudia na wavamizi wa Yemen
Jan 20, 2018 23:39Serikali ya Ujerumani imesitisha kuiuzia silaha Saudia na karibu waitifaki wenzake wote wanaoshiriki katika jinai dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Yemen.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 20 na sauti
Jan 11, 2018 06:23Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 20 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
'Kuna uwezekano wa kuingia Ujerumaini zaidi ya watoto 100 waliofundishwa na Daesh'
Jan 08, 2018 12:32Duru za ndani ya bunge la Ujerumani zimefichua habari ya kuwepo uwezekano wa kuingia zaidi ya watoto 100 ambao wamefundishwa na makundi ya kigaidi na ukufurishaji hususan Daesh (ISIS) nchini Iraq na Syria.
-
Kuanza vita dhidi ya mitandao ya kijamii barani Ulaya
Jan 04, 2018 04:38Kuanzia mwaka huu wa 2018 serikali ya Ujerumani inaanza kutekeleza sheria ambayo kwa mujibu wake mitandao ya kijamii yenye zaidi ya watumiaji milioni mbili italazimika kufuta posti na jumbe za mitandao ya kijamii zenye masuala yanayokiuka sheria hadi kufikia masaa 24 baada ya kupata habari za kuwepo jumbe kama hizo.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ataka kuongezewa muda vikosi vya nchi hiyo vilivyoko nje ya nchi
Dec 18, 2017 01:12Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani ameomba kuongezewa muda wa mwaka mmoja vikosi vya nchi hiyo vilivyopo Afghanistan, Iraq na Mali.
-
Waziri wa Ujerumani: Uhusiano wa Ulaya na Marekani hautorudi tena katika zama za kabla ya Trump
Dec 05, 2017 12:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema, katika zama za urais wa Donald Trump nafasi ya nguvu za kisiasa za Marekani duniani si kama ilivyokuwa huko nyuma.
-
Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 19, 2017 04:05Raia wa Ujerumani wameandamana katika mji mkuu wa nchi Berlin hiyo kulalamikia kuongezeka mivutano kati ya Marekani na Korea Kaskazini.
-
Kuongezeka mivutano ya kisiasa kati ya Ujerumani na Saudia
Nov 18, 2017 23:17Matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel dhidi ya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na majibu ya utawala huo vimezidisha mivutano kati ya nchi hizo mbili.