Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Imarati yazitaka nchi za Ulaya zidhibiti misikiti kwa kuweka CCTV

    Nov 15, 2017 04:15

    Waziri mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE ameitaka Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya kudhibiti misikiti na makhatibu wa misikiti katika nchi zao kwa shabaha ya kuzuia uenezwaji wa misimamo mikali ya kufurutu ada.

  • Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi waanza  Ujerumani

    Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi waanza Ujerumani

    Nov 06, 2017 23:13

    Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Tabianchi ulianza jana Jumatatu na utaendelea hadi tarehe 17 Novemba katika mji mwa Bonn nchini Ujerumani.

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 04:45

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

  • Jumamosi, 14 Oktoba, 2017

    Jumamosi, 14 Oktoba, 2017

    Oct 14, 2017 00:47

    Leo ni Jumamosi tarehe 23 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Oktoba 2017 Miladia.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-9

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-9

    Oct 08, 2017 10:43

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tisa ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017

    Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017

    Oct 03, 2017 00:29

    Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.

  • Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya

    Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya

    Sep 26, 2017 04:45

    Balozi wa Ujerumani mjini Washington, Marekani sambamba na kukiri kwamba nchi za Magharibi zinawasaidia magaidi kufanya jinai nchini Syria, amesema kwamba, tulikuwa na hamu kubwa ya kuipindua serikali ya Bashar al Assad lakini tumeshindhwa vibaya sana.

  • Uchaguzi mkuu waanza Ujerumani; kansela Merkel atarajia ushindi

    Uchaguzi mkuu waanza Ujerumani; kansela Merkel atarajia ushindi

    Sep 24, 2017 04:31

    Wananchi wa Ujerumani wameanza kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura hii leo katika uchaguzi wa taifa ambao unatazamiwa kumpa ushindi kwa muhula wa nne Bi Angela Merkel kama Kansela wa nchi hiyo.

  • Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini

    Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini

    Sep 10, 2017 03:07

    Kansela wa Ujerumani amesema yuko tayari kujihusisha na jitihada za kuupatia ufumbuzi mgogoro katika Peninsula ya Korea kwa njia ya kidiplomasia na kutoa mwito wa kutumiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran kama kigezo cha kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.

  • Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani

    Aug 18, 2017 21:59

    Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS