-
Jumamosi, 14 Oktoba, 2017
Oct 14, 2017 04:17Leo ni Jumamosi tarehe 23 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria mwafaka na tarehe 14 Oktoba 2017 Miladia.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-9
Oct 08, 2017 14:13Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tisa ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017
Oct 03, 2017 03:59Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.
-
Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya
Sep 26, 2017 08:15Balozi wa Ujerumani mjini Washington, Marekani sambamba na kukiri kwamba nchi za Magharibi zinawasaidia magaidi kufanya jinai nchini Syria, amesema kwamba, tulikuwa na hamu kubwa ya kuipindua serikali ya Bashar al Assad lakini tumeshindhwa vibaya sana.
-
Uchaguzi mkuu waanza Ujerumani; kansela Merkel atarajia ushindi
Sep 24, 2017 08:01Wananchi wa Ujerumani wameanza kuelekea kwenye masanduku ya kupigia kura hii leo katika uchaguzi wa taifa ambao unatazamiwa kumpa ushindi kwa muhula wa nne Bi Angela Merkel kama Kansela wa nchi hiyo.
-
Merkel: JCPOA itumiwe kama mfano wa kutatua mgogoro wa Korea Kaskazini
Sep 10, 2017 07:37Kansela wa Ujerumani amesema yuko tayari kujihusisha na jitihada za kuupatia ufumbuzi mgogoro katika Peninsula ya Korea kwa njia ya kidiplomasia na kutoa mwito wa kutumiwa makubaliano ya nyuklia ya Iran kama kigezo cha kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.
-
Vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu vyaongezeka nchini Ujerumani
Aug 19, 2017 02:29Gazeti moja la nchini Ujerumani limeripoti kuwa, hujuma na mashambulio dhidi ya Waislamu yameongezeka mno katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika mwaka huu wa 2017.
-
Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini
Aug 12, 2017 13:32Kuongezeka mivutano na kutoleana kauli za vitisho viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kumeitia wasiwasi mkubwa jamii ya kimataifa juu ya uwezekano wa kutokea vita katika eneo la Mashariki mwa Asia.
-
Safari ya mawaziri wa ulinzi wa Ufaransa na Ujerumani katika eneo la Sahel, Afrika
Aug 01, 2017 02:36Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Florence Parly ameanza safari yake katika nchi kadhaa za eneo la Sahel barani Afrika kwa kuitembelea Chad.
-
Shirika la Ujasusi la Ujerumani: Mamia ya raia wa nchi hiyo ni wanachama wa Daesh
Jul 23, 2017 13:54Shirika la Ujasusi la Ujerumani limesema kuwa raia wa nchi hiyo 930 ni wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.