Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Aug 12, 2017 09:02

    Kuongezeka mivutano na kutoleana kauli za vitisho viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kumeitia wasiwasi mkubwa jamii ya kimataifa juu ya uwezekano wa kutokea vita katika eneo la Mashariki mwa Asia.

  • Safari ya mawaziri wa ulinzi wa Ufaransa na Ujerumani katika eneo la Sahel, Afrika

    Safari ya mawaziri wa ulinzi wa Ufaransa na Ujerumani katika eneo la Sahel, Afrika

    Jul 31, 2017 22:06

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Florence Parly ameanza safari yake katika nchi kadhaa za eneo la Sahel barani Afrika kwa kuitembelea Chad.

  • Shirika la Ujasusi la Ujerumani: Mamia ya raia wa nchi hiyo ni wanachama wa Daesh

    Shirika la Ujasusi la Ujerumani: Mamia ya raia wa nchi hiyo ni wanachama wa Daesh

    Jul 23, 2017 09:24

    Shirika la Ujasusi la Ujerumani limesema kuwa raia wa nchi hiyo 930 ni wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Chama cha Merkel chapinga sheria ya ndoa baina ya watu wenye jinsia moja

    Chama cha Merkel chapinga sheria ya ndoa baina ya watu wenye jinsia moja

    Jul 23, 2017 02:15

    Wawakilishi wa chama cha Christian Democratic Union (CDU) kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel wamepinga vikali hatua ya kupasishwa sheria inayoruhusu ndoa baina ya watu wenye jinsia moja nchini humo na kutangaza kuwa, watawasilisha mashtaka katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo.

  • Rais wa Ujerumani asaini sheria ya kuruhusu ndoa za watu wa jinsia moja

    Rais wa Ujerumani asaini sheria ya kuruhusu ndoa za watu wa jinsia moja

    Jul 21, 2017 09:11

    Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesaini sheria inayoruhusu kuoana watu wa jinsia moja katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Jarida la Stern: Mamia ya watoto wamenajisiwa katika Kanisa Katoliki Ujerumani

    Jarida la Stern: Mamia ya watoto wamenajisiwa katika Kanisa Katoliki Ujerumani

    Jul 19, 2017 02:29

    Jarida moja la kila wiki la Ujerumani limechapisha uchunguzi uliofanywa na mwanasheria wa nchi hiyo ambao umebaini kuwa, watoto 547 wa kundi la kwaya katika Kanisa Kuu la Dayosisi la Katoliki nchini Ujerumani, wamenajisiwa.

  • Kumalizika kikao cha viongozi wa  G20 mjini Hamburg chini ya anga ya hitilafu kubwa

    Kumalizika kikao cha viongozi wa G20 mjini Hamburg chini ya anga ya hitilafu kubwa

    Jul 09, 2017 06:59

    Kikao cha kila mwaka cha kundi la G20 kimefanyika mjini Hamburg, Ujerumani, chini ya anga ya hasira kali ya makumi ya maelfu ya wapinzani wa siasa za serikali za mataifa makubwa kuhusu maudhui tofauti kuanzia mkataba wa tabianchi hadi siasa za kibiashara na kiuchumi.

  • Hofu ya mapinduzi Saudia, watawala wakwepa mkutano wa G20

    Hofu ya mapinduzi Saudia, watawala wakwepa mkutano wa G20

    Jul 05, 2017 10:01

    Mfalme na mrithi wa kiti cha ufalme Saudi Arabia wanaripotiwa kukwepa kuhudhuria mkutano wa viongozi wa nchi za G20 huko Hamburg, Ujerumani kwa kuhofia mapinduzi nchini kwao.

  • Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Jul 02, 2017 03:48

    Ijumaa ya juzi Bunge la Ujerumani, Bundestag liliipasisha sheria inayoruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja na kutambua rasmi eti haki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ya kulea watoto nchini humo.

  • Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Jun 29, 2017 02:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa ni lazima kushirikiana na serikali ya Rais Bashar Assad wa Syria ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS