-
Chama cha Merkel chapinga sheria ya ndoa baina ya watu wenye jinsia moja
Jul 23, 2017 06:45Wawakilishi wa chama cha Christian Democratic Union (CDU) kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel wamepinga vikali hatua ya kupasishwa sheria inayoruhusu ndoa baina ya watu wenye jinsia moja nchini humo na kutangaza kuwa, watawasilisha mashtaka katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo.
-
Rais wa Ujerumani asaini sheria ya kuruhusu ndoa za watu wa jinsia moja
Jul 21, 2017 13:41Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesaini sheria inayoruhusu kuoana watu wa jinsia moja katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
-
Jarida la Stern: Mamia ya watoto wamenajisiwa katika Kanisa Katoliki Ujerumani
Jul 19, 2017 06:59Jarida moja la kila wiki la Ujerumani limechapisha uchunguzi uliofanywa na mwanasheria wa nchi hiyo ambao umebaini kuwa, watoto 547 wa kundi la kwaya katika Kanisa Kuu la Dayosisi la Katoliki nchini Ujerumani, wamenajisiwa.
-
Kumalizika kikao cha viongozi wa G20 mjini Hamburg chini ya anga ya hitilafu kubwa
Jul 09, 2017 11:29Kikao cha kila mwaka cha kundi la G20 kimefanyika mjini Hamburg, Ujerumani, chini ya anga ya hasira kali ya makumi ya maelfu ya wapinzani wa siasa za serikali za mataifa makubwa kuhusu maudhui tofauti kuanzia mkataba wa tabianchi hadi siasa za kibiashara na kiuchumi.
-
Hofu ya mapinduzi Saudia, watawala wakwepa mkutano wa G20
Jul 05, 2017 14:31Mfalme na mrithi wa kiti cha ufalme Saudi Arabia wanaripotiwa kukwepa kuhudhuria mkutano wa viongozi wa nchi za G20 huko Hamburg, Ujerumani kwa kuhofia mapinduzi nchini kwao.
-
Bunge la Ujerumani laruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja
Jul 02, 2017 08:18Ijumaa ya juzi Bunge la Ujerumani, Bundestag liliipasisha sheria inayoruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja na kutambua rasmi eti haki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ya kulea watoto nchini humo.
-
Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Jun 29, 2017 07:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa ni lazima kushirikiana na serikali ya Rais Bashar Assad wa Syria ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.
-
Jumanne 13 Juni, 2017
Jun 13, 2017 02:23Leo ni Jumanne tarehe 18 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 13 Juni 2017.
-
Ukosoaji mkali wa Ujerumani kwa mkataba wa silaha wa Marekani na Saudi Arabia
May 31, 2017 03:58Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani amekosoa vikali mkataba wa silaha kati ya Marekani na utawala wa Saudi Arabia na kueleza kwamba, Washington inaenda katika mkondo usio sahihi.
-
Ushirikiano wa Ujerumani na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen
May 01, 2017 13:24Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ambaye siku ya Jumapili alifanya safari nchini Saudi Arabia, ameitaka nchi hiyo kusimamisha mashambulio yake dhidi ya taifa la Yemen.