• Hamas yaionya Israel kuhusu vita

    Hamas yaionya Israel kuhusu vita

    Feb 26, 2016 23:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kuibuka tetesi kuwa utawala huo unapanga kuanzisha vita vipya dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Misri yafunga tena kivuko cha Rafah

    Misri yafunga tena kivuko cha Rafah

    Feb 17, 2016 03:41

    Misri imefunga tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina walio chini ya mzingiro huko Ghaza.