Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Putin: Wanajeshi wa NATO nchini Ukraine watakuwa 'shabaha halali' ya Russia

    Putin: Wanajeshi wa NATO nchini Ukraine watakuwa 'shabaha halali' ya Russia

    Sep 05, 2025 11:03

    Rais Vladimir Putin wa Russia amepinga mapendekezo ya 'dhamana ya usalama ya nchi za Magharibi kwa Ukraine' akionya kwamba, wanajeshi wowote wa kigeni watakaotumwa katika nchi hiyo jirani watakuwa "shabaha halali" ya jeshi la Russia.

  • Kansela wa Ujerumani azitaka nchi za Ulaya zijiandae kwa vita vya muda mrefu vya Ukraine

    Kansela wa Ujerumani azitaka nchi za Ulaya zijiandae kwa vita vya muda mrefu vya Ukraine

    Aug 30, 2025 05:52

    Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema nchi za Ulaya zinapaswa zijiweke tayari kwa vita vya muda mrefu nchini Ukraine kutokana na kile alichokiita kusitasita kwa Russia kushiriki katika mazungumzo.

  • Russia: Tumepiga Ukraine kwa makombora ya hypersonic

    Russia: Tumepiga Ukraine kwa makombora ya hypersonic

    Aug 29, 2025 02:23

    Russia imetangaza habari ya kutekeleza mashambulizi ya masafa marefu dhidi ya shabaha za jeshi la Ukraine, kwa kutumia aina mbalimbali za silaha, yakiwemo makombora ya hypersonic aina ya Kinzhal.

  • Jumapili, 24 Agosti, 2025

    Jumapili, 24 Agosti, 2025

    Aug 24, 2025 02:54

    Leo ni Jumapili 30 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria mwafaka na 24 Agosti 2025 Miladia.

  • Ubelgiji kupiga marufuku simu za mkononi maskulini kuanzia mwaka wa masomo wa 2025-2026

    Ubelgiji kupiga marufuku simu za mkononi maskulini kuanzia mwaka wa masomo wa 2025-2026

    Aug 19, 2025 06:12

    Matumizi ya simu za mkononi na vifaa vingine vya kielektroniki yatapigwa marufuku nchini kote Ubelgiji katika skuli za msingi na sekondari kuanzia mwaka wa masomo wa 2025-2026, isipokuwa vitakapolazimu kutumika kwa sababu za kimasomo, kiafya, au za dharura. Hayo yameripotiwa na vyombo vya habari vya ndani ya nchi hiyo.

  • Trump na Putin wakutana Alaska bila ya kufikia mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine

    Trump na Putin wakutana Alaska bila ya kufikia mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine

    Aug 16, 2025 05:07

    Duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya Rais Vladimir Putin wa Russia na Rais wa Marekani Donald Trump iliyofanyika katika jimbo la Alaska nchini Marekani imemalizika pasi na kufikiwa mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine.

  • CNN: Vita vya Ukraine sasa ni vita vya Trump

    CNN: Vita vya Ukraine sasa ni vita vya Trump

    Aug 05, 2025 14:12

    Rais Donald Trump wa Marekani ameingia kikamilifu katika vita vya Ukraine na kushika usukani wa mgogoro huo kisiasa na kijeshi; vita ambavyo, katokana na maamuzi yake ya karibuni sio tena mzozo wa kikanda, bali ni mtihani kuhusu nafasi ya Marekani duniani.

  • Russia yatoa sharti la kufanyika mkutano wa ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky

    Russia yatoa sharti la kufanyika mkutano wa ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky

    Jul 24, 2025 06:42

    Kiongozi mkuu wa ujumbe wa Russia katika mazungumzo na Ukraine, Vladimir Medinsky amesema, viongozi wa nchi hizo mbili inapasa wakutane baada ya mkataba wa amani kuwa tayari kutiwa saini, si vinginevyo.

  • Seneta wa Russia: Trump ameangukia kwenye

    Seneta wa Russia: Trump ameangukia kwenye "mtego" wa Ukraine

    Jul 22, 2025 14:53

    Kuhusu vita vya Ukraine na misimamo ya karibuni ya Rais wa Marekani, Seneta huyo wa Russia amesema: "Trump ameingia kwenye mtego wa Ukraine.

  • Zelensky ataka afanye mazungumzo binafsi na Putin

    Zelensky ataka afanye mazungumzo binafsi na Putin

    Jul 20, 2025 14:52

    Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine kwa mara nyingine ametoa wito wa kufanyika mazungumzo binafsi kati yake na Rais Vladimir Putin wa Russia, akisema hiyo ndiyo njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS