Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Diop: Ukraine inachochea ukosefu wa utulivu barani Afrika

    Diop: Ukraine inachochea ukosefu wa utulivu barani Afrika

    Apr 08, 2025 06:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mali, Abdoulaye Diop amesema Ukraine inavuruga utulivu barani Afrika kwa kuunga mkono makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel barani humo.

  • Zelenskyy: Ukraine imepokea pendekezo jipya la Marekani kuhusu makubaliano ya madini

    Zelenskyy: Ukraine imepokea pendekezo jipya la Marekani kuhusu makubaliano ya madini

    Mar 30, 2025 02:37

    Rais wa Ukraine amesema kuwa Kiev imepokea pendekezo jipya kutoka Marekani kuhusu makubaliano ya madini.

  • Niger yajitoa rasmi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa, Francophone

    Niger yajitoa rasmi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa, Francophone

    Mar 19, 2025 04:14

    Niger imejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Kimataifa ya nchi zinazozungumza Kifaransa (OIF) au Francophone sambamba na juhudi zinazoendelea kufanywa na taifa hilo la Afrika Magharibi za kuvunja uhusiano na kujitenga na mkoloni wake wa zamani, Ufaransa.

  • Kuanza tena Marekani kuipa Ukraine silaha, Putin atoa masharti

    Kuanza tena Marekani kuipa Ukraine silaha, Putin atoa masharti

    Mar 15, 2025 02:23

    Sambamba na kujaribu kuonesha kuwa msimamo wa Marekani umebadilika kuhusu Russia, rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anapanga kupeleka shehena mpya ya silaha kwa Ukraine ili kuendeleza vita na Russia ikiwa ni kuonesha siasa zilezile za kila siku za nyuso mbili za Marekani.

  • CAIR: Matukio ya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani yalivunja rekodi katika mwaka 2024

    CAIR: Matukio ya chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani yalivunja rekodi katika mwaka 2024

    Mar 12, 2025 02:39

    Vitendo vya ubaguzi na mashambulizi dhidi ya Waislamu na Waarabu nchini Marekani vilivunja rekodi mnamo mwaka uliopita wa 2024 sambamba na kuendelea vita vya kikatili vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza Oktoba 7, 2023.

  • Mazungumzo yaliyogubikwa na mvutano mkubwa kati ya Trump na Zelensky

    Mazungumzo yaliyogubikwa na mvutano mkubwa kati ya Trump na Zelensky

    Mar 01, 2025 13:36

    Viongozi wenye mielekeo ya Kimagharibi wa Ukraine waliipa mgongo Russia baada ya matukio ya mwaka 2014 na kuingia madarakani serikali kibaraka kwa Magharibi huko Ukraine kwa himaya na msaada wa pande zote wa nchi za magharibi hususan Marekani na Ulaya; na walitaka nchi hiyo kujiunga na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) na Umoja wa Ulaya (EU) na kukata uhusiano na Russia.

  • Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Feb 27, 2025 10:59

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine "isahau" kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo ni pigo kwa azma ya muda mrefu ya nchi hiyo ya Ulaya, ambayo iliungwa mkono na Rais wa zamani Joe Biden.

  • CNN: Marekani imejitenga na nchi za Magharibi katika suala la Ukraine

    CNN: Marekani imejitenga na nchi za Magharibi katika suala la Ukraine

    Feb 26, 2025 06:37

    Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza kuwa: Washington imejitenga na nchi za Magharibi kuhusu suala la Ukraine, na hili ndilo jambo lililobadilishwa na Donald Trump kuhusu nafasi ya Marekani kimataifa.

  • The Economist: Ukraine inahitaji muda wa karne kadhaa kuweza kulipa deni la fedha kwa Marekani

    The Economist: Ukraine inahitaji muda wa karne kadhaa kuweza kulipa deni la fedha kwa Marekani

    Feb 25, 2025 09:45

    Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na gazeti la The Economist linalochapishwa nchini Uingereza, ikiwa Ukraine itatia saini makubaliano na Marekani ya kulipa fidia ya dola bilioni 500, kwa kuzingatia kasi yake ya sasa ya ukuaji wa uchumi, itahitaji mamia ya miaka ili kuweza kulipa deni lake hilo.

  • Ujerumani yajitutumua, yatoa onyo dhidi ya Marekani

    Ujerumani yajitutumua, yatoa onyo dhidi ya Marekani

    Feb 22, 2025 11:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka mashinikizo dhidi ya Marekani, iwapo Washington itashindwa kukumbatia 'demokrasia ya kiliberali'.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS