Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Trump na Putin wakutana Alaska bila ya kufikia mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine

    Trump na Putin wakutana Alaska bila ya kufikia mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine

    Aug 16, 2025 05:07

    Duru ya kwanza ya mazungumzo kati ya Rais Vladimir Putin wa Russia na Rais wa Marekani Donald Trump iliyofanyika katika jimbo la Alaska nchini Marekani imemalizika pasi na kufikiwa mwafaka wa kusimamishwa vita vya Ukraine.

  • CNN: Vita vya Ukraine sasa ni vita vya Trump

    CNN: Vita vya Ukraine sasa ni vita vya Trump

    Aug 05, 2025 14:12

    Rais Donald Trump wa Marekani ameingia kikamilifu katika vita vya Ukraine na kushika usukani wa mgogoro huo kisiasa na kijeshi; vita ambavyo, katokana na maamuzi yake ya karibuni sio tena mzozo wa kikanda, bali ni mtihani kuhusu nafasi ya Marekani duniani.

  • Russia yatoa sharti la kufanyika mkutano wa ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky

    Russia yatoa sharti la kufanyika mkutano wa ana kwa ana kati ya Putin na Zelensky

    Jul 24, 2025 06:42

    Kiongozi mkuu wa ujumbe wa Russia katika mazungumzo na Ukraine, Vladimir Medinsky amesema, viongozi wa nchi hizo mbili inapasa wakutane baada ya mkataba wa amani kuwa tayari kutiwa saini, si vinginevyo.

  • Seneta wa Russia: Trump ameangukia kwenye

    Seneta wa Russia: Trump ameangukia kwenye "mtego" wa Ukraine

    Jul 22, 2025 14:53

    Kuhusu vita vya Ukraine na misimamo ya karibuni ya Rais wa Marekani, Seneta huyo wa Russia amesema: "Trump ameingia kwenye mtego wa Ukraine.

  • Zelensky ataka afanye mazungumzo binafsi na Putin

    Zelensky ataka afanye mazungumzo binafsi na Putin

    Jul 20, 2025 14:52

    Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine kwa mara nyingine ametoa wito wa kufanyika mazungumzo binafsi kati yake na Rais Vladimir Putin wa Russia, akisema hiyo ndiyo njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu.

  • Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

    Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia watungua droni 400 za Ukraine

    Jul 07, 2025 11:15

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa Jeshi la anga la nchi hiyo limefanikiwa kudungua ndege zisizo na rubani 402 za Ukraine na mabomu saba ya angani yaliyokuwa yakiongozwa tokea mbali.

  • Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Sababu za Marekani kusimamisha kutuma mokombora ya ulinzi wa anga nchini Ukraine

    Jul 04, 2025 12:26

    Katika hali ambayo Ukraine imekuwa ikishambuliwa vikali kwa ndege zisizo na rubani na makombora ya Russia katika kipindi cha miaka minne iliyopita, Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesitisha baadhi ya shehena za kijeshi ilizoahidiwa Ukraine, ikiwa ni pamoja na makombora ya Patriot na Hellfire.

  • Afisa wa Sudan: Ukraine inafanya ‘kazi chafu’ ya Wamagharibi Afrika

    Afisa wa Sudan: Ukraine inafanya ‘kazi chafu’ ya Wamagharibi Afrika

    Jun 09, 2025 11:13

    Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan amesema Ukraine inatekeleza "kazi chafu" ya nchi za Magharibi kwa kuunga mkono makundi yenye silaha yanayohusika na mashambulizi ya kigaidi katika mataifa ya Afrika kama vile Libya, Somalia na Niger.

  • Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Bamada: Ukraine inaratibu mashambulizi ya magaidi nchini Mali

    Jun 07, 2025 06:58

    Wakufunzi wa kijeshi wa Ukraine wanawafunza na kuwapa silaha wanamgambo wenye mfungamano na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda nchini Mali.

  • Je, kutumwa silaha za nchi za Magharibi Ukraine kunatishia vipi usalama wa Afrika?

    Je, kutumwa silaha za nchi za Magharibi Ukraine kunatishia vipi usalama wa Afrika?

    Jun 02, 2025 06:09

    Mkuu wa Idara ya Ushirikiano na Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kwamba silaha za Magharibi zinazotumwa Kiev hatimaye zinaishia mikononi mwa makundi ya kigaidi yenye silaha barani Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS