Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Putin kufanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu Russia ilipoanzisha vita dhidi ya Ukraine

    Putin kufanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu Russia ilipoanzisha vita dhidi ya Ukraine

    Jun 27, 2022 03:13

    Vyombo vya habari vya Russia vimetangaza kuwa rais Vladimir Putin wa nchi hiyo atafanya safari ya kwanza nje ya nchi tangu vilipoanza vita nchini Ukraine kwa kutembelea nchi mbili za eneo la Asia ya Kati.

  • New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani  Ukraine

    New York Times yafichua shughuli za siri za CIA na kikosi maalumu cha Marekani Ukraine

    Jun 26, 2022 23:28

    Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limefichua kuhusu harakati za siri zinazofanywa na Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA) na kikosi maalumu cha wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukraine.

  • UN: Zaidi ya watu milioni 7 wamekuwa wakimbizi nje ya Ukraine mbali na wakimbizi wa ndani

    UN: Zaidi ya watu milioni 7 wamekuwa wakimbizi nje ya Ukraine mbali na wakimbizi wa ndani

    Jun 20, 2022 07:22

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vita vya Ukraine ni moja ya sababu za ongezeko la wakimbizi ulimwenguni na kwamba hadi hivi sasa mamilioni ya watu wameshakuwa wakimbizi kutokana na vita hivyo.

  • Majenerali 50 wa jeshi la Ukraine wauawa katika shambulio la makombora

    Majenerali 50 wa jeshi la Ukraine wauawa katika shambulio la makombora

    Jun 19, 2022 23:51

    Wizara ya Ulinzi wa Russia imesema majenerali zaidi ya 50 wa jeshi la Ukraine wameuawa katika shambulio la makombora ya Kalibr karibu na kijiji cha Shirokaya Dacha katika eneo la Dnepropetrovsk, katikati mwa Ukraine.

  • Mvutano mpya katika uhusiano wa Russia na Israel baada ya shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus

    Mvutano mpya katika uhusiano wa Russia na Israel baada ya shambulizi dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus

    Jun 17, 2022 05:29

    Uhusiano kati ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel umeingia katika awamu mpya yenye mivutano baada ya mashambuizi ya Russia dhidi ya Ukraine kutokana na misimamo ya Tel Aviv ya kujiunga na nchi za Magharibi na kuchukua misimamo dhidi ya Russia.

  • Vyombo vya Magharibi vyakosolewa kwa kutoakisi shambulio la Ukraine dhidi ya hospitali

    Vyombo vya Magharibi vyakosolewa kwa kutoakisi shambulio la Ukraine dhidi ya hospitali

    Jun 14, 2022 22:14

    Naibu Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amekosoa kimya cha vyombo vya habari vya nchi za Magharibi kwa kutoangazia jinai ya jeshi la Ukraine ya kushambulia kwa mabomu hospitali ya kujifungulia akina mama katika eneo la Donetsk.

  • Russia yasambaratisha ghala kubwa la silaha za Magharibi nchini Ukraine

    Russia yasambaratisha ghala kubwa la silaha za Magharibi nchini Ukraine

    Jun 12, 2022 22:45

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limesambaratisha ghala kubwa la silaha za nchi za Magharibi katika vita vinavyoendelea nchini Ukraine.

  • Ulaya yakiri kuwa vita vimeiweka pabaya dunia, lakini bado inachochea mapigano Ukraine

    Ulaya yakiri kuwa vita vimeiweka pabaya dunia, lakini bado inachochea mapigano Ukraine

    Jun 04, 2022 22:08

    Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa, vita nchini Ukraine vimeleta mgogoro wa chakula katika kila kona ya dunia lakini wakati huo huo nchi za umoja huo zinaendelea kuchochea vita hivyo na kuisheheneza silaha Kyiv.

  • Licha ya kuonesha uadui mkubwa, Ulaya yaendelea kutumia gesi ya Russia kupitia Ukraine

    Licha ya kuonesha uadui mkubwa, Ulaya yaendelea kutumia gesi ya Russia kupitia Ukraine

    May 29, 2022 23:41

    Licha ya kwamba nchi za Ulaya zinaendelea kuchukua hatua kali za kiuadui dhidi ya Russia na kuzilazimisha nchi nyingine kufuata siasa zao dhidi ya Moscow, lakini nchi hizo za Ulaya zimeshindwa kuacha kutumia gesi ya Russia.

  • Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika na daghadagha kuu zinazolikabili bara la Afrika

    Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika na daghadagha kuu zinazolikabili bara la Afrika

    May 29, 2022 06:10

    Mkutano wa wakuu wa Umoja wa Afrika uliokuwa ukifanyika katika mji mkuu wa Guinea ya Ikweta, Malabo umemalizika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS