Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • Dubai imegeuzwa kitovu cha maovu na ufuska kwa ajili ya watalii kutoka Israel

    Dubai imegeuzwa kitovu cha maovu na ufuska kwa ajili ya watalii kutoka Israel

    Dec 22, 2020 13:02

    Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, Dubai imegeuzwa mji wa kufanyia maovu na ufuska na kuwafanya wazayuni wawe na hamu kubwa ya kuutembelea.

  • Mapatano ya Riyadh yagonga mwamba;  vita vya mafuta  kati ya Saudia na Imarati vimeanza huko Yemen

    Mapatano ya Riyadh yagonga mwamba; vita vya mafuta kati ya Saudia na Imarati vimeanza huko Yemen

    Dec 18, 2020 06:01

    Gazeti moja linalochapishwa kwa lugha ya Kiarabu limeripoti juu ya kuendelea kugonga mwamba mapatano yaliyofikiwa na Riyadh huko Yemen na kuibuka hitilafu kali kati ya nchi hiyo na Imarati kuhusu umiliki wa mafuta nchini humo.

  • Televisheni nyingine ya Israel nayo yaifanyia istihzai na kejeli Imarati

    Televisheni nyingine ya Israel nayo yaifanyia istihzai na kejeli Imarati

    Nov 27, 2020 06:52

    Kanali moja ya televisheni ya utawala wa Kizayuni imerusha hewani mchezo wa kuigiza wa vichekesho ambao unaukejeli na kuufanyia istihzai Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati.

  • Sheria za Kiislamu zawekwa kando UAE baada ya kuanzishwa uhusiano na Israel

    Sheria za Kiislamu zawekwa kando UAE baada ya kuanzishwa uhusiano na Israel

    Nov 08, 2020 02:36

    Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), umetangaza mabadiliko makubwa ya sheria za Kiislamu zinazohusu mtu binafsi ikiwemo kuruhusu watu ambao hawajaoana kuishi pamoja kiunyumba, kulegeza mipaka ya utumiaji pombe na kuyatambua "mauaji ya kulinda heshima" kuwa ni kosa la jinai.

  • Ripoti: Wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Yemen ni wahanga wa mashambulizi ya Saudia

    Ripoti: Wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Yemen ni wahanga wa mashambulizi ya Saudia

    Oct 12, 2020 03:07

    Taasisi moja ya kutetea haki za binadamu nchini Yemen imetangaza kuwa wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Kiyemeni wameuawa katika mashambulizi ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia nchini humo.

  • Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia

    Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia

    Oct 02, 2020 08:07

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia.

  • Walebanon waandamana dhidi ya hatua ya Imarati na Bahrain ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Walebanon waandamana dhidi ya hatua ya Imarati na Bahrain ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 24, 2020 11:59

    Maelfu ya wananchi wa Lebanon wameandamana katika mji mkuu Beirut na kutangaza upinzani wao dhidi ya hatua yoyote ile ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Bin Zayed aishauri Pentagon ikihamishie Imarati kituo cha kijeshi cha Incirlik kilichoko Uturuki

    Bin Zayed aishauri Pentagon ikihamishie Imarati kituo cha kijeshi cha Incirlik kilichoko Uturuki

    Sep 21, 2020 03:16

    Baadhi ya duru zimeripoti kuwa mrithi wa ufalme wa Abu Dhabi Mohammad bin Zayed amefanya mashauriano na Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon juu ya mpango wa kukihamishia Imarati kituo cha anga cha jeshi la Marekani cha Incirlik kilichoko nchini Uturuki.

  • Pompeo adai UAE na Israel zimeafikiana kuanzisha muungano dhidi ya Iran

    Pompeo adai UAE na Israel zimeafikiana kuanzisha muungano dhidi ya Iran

    Sep 07, 2020 03:35

    Katika mwendelezo wa uchukuaji misimamo ya kiuadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo amedai kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimefikia makubaliano ya kuanzisha muungano maalumu dhidi ya Iran.

  • Safari ya Mike Pompeo kusini mwa Ghuba ya Uajemi na kukaririwa madai yasiyo na msingi wowote

    Safari ya Mike Pompeo kusini mwa Ghuba ya Uajemi na kukaririwa madai yasiyo na msingi wowote

    Aug 28, 2020 06:29

    Marekani daima ikiwa na lengo la kuendeleza uwepo wake wa kijiopolitiki katika eneo la Ghuba ya Uajemi imekuwa ikitumia vizingizio visivyokuwa na maana hususan kupiga kwake ngoma ya kueneza chuki chidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS