Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League

    UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League

    Mar 10, 2021 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametoa mwito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel

    Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel

    Jan 13, 2021 14:31

    Shirika la Ndege la Umoja wa Falme za Kiarabu, Emirates Airline, limemfuta kazi rubani wake mmoja raia wa Tunisia ambaye alikataa amri ya kurusha ndege kuelekea Israel.

  • Watalii kutoka Israel waingiza kimagendo madawa ya kulevya nchini Imarati

    Watalii kutoka Israel waingiza kimagendo madawa ya kulevya nchini Imarati

    Jan 03, 2021 13:29

    Baadhi ya vyombo vya habari vya Kiebrania vimetangaza kuwa, watalii kutoka Israel wanaoelekea Umoja wa Falme za Kiarabu wanaingiza kimagendo madawa ya kulevya katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Dubai imegeuzwa kitovu cha maovu na ufuska kwa ajili ya watalii kutoka Israel

    Dubai imegeuzwa kitovu cha maovu na ufuska kwa ajili ya watalii kutoka Israel

    Dec 22, 2020 13:02

    Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, Dubai imegeuzwa mji wa kufanyia maovu na ufuska na kuwafanya wazayuni wawe na hamu kubwa ya kuutembelea.

  • Mapatano ya Riyadh yagonga mwamba;  vita vya mafuta  kati ya Saudia na Imarati vimeanza huko Yemen

    Mapatano ya Riyadh yagonga mwamba; vita vya mafuta kati ya Saudia na Imarati vimeanza huko Yemen

    Dec 18, 2020 06:01

    Gazeti moja linalochapishwa kwa lugha ya Kiarabu limeripoti juu ya kuendelea kugonga mwamba mapatano yaliyofikiwa na Riyadh huko Yemen na kuibuka hitilafu kali kati ya nchi hiyo na Imarati kuhusu umiliki wa mafuta nchini humo.

  • Televisheni nyingine ya Israel nayo yaifanyia istihzai na kejeli Imarati

    Televisheni nyingine ya Israel nayo yaifanyia istihzai na kejeli Imarati

    Nov 27, 2020 06:52

    Kanali moja ya televisheni ya utawala wa Kizayuni imerusha hewani mchezo wa kuigiza wa vichekesho ambao unaukejeli na kuufanyia istihzai Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati.

  • Sheria za Kiislamu zawekwa kando UAE baada ya kuanzishwa uhusiano na Israel

    Sheria za Kiislamu zawekwa kando UAE baada ya kuanzishwa uhusiano na Israel

    Nov 08, 2020 02:36

    Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), umetangaza mabadiliko makubwa ya sheria za Kiislamu zinazohusu mtu binafsi ikiwemo kuruhusu watu ambao hawajaoana kuishi pamoja kiunyumba, kulegeza mipaka ya utumiaji pombe na kuyatambua "mauaji ya kulinda heshima" kuwa ni kosa la jinai.

  • Ripoti: Wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Yemen ni wahanga wa mashambulizi ya Saudia

    Ripoti: Wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Yemen ni wahanga wa mashambulizi ya Saudia

    Oct 12, 2020 03:07

    Taasisi moja ya kutetea haki za binadamu nchini Yemen imetangaza kuwa wanawake na watoto zaidi ya elfu 13 wa Kiyemeni wameuawa katika mashambulizi ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia nchini humo.

  • Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia

    Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia

    Oct 02, 2020 08:07

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia.

  • Walebanon waandamana dhidi ya hatua ya Imarati na Bahrain ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Walebanon waandamana dhidi ya hatua ya Imarati na Bahrain ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 24, 2020 11:59

    Maelfu ya wananchi wa Lebanon wameandamana katika mji mkuu Beirut na kutangaza upinzani wao dhidi ya hatua yoyote ile ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS