Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • Iraq yatoa msimamo rasmi kuhusu mapatano ya UAE na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Iraq yatoa msimamo rasmi kuhusu mapatano ya UAE na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 27, 2020 10:54

    Msemaji wa Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuhusu mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba, hilo ni suala la ndani linalozihusu pande hizo mbili.

  • Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Aug 24, 2020 02:28

    Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa kupinga mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande mbili hizo.

  • Baraza la Taasisi za Kiislamu Marekani lapinga mapatano ya fedheha kati ya Imarati na Israel

    Baraza la Taasisi za Kiislamu Marekani lapinga mapatano ya fedheha kati ya Imarati na Israel

    Aug 15, 2020 06:45

    Baraza la Taasisi za Kiislamu za nchini Marekani (USCMO) limepinga mpango wa mapatano uliofikiwa kati ya Imarati na Israel.

  • Mgogoro kati ya Saudia na Imarati kuhusu mkoa wa Hadhramaut, Yemen washtadi

    Mgogoro kati ya Saudia na Imarati kuhusu mkoa wa Hadhramaut, Yemen washtadi

    Jun 07, 2020 04:07

    Mapigano ya niaba kati ya Saudi Arabia na Imarati katika mkoa wa Hadhramaut, mashariki mwa Yemen yameshadi zaidi.

  • FATF yatoa onyo kali kwa Imarati kwa kuruhusu  kudhaminiwa fedha magenge ya kigaidi

    FATF yatoa onyo kali kwa Imarati kwa kuruhusu kudhaminiwa fedha magenge ya kigaidi

    May 01, 2020 00:41

    Kundi maalumu la FATF limeuonya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kutokana na kuchukua hatua chache na dhaifu katika kukabiliana na utakatishaji pesa na kudhaminiwa fedha magenge ya kigaidi.

  • Jitihada za Imarati za kudhibiti maliasili za mafuta ya Yemen

    Jitihada za Imarati za kudhibiti maliasili za mafuta ya Yemen

    Mar 14, 2020 12:07

    Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unafanya kila uwezalo kudhibiti utajiri wa Yemen vikiwemo visima vya mafuta vya nchi hiyo.

  • Mgogoro baina ya Morocco na Imarati wapamba moto

    Mgogoro baina ya Morocco na Imarati wapamba moto

    Mar 12, 2020 08:05

    Uhusiano wa kidiplomasia baina ya Morocco na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umeingia katika mgogoro mkubwa baada ya Abu Dhabi kukataa kutuma balozi mpya mjini Rabbat, na Morocco nayo imeamua kushusha chini kabisa kiwango cha uhusiano wake wa kidiplomasia na Imarati.

  • Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya

    Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya

    Mar 10, 2020 11:41

    Misri huku ikiungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu imeripotiwa kuunda kikosi maalumu cha oparesheni za majini kinachowajumuisha makomando wa Libya ambacho kimepewa jukumu la kulenga maslahi ya Uturuki katika pwani za Libya.

  • Ripoti: Imarati inatumia mamluki wa Kisudani kuua raia na kufanya magendo ya binadamu Libya

    Ripoti: Imarati inatumia mamluki wa Kisudani kuua raia na kufanya magendo ya binadamu Libya

    Dec 27, 2019 11:14

    Taasisi moja ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu imelaani vikali hatua ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) ya kuwaajiri mamluki wa Kisudani wanaotumiwa kupigana bega kwa beba na mbabe wa kivita wa Libya, Jenerali Khalifa Haftar dhidi ya serikali iliyotambuliwa rasmi na jamii ya kimataifa.

  • Saudia yaongoza duniani kwa ufanyaji israfu kubwa katika chakula

    Saudia yaongoza duniani kwa ufanyaji israfu kubwa katika chakula

    Dec 18, 2019 04:11

    Saudi Arabia inaongoza kati ya nchi 25 duniani zinazomwaga na kutupa jaani kiwango kikubwa zaidi cha chakula.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS