-
UAE yaanza kujitegenezea silaha, yawakasirisha wauzaji silaha wa Magharibi
Dec 02, 2019 04:46Hatua ya Umoja wa Flame za Kiarabu (UAE) ya kuanza mpango wa kujiundia silaha zake inatazamiwa kuyakasirisha mashirika ya Kimagharibi ambayo huiuzia nchi hiyo silaha.
-
Serikali ya Mansur Hadi yaendelea kulumbana na muungano vamizi wa Saudia huko Yemen
Oct 30, 2019 04:15Waziri wa Mambo ya Nani wa serikali iliyojiuzulu ya Yemen kwa mara nyingin tena imkosoa muungano wa Saudi Arabia katika vita vya Yemen na kutoa wito wa kuundwa serikali isiyokuwa tegemezi nchini humo.
-
Yemen yajibu hatua ya muungano vamizi wa Saudia ya kupuuza mpango wa amani
Oct 03, 2019 14:01Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limetangaza kuwa, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia utakabiliwa na vipigo visivyo na ukomo iwapo mpango wa amani wa Yemen utafeli.
-
UAE yasema imewashambulia magaidi wanaoungwa mkono na Saudia nchini Yemen
Aug 31, 2019 14:53Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) imewataja mamluki wanaopata himaya ya Saudia Arabi huko kusini mwa Yemen kuwa ni magaidi, nukta ambayo inaashiria ufa mkubwa katika madola hayo mawili ya Kiarabu ambayo yamekuwa yakishirikiana na vita dhidi ya watu wa Yemen.
-
Mashambulizi ya Imarati kusini mwa Yemen na hasira za Mfalme Salman wa Saudia
Aug 31, 2019 02:42Mashambulizi ya ndege za kivita za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) dhidi ya askari wa serikali iliyojiuzulu ya Yemen katika mikoa ya Aden na Abyan yamesababisha mauaji ya watu wasiopungua 40 na kujeruhi wengine zaidi ya 70.
-
Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni
Aug 29, 2019 07:52Naibu Mwenyekiti wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina amesema kuwa makampuni ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) yananunua ardhi huko Quds na kisha kukabidhi umiliki wa ardhi hizo kwa Waisraeli.
-
Serikali ya Libya yaituhumu UAE kuwa imeshambulia Tripoli kwa mabomu
Aug 26, 2019 01:39Serikali ya Mapatano ya Kitaifa Libya (GNA) inayoongozwa na Waziri MKuu Fayez al-Sarraj imesema ndege za kivita za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimehusika katika kudondosha mabomu katika mji mkuu, Tripoli.
-
Makumi wauawa na mamia wajeruhiwa katika mapigano kusini mwa Yemen
Aug 11, 2019 14:47Ofisi ya Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen imetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa kwenye mapigano ya karibuni katika mji wa Aden kusini mwa nchi hiyo.
-
Umoja wa Falme za Kiarabu wataka kuanza mazungumzo kuhusu Yemen
Aug 11, 2019 03:46Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Umoja wa Falme za Kiarabu ametaka kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuhitimisha hali ya mvutano katika mji wa Aden na kurejesha amani kusini mwa Yemen.
-
Kuendelea siasa za jinai za Saudi Arabia na Imarati nchini Yemen; vita na njama za kuigawa Yemen
Jul 31, 2019 07:45Katika hali ambayo, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ungali unafuatilia malengo yake ya kuigawa Yemen, Saudi Arabia kwa upande wake nayo imeendelea kutekeleza jinai zake dhidi ya wananchi wasio na hatia wa nchi hiyo masikini ya Kiarabu.