-
Makumi wauawa na mamia wajeruhiwa katika mapigano kusini mwa Yemen
Aug 11, 2019 14:47Ofisi ya Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen imetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa kwenye mapigano ya karibuni katika mji wa Aden kusini mwa nchi hiyo.
-
Umoja wa Falme za Kiarabu wataka kuanza mazungumzo kuhusu Yemen
Aug 11, 2019 03:46Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Umoja wa Falme za Kiarabu ametaka kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuhitimisha hali ya mvutano katika mji wa Aden na kurejesha amani kusini mwa Yemen.
-
Kuendelea siasa za jinai za Saudi Arabia na Imarati nchini Yemen; vita na njama za kuigawa Yemen
Jul 31, 2019 07:45Katika hali ambayo, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ungali unafuatilia malengo yake ya kuigawa Yemen, Saudi Arabia kwa upande wake nayo imeendelea kutekeleza jinai zake dhidi ya wananchi wasio na hatia wa nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
-
Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza
Jul 24, 2019 17:55Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulinzi ametoa onyo kwa Uingereza kuhusiana na nia yake ya kujiingiza kwenye eneo la Lango Bahari la Hormuz na kwa Marekani kuhusu nia yake ya kutaka kuanzisha vita vya kijeshi na akaeleza kwamba: Kauli iliyotolewa na Saudi Arabia na Imarati kuhusu kuhitimishwa vita vya Yemen inadhihirisha kushindwa kwao katika vita hivyo.
-
Muhammad Ali al-Houthi: Marekani chanzo kikuu cha matatizo ya wananchi wa Yemen
Jul 21, 2019 04:23Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapainduzi ya Yemen amesema kuwa, hatua ya serikali za Saudi Arabia na Imarati ya kutekeleza kibubusa siasa za Marekani zimewaletea wananchi wa Yemen matatizo makubwa.
-
Imarati na jitihada za kujinasua katika kinamasi cha vita huko Yemen
Jul 19, 2019 02:31Msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unajaribu kila uwezavyo ili kujinasua kwenye kinamasi cha vita huko Yemen; ambapo sasa imeebainika kuwa nchi hiyo tayari imeanza kufanya juhudi kubwa katika uwanja huo.
-
Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?
Jun 30, 2019 04:16Baadhi ya duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umepunguza idadi ya askari wake waliokuwa katika mji wa Aden huko kusini mwa Yemen.
-
HRW yazilaani Saudia na Imarati kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu
Jun 14, 2019 06:38Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limezilaani Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu na kuzitaka ziheshimu mkataba unaopiga mafuruku mabomu ya aina hiyo.
-
Milipuko kadhaa mikubwa katika Bandari ya al-Fujairah UAE
May 12, 2019 14:55Milipuko kadhaa mikubwa imeripotiwa kujiri katika Bandari ya al-Fujairah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Kuendelea hatua za Imarati katika njia ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel
Mar 12, 2019 13:20Duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika kuendeleza hatua zake za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, kwa mara nyingine tena unajiandaa kupokea timu ya wanamchezo wa Israel.