-
Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza
Jul 24, 2019 17:55Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulinzi ametoa onyo kwa Uingereza kuhusiana na nia yake ya kujiingiza kwenye eneo la Lango Bahari la Hormuz na kwa Marekani kuhusu nia yake ya kutaka kuanzisha vita vya kijeshi na akaeleza kwamba: Kauli iliyotolewa na Saudi Arabia na Imarati kuhusu kuhitimishwa vita vya Yemen inadhihirisha kushindwa kwao katika vita hivyo.
-
Muhammad Ali al-Houthi: Marekani chanzo kikuu cha matatizo ya wananchi wa Yemen
Jul 21, 2019 04:23Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapainduzi ya Yemen amesema kuwa, hatua ya serikali za Saudi Arabia na Imarati ya kutekeleza kibubusa siasa za Marekani zimewaletea wananchi wa Yemen matatizo makubwa.
-
Imarati na jitihada za kujinasua katika kinamasi cha vita huko Yemen
Jul 19, 2019 02:31Msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unajaribu kila uwezavyo ili kujinasua kwenye kinamasi cha vita huko Yemen; ambapo sasa imeebainika kuwa nchi hiyo tayari imeanza kufanya juhudi kubwa katika uwanja huo.
-
Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?
Jun 30, 2019 04:16Baadhi ya duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umepunguza idadi ya askari wake waliokuwa katika mji wa Aden huko kusini mwa Yemen.
-
HRW yazilaani Saudia na Imarati kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu
Jun 14, 2019 06:38Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limezilaani Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu na kuzitaka ziheshimu mkataba unaopiga mafuruku mabomu ya aina hiyo.
-
Milipuko kadhaa mikubwa katika Bandari ya al-Fujairah UAE
May 12, 2019 14:55Milipuko kadhaa mikubwa imeripotiwa kujiri katika Bandari ya al-Fujairah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
-
Kuendelea hatua za Imarati katika njia ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel
Mar 12, 2019 13:20Duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika kuendeleza hatua zake za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, kwa mara nyingine tena unajiandaa kupokea timu ya wanamchezo wa Israel.
-
Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen
Feb 20, 2019 06:49Yusauf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amehimiza kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) na kuzilaumu baadhi ya nchi za Kiarabu kwa kukwamisha jambo hilo. Bin Alawi ametoa kauli hiyo katika mazungumzo ya ana kwa ana na Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia.
-
Papa na Sheikh Mkuu wa al Azhar wasaini Hati ya Kimataifa ya Amani
Feb 05, 2019 08:08Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis na Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri, Ahmed el-Tayeb wanetia saini Hati ya Kimataifa ya Amani na Kuishi Pamoja kwa Amani Kati ya Dini Mbalimbali.
-
Mamluki 10 wa Imarati wauliwa kusini mashariki mwa Yemen
Jan 04, 2019 16:39Duru za habari zimearifu kuwa mamluki wasiopungua kumi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) wameuliwa kwenye mapigano kati ya wanamgambo wanaungwa mkono na nchi hiyo na wenyeji wa mkoa wa Shabwah unaopatikana kusini mashariki mwa Yemen.