Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza

    Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Iran atoa onyo kwa Marekani na Uingereza

    Jul 24, 2019 17:55

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya ulinzi ametoa onyo kwa Uingereza kuhusiana na nia yake ya kujiingiza kwenye eneo la Lango Bahari la Hormuz na kwa Marekani kuhusu nia yake ya kutaka kuanzisha vita vya kijeshi na akaeleza kwamba: Kauli iliyotolewa na Saudi Arabia na Imarati kuhusu kuhitimishwa vita vya Yemen inadhihirisha kushindwa kwao katika vita hivyo.

  • Muhammad Ali al-Houthi: Marekani chanzo kikuu cha matatizo ya wananchi wa Yemen

    Muhammad Ali al-Houthi: Marekani chanzo kikuu cha matatizo ya wananchi wa Yemen

    Jul 21, 2019 04:23

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapainduzi ya Yemen amesema kuwa, hatua ya serikali za Saudi Arabia na Imarati ya kutekeleza kibubusa siasa za Marekani zimewaletea wananchi wa Yemen matatizo makubwa.

  • Imarati na jitihada za kujinasua katika kinamasi cha vita huko Yemen

    Imarati na jitihada za kujinasua katika kinamasi cha vita huko Yemen

    Jul 19, 2019 02:31

    Msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unajaribu kila uwezavyo ili kujinasua kwenye kinamasi cha vita huko Yemen; ambapo sasa imeebainika kuwa nchi hiyo tayari imeanza kufanya juhudi kubwa katika uwanja huo.

  • Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?

    Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?

    Jun 30, 2019 04:16

    Baadhi ya duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umepunguza idadi ya askari wake waliokuwa katika mji wa Aden huko kusini mwa Yemen.

  • HRW yazilaani Saudia na Imarati kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu

    HRW yazilaani Saudia na Imarati kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu

    Jun 14, 2019 06:38

    Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limezilaani Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu kwa kutumia mabomu ya ardhini dhidi ya binadamu na kuzitaka ziheshimu mkataba unaopiga mafuruku mabomu ya aina hiyo.

  • Milipuko kadhaa mikubwa katika Bandari ya al-Fujairah UAE

    Milipuko kadhaa mikubwa katika Bandari ya al-Fujairah UAE

    May 12, 2019 14:55

    Milipuko kadhaa mikubwa imeripotiwa kujiri katika Bandari ya al-Fujairah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Kuendelea hatua za Imarati katika njia ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Kuendelea hatua za Imarati katika njia ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Mar 12, 2019 13:20

    Duru za habari zimeripoti kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika kuendeleza hatua zake za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, kwa mara nyingine tena unajiandaa kupokea timu ya wanamchezo wa Israel.

  • Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen

    Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen

    Feb 20, 2019 06:49

    Yusauf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amehimiza kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) na kuzilaumu baadhi ya nchi za Kiarabu kwa kukwamisha jambo hilo. Bin Alawi ametoa kauli hiyo katika mazungumzo ya ana kwa ana na Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia.

  • Papa na Sheikh Mkuu wa al Azhar wasaini Hati ya Kimataifa ya Amani

    Papa na Sheikh Mkuu wa al Azhar wasaini Hati ya Kimataifa ya Amani

    Feb 05, 2019 08:08

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis na Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri, Ahmed el-Tayeb wanetia saini Hati ya Kimataifa ya Amani na Kuishi Pamoja kwa Amani Kati ya Dini Mbalimbali.

  • Mamluki 10 wa Imarati wauliwa kusini mashariki mwa Yemen

    Mamluki 10 wa Imarati wauliwa kusini mashariki mwa Yemen

    Jan 04, 2019 16:39

    Duru za habari zimearifu kuwa mamluki wasiopungua kumi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) wameuliwa kwenye mapigano kati ya wanamgambo wanaungwa mkono na nchi hiyo na wenyeji wa mkoa wa Shabwah unaopatikana kusini mashariki mwa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS