-
Jumapili, Disemba Pili, 2018
Dec 02, 2018 03:24Leo ni Jumapili tarehe 24 Rabiul-Awwal, Mfungo Sita 1440, Hijria, sawa na Disemba Pili 2018, Miladia.
-
Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar
Oct 28, 2018 02:34Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Qatar ameashiria matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Muhammad bin Salman kwamba Saudi Arabia ina hamu ya kuanzisha tena uhusiano na Qatar na kusisitiza kwamba: Nchi nne zilizoisusia na kuiwekea vikwazo Qatar zinapaswa ziiombe radhi.
-
Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel
Oct 21, 2018 13:33Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika: Bahrain, Imarati (UAE) na Saudi Arabia zimesaini mikataba ya kitita kikubwa cha fedha na Israel kwa ajili ya kununua vifaa vya ujasusi kwa utawala huo.
-
Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar
Aug 02, 2018 08:06Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwaka jana zilipanga kuishambulia na kuivamia kijeshi Qatar mwanzoni mwa mgogoro wa kidiplomasia uliosababisha kuwekewa mzingiro na vikwazo taifa hilo dogo la Ghuba ya Uajemi.
-
Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi
Jun 02, 2018 11:47Anwar Gargash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Imarati amekiri kushindwa nchi yake katika vita dhidi ya watu wa Yemen na kuongeza kuwa, mtihani wa Yemen umekuwa mgumu na bado unaendelea kuwa mgumu.
-
Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington
May 13, 2018 15:42Shirika la habari la Associated Press limefichua kuwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na mabalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Bahrain nchini Marekani mnamo mwezi Machi mwaka huu, hatua inayozidi kuweka wazi uhusiano mzuri uliopo kati ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu.
-
Wakazi wa kisiwa cha Socotra Yemen waandamana kulalamikia uvamizi wa Imarati
May 07, 2018 15:00Raia wa Yemen wanaoishi katika kisiwa cha Socotra kwa siku ya pili mtawalia wamefanya maandamano kulalamikia uwepo wa wanajeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kisiwani humo.
-
Harakati za kigaidi za Imarati nchini Yemen
Apr 08, 2018 06:59Afisa mmoja wa ngazi za juu wa usalama katika mkoa wa Aden, kusini mwa Yemen amefichua kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati inafanya mauaji makubwa katika mkoa huo kama njia ya kuzidi kujipenyeza Abu Dhabi huko kusini mwa Yemen na jitihada zake za kutaka kuigawa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Radiamali ya Iraq dhidi ya misimamo ya uingiliaji ya Imarati
Mar 22, 2018 02:20Ahmad Mahbub, msemaji wa chombo cha diplomasia cha Iraq ametoa taarifa akimtahadharisha Anwar Qarqash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuhusiana na matamshi yake yasiyo ya uwajibikaji, alipozitaja shughuli za wapiganaji wa kujitolea wa Iraq (Hashd as-Sha'bi) kuwa ni za kigaidi, na kuonya kwamba huenda matamshi kama hayo yakaharibu uhusiano wa nchi mbili.
-
Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar
Mar 06, 2018 02:27Kanali ya televisheni ya Aljazeera ya Qatar imeonyesha filamu ya matukio (documentary film) iitwayo "Qatar 96" inayothibitisha kuwa Saudi Arabia, Imarati (UAE), Bahrain na Misri zilihusika katika jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 1996 nchini Qatar.