Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • Jumapili, Disemba Pili, 2018

    Jumapili, Disemba Pili, 2018

    Dec 02, 2018 03:24

    Leo ni Jumapili  tarehe 24 Rabiul-Awwal, Mfungo Sita 1440, Hijria, sawa na Disemba Pili 2018, Miladia.

  • Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar

    Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar

    Oct 28, 2018 02:34

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Qatar ameashiria matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Muhammad bin Salman kwamba Saudi Arabia ina hamu ya kuanzisha tena uhusiano na Qatar na kusisitiza kwamba: Nchi nne zilizoisusia na kuiwekea vikwazo Qatar zinapaswa ziiombe radhi.

  • Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel

    Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel

    Oct 21, 2018 13:33

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika: Bahrain, Imarati (UAE) na Saudi Arabia zimesaini mikataba ya kitita kikubwa cha fedha na Israel kwa ajili ya kununua vifaa vya ujasusi kwa utawala huo.

  • Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar

    Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar

    Aug 02, 2018 08:06

    Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwaka jana zilipanga kuishambulia na kuivamia kijeshi Qatar mwanzoni mwa mgogoro wa kidiplomasia uliosababisha kuwekewa mzingiro na vikwazo taifa hilo dogo la Ghuba ya Uajemi.

  • Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi

    Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi

    Jun 02, 2018 11:47

    Anwar Gargash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Imarati amekiri kushindwa nchi yake katika vita dhidi ya watu wa Yemen na kuongeza kuwa, mtihani wa Yemen umekuwa mgumu na bado unaendelea kuwa mgumu.

  • Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    May 13, 2018 15:42

    Shirika la habari la Associated Press limefichua kuwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na mabalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Bahrain nchini Marekani mnamo mwezi Machi mwaka huu, hatua inayozidi kuweka wazi uhusiano mzuri uliopo kati ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu.

  • Wakazi wa kisiwa cha Socotra Yemen waandamana kulalamikia uvamizi wa Imarati

    Wakazi wa kisiwa cha Socotra Yemen waandamana kulalamikia uvamizi wa Imarati

    May 07, 2018 15:00

    Raia wa Yemen wanaoishi katika kisiwa cha Socotra kwa siku ya pili mtawalia wamefanya maandamano kulalamikia uwepo wa wanajeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kisiwani humo.

  • Harakati za kigaidi za Imarati nchini Yemen

    Harakati za kigaidi za Imarati nchini Yemen

    Apr 08, 2018 06:59

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa usalama katika mkoa wa Aden, kusini mwa Yemen amefichua kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati inafanya mauaji makubwa katika mkoa huo kama njia ya kuzidi kujipenyeza Abu Dhabi huko kusini mwa Yemen na jitihada zake za kutaka kuigawa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Radiamali ya Iraq dhidi ya misimamo ya uingiliaji ya Imarati

    Radiamali ya Iraq dhidi ya misimamo ya uingiliaji ya Imarati

    Mar 22, 2018 02:20

    Ahmad Mahbub, msemaji wa chombo cha diplomasia cha Iraq ametoa taarifa akimtahadharisha Anwar Qarqash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuhusiana na matamshi yake yasiyo ya uwajibikaji, alipozitaja shughuli za wapiganaji wa kujitolea wa Iraq (Hashd as-Sha'bi) kuwa ni za kigaidi, na kuonya kwamba huenda matamshi kama hayo yakaharibu uhusiano wa nchi mbili.

  • Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar

    Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar

    Mar 06, 2018 02:27

    Kanali ya televisheni ya Aljazeera ya Qatar imeonyesha filamu ya matukio (documentary film) iitwayo "Qatar 96" inayothibitisha kuwa Saudi Arabia, Imarati (UAE), Bahrain na Misri zilihusika katika jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 1996 nchini Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS