Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen

    Lawama za Oman kwa nchi za Kiarabu zinazoendesha siasa za kiadui dhidi ya Syria na Yemen

    Feb 20, 2019 06:49

    Yusauf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amehimiza kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) na kuzilaumu baadhi ya nchi za Kiarabu kwa kukwamisha jambo hilo. Bin Alawi ametoa kauli hiyo katika mazungumzo ya ana kwa ana na Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia.

  • Papa na Sheikh Mkuu wa al Azhar wasaini Hati ya Kimataifa ya Amani

    Papa na Sheikh Mkuu wa al Azhar wasaini Hati ya Kimataifa ya Amani

    Feb 05, 2019 08:08

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis na Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri, Ahmed el-Tayeb wanetia saini Hati ya Kimataifa ya Amani na Kuishi Pamoja kwa Amani Kati ya Dini Mbalimbali.

  • Mamluki 10 wa Imarati wauliwa kusini mashariki mwa Yemen

    Mamluki 10 wa Imarati wauliwa kusini mashariki mwa Yemen

    Jan 04, 2019 16:39

    Duru za habari zimearifu kuwa mamluki wasiopungua kumi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) wameuliwa kwenye mapigano kati ya wanamgambo wanaungwa mkono na nchi hiyo na wenyeji wa mkoa wa Shabwah unaopatikana kusini mashariki mwa Yemen.

  • Jumapili, Disemba Pili, 2018

    Jumapili, Disemba Pili, 2018

    Dec 02, 2018 03:24

    Leo ni Jumapili  tarehe 24 Rabiul-Awwal, Mfungo Sita 1440, Hijria, sawa na Disemba Pili 2018, Miladia.

  • Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar

    Waziri wa Ulinzi wa Qatar: Imarati na Saudia zinapaswa kuiomba radhi Qatar

    Oct 28, 2018 02:34

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Qatar ameashiria matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Muhammad bin Salman kwamba Saudi Arabia ina hamu ya kuanzisha tena uhusiano na Qatar na kusisitiza kwamba: Nchi nne zilizoisusia na kuiwekea vikwazo Qatar zinapaswa ziiombe radhi.

  • Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel

    Watawala wa nchi za Kiarabu na ushirikiano wao wa kijasusi na Israel

    Oct 21, 2018 13:33

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika: Bahrain, Imarati (UAE) na Saudi Arabia zimesaini mikataba ya kitita kikubwa cha fedha na Israel kwa ajili ya kununua vifaa vya ujasusi kwa utawala huo.

  • Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar

    Ripoti yafichua: Saudia na UAE zilipanga kuivamia kijeshi Qatar

    Aug 02, 2018 08:06

    Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwaka jana zilipanga kuishambulia na kuivamia kijeshi Qatar mwanzoni mwa mgogoro wa kidiplomasia uliosababisha kuwekewa mzingiro na vikwazo taifa hilo dogo la Ghuba ya Uajemi.

  • Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi

    Kukiri kwa kuchelewa Imarati juu ya kushindwa vita Yemen na indhari ya Sana'a kwa Abu Dhabi

    Jun 02, 2018 11:47

    Anwar Gargash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Imarati amekiri kushindwa nchi yake katika vita dhidi ya watu wa Yemen na kuongeza kuwa, mtihani wa Yemen umekuwa mgumu na bado unaendelea kuwa mgumu.

  • Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    May 13, 2018 15:42

    Shirika la habari la Associated Press limefichua kuwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na mabalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Bahrain nchini Marekani mnamo mwezi Machi mwaka huu, hatua inayozidi kuweka wazi uhusiano mzuri uliopo kati ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu.

  • Wakazi wa kisiwa cha Socotra Yemen waandamana kulalamikia uvamizi wa Imarati

    Wakazi wa kisiwa cha Socotra Yemen waandamana kulalamikia uvamizi wa Imarati

    May 07, 2018 15:00

    Raia wa Yemen wanaoishi katika kisiwa cha Socotra kwa siku ya pili mtawalia wamefanya maandamano kulalamikia uwepo wa wanajeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kisiwani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS