-
Harakati za kigaidi za Imarati nchini Yemen
Apr 08, 2018 06:59Afisa mmoja wa ngazi za juu wa usalama katika mkoa wa Aden, kusini mwa Yemen amefichua kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati inafanya mauaji makubwa katika mkoa huo kama njia ya kuzidi kujipenyeza Abu Dhabi huko kusini mwa Yemen na jitihada zake za kutaka kuigawa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Radiamali ya Iraq dhidi ya misimamo ya uingiliaji ya Imarati
Mar 22, 2018 02:20Ahmad Mahbub, msemaji wa chombo cha diplomasia cha Iraq ametoa taarifa akimtahadharisha Anwar Qarqash, Waziri Mshauri katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuhusiana na matamshi yake yasiyo ya uwajibikaji, alipozitaja shughuli za wapiganaji wa kujitolea wa Iraq (Hashd as-Sha'bi) kuwa ni za kigaidi, na kuonya kwamba huenda matamshi kama hayo yakaharibu uhusiano wa nchi mbili.
-
Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar
Mar 06, 2018 02:27Kanali ya televisheni ya Aljazeera ya Qatar imeonyesha filamu ya matukio (documentary film) iitwayo "Qatar 96" inayothibitisha kuwa Saudi Arabia, Imarati (UAE), Bahrain na Misri zilihusika katika jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 1996 nchini Qatar.
-
Jumamosi, Disemba 2, 2017
Dec 02, 2017 04:11Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe Pili Disemba 2017 Miladia.
-
Imarati: Muungano wa kijeshi wa Saudia unapaswa kuishambulia kwa bomu al-Jazeera
Nov 26, 2017 13:15Afisa mwandamizi wa usalama wa Umoja wa Falme za Kiarabu ametoa mwito kwa muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia kuishambulia kwa bomu kanali ya televisheni ya al-Jazeera ya Qatar.
-
Qatar yafichua nyaraka za uungaji mkono wa Saudia na Imarati kwa magaidi wa Al-Qaeda nchini Yemen
Aug 21, 2017 02:27Qatar imefichua nyaraka zinazoonyesha kuwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zinawaunga mkono magaidi wa mtandao wa Al-Qaeda na kundi la kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Yemen.
-
Mansur Hadi akiri Imarati imevamia maeneo ya kistratijia ya Yemen
Aug 18, 2017 08:32Katika malumbano yake na Mohammed bin Zayed Al Nahyan, mrithi wa kiti cha ufalme wa Abu Dhabi na Naibu Kamanda wa Jeshi la Imarati, Abdrabbuh Mansur Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyetangaza kujiuzulu na kutoroka nchi amekiri kwamba nchi hiyo imeivamia kijeshi Yemen.
-
Baada ya Saudia, Imarati nayo yazusha balaa, yataka HAMAS ipinduliwe Ghaza
Jul 20, 2017 07:56Katika kile kinachoonekana wazi ni kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwasahulisha walimwengu jinai hizo, Umoja wa Falme za Kiarabu nao umetaka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ipinduliwe katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kuzidi kutokota mgogoro ndani ya Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
Jul 17, 2017 09:58Baada ya Rex Tillerson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kushindwa kupatanisha mgogoro wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi ulioanzishwa na Saudi Arabia dhidi ya Qatar, maafisa wa kijasusi wa Marekani wametangaza kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati ndiyo iliyodukua mitandao ya Intaneti ya Qatar na kuzua mgogoro uliopo hivi sasa.
-
Imarati yazidi kuimarisha uhusiano na utawala haramu wa Israel
Jun 05, 2017 07:46Uhusiano wa kiraifiki baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu au Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel umezidi kufichuka baada ya kubainika kuwa pande hizo mbili zina miradi ya pamoja ya kiuchumi na zinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.