-
Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 11, 2019 00:51Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.
-
Jeshi Sudan latangaza uchaguzi mkuu; mauaji ya waandamanaji yazidi kulaaniwa
Jun 04, 2019 02:22Jeshi nchini Sudan leo limetangaza kuvunja makubaliano yote ya kukabidhi madaraka kwa serikali ya mpito ya kiraia na badala yake limetangaza uchaguzi mkuu katika kipindi cha miezi tisa ijayo. Hayo yamekuja baada ya wanajeshi kushambulia waandamanaji na kuua raia 30 na kujeruhi mamia ya wengine jana Jumatatu.
-
Umoja wa Ulaya: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi ni kikwazo cha kurejeshwa amani
Jun 01, 2019 06:57Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa mipango iliyotangazwa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni wa Israel ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Quds Mashariki ni kinyume cha sheria na inakwamisha mchakato wa kurejesha amani.
-
Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumaini kuhusu JCPOA
May 27, 2019 22:42Umoja wa Ulaya na troika ya umoja huo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza daima imekuwa ikidai kuwa inaunga mkono mapatano ya nyuklia na Iran maarufu kwa jina la JCPOA na kwmba nchi hizo zimekuwa zikisisitizia muda wote umuhimu wa kutekelezwa kivitendo mapatano hayo.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ajiuzulu baada ya jitihada zake kuhusu Brexit kufeli
May 24, 2019 07:21Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ametangaza kujiuzulu wadhifa wake baada ya jitihada zake za kuandaa mpango kabambe wa kujiondoa nchi hiyo kutoka Umoja wa Ulaya (Brexit) kugonga mwamba.
-
Shari za Trump: Washington yazionya nchi za Ulaya kuhusu mkakati wao wa kutoishirikisha Marekani katika ulinzi
May 16, 2019 02:04Moja ya hitilafu kuu baina ya Marekani na nchi za Ulaya wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani, ni misimamo ya kukinzana ya pande mbili kuhusu siasa na miundo ya ulinzi ya Ulaya na nafasi ya shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO.
-
Mkutano wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya na sisitizo la kutekelezwa makubaliano ya JCPOA
May 14, 2019 21:47Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) daima zimekuwa zikiunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kutekelezwa kwake.
-
ECFR yaitaka Marekani iangalie upya sera zake haribifu dhidi ya JCPOA
May 12, 2019 02:29Baraza la Uhusiano wa Kigeni la Ulaya ECFR limeitaka Marekani iangalie upya sera zake haribifu na za kiuhasama dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA.
-
Taarifa ya Ulaya kuhusu hatua ya Iran; ulazima wa kutekelezwa ahadi badala ya kudhihirishwa masikitiko
May 10, 2019 21:46Baada ya Marekani kutangaza kujitoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia, JCPOA, mnamo tarehe 8 Mei mwaka uliopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilitaraji kwamba kundi la 4+1 na hasa troika ya Ulaya na Umoja wa Ulaya, lingechukua hatua za kupunguza madhara ya Marekani kuanza kutekeleza tena vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran.
-
Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu maamuzi ya Iran, matarajio ya kulindwa JCPOA bila kutolewa fursa
May 09, 2019 02:47Mapatano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA yalifikiwa mjini Vienna mwezi Julai 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1, huku utekelezaji wake ukiwa ulianza mwezi Januari 2016.