Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Netanyahu atishia kumtimua mkuu wa majeshi akikataa kutekeleza mpango wa kuivamiza Ghaza yote

    Netanyahu atishia kumtimua mkuu wa majeshi akikataa kutekeleza mpango wa kuivamiza Ghaza yote

    Aug 07, 2025 04:30

    Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amemtishia kumfukuza kazi mkuu wa majeshi Eyal Zamir, ikiwa ataukataa mpango uliopendekezwa wa kuukalia kijeshi Ukanda wote wa Ghaza. Hayo yameripotiwa na duru za karibu na Netanyahu mwenyewe.

  • Afrika yaanza kutengeneza dawa za kukabiliana na UKIMWI

    Afrika yaanza kutengeneza dawa za kukabiliana na UKIMWI

    Aug 05, 2025 07:47

    Nchi za Afrika zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara zimepiga hatua muhimu kuelekea kujitegemea zaidi katika masuala ya afya kupitia hatua ya hivi karibuni zaidi ya kutengeneza dawa za kukabiliana na Virusi Vya Ukimwi, (VVU).

  • Iran: Nchi jirani zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa kizayuni wa Israel

    Iran: Nchi jirani zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa kizayuni wa Israel

    Aug 05, 2025 03:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini aliyonayo ya kukamilika mkataba wa amani kati ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia lakini amezitaka pia nchi majirani wa Iran zizuie ardhi zao zisitumiwe vibaya na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Meya wa Athens 'amnyoosha' balozi wa Israel:

    Meya wa Athens 'amnyoosha' balozi wa Israel: "Hatuhitaji kufunzwa demokrasia na wauaji wa raia"

    Aug 04, 2025 10:32

    Meya wa jiji la Athens nchini Ugiriki amemshambulia vikali balozi wa utawala wa kizayuni wa Israel nchini humo Noam Katz kwa kumwambia: "sisi hatuhitaji kupewa masomo kuhusu demokrasia na wale wanaoua raia".

  • Sanders: 60% ya Wamarekani wanapinga vita vya kinyama vya Netanyahu dhidi ya Wapalestina

    Sanders: 60% ya Wamarekani wanapinga vita vya kinyama vya Netanyahu dhidi ya Wapalestina

    Aug 03, 2025 07:09

    Bernie Sanders, Seneta wa kujitegemea anayewakilisha jimbo la Vermont nchini Marekani amesema: "asilimia 60 ya watu wa nchi hii wanapinga vita vya kinyama vya waziri mkuu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Kuongezeka matukio ya kujiua miongoni mwa askari wa Kizayuni; jeshi la Israel linasambaratika kutokea ndani

    Kuongezeka matukio ya kujiua miongoni mwa askari wa Kizayuni; jeshi la Israel linasambaratika kutokea ndani

    Aug 03, 2025 02:25

    Vitendo vya kujiuawa vitakuwa kuwa tishio na jinamizi kuu miongoni mwa wanajeshi wa Israel baada ya kumalizika vita vya Gaza.

  • Waziri wa Syria: Israel inalenga kuigawanya Syria vipande vipande, si kuwatetea Wadruze

    Waziri wa Syria: Israel inalenga kuigawanya Syria vipande vipande, si kuwatetea Wadruze

    Aug 02, 2025 11:16

    Waziri mmoja wa serikali ya mpito ya Syria amekosoa uingiliaji kijeshi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika matukio ya eneo la kusini mwa Syria na kusistiza kuwa, lengo hasa la Tel Aviv ni kuigawanya na kuivuruga nchi hiyo na si kutetea jamii za wachache za kikabila au za kidini za watu wa nchi hiyo.

  • Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa

    Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa la Palestina kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa

    Aug 01, 2025 15:03

    Mkutano wa Kimataifa wa Palestina umeafiki kuchukua hatua za pamoja za kumaliza vita vya Israel dhidi ya watuu wa Gaza, na kuunga mkono kile kilichoitwa kuwa suluhisho la "nchi mbili" na kuanzishwa kwa taifa la Palestina.

  • Mamia ya watu mashuhuri Ujerumani watoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa Israel

    Mamia ya watu mashuhuri Ujerumani watoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa Israel

    Aug 01, 2025 13:27

    Gazeti la Ujerumani la Der Spiegel limeandika kuwa, zaidi ya shakhsia 200 mashuhuri wa vyombo vya habari, utamaduni na sanaa wameitaka serikali ya Ujerumani kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel.

  • Jeshi la Yemen lashambulia ngome 3 za Israel kwa kutumia droni 5

    Jeshi la Yemen lashambulia ngome 3 za Israel kwa kutumia droni 5

    Jul 31, 2025 12:17

    Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi matatu ya ndege zisizo na rubani (droni) katika maeneo matatu ya Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS