-
Wazayuni: Ni muujiza tu ndio utatuokoa mbele ya operesheni za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
May 25, 2023 06:07Kituo cha upashaji habari cha "al Mu'uti" cha Palestina kimetangaza kuwa, wanamapambano wa Palestina wamefanya operesheni 25 dhidi ya walowezi wa Kizayuni katika kipindi cha masaa 24 ya hadi ilipotangazwa habari hiyo na kuwakosesha usingizi kabisa walowezi hao ambao wanasema waziwazi kuwa ni muujiza tu ndio utaokoa maisha yao.
-
Wayemen wafanya maandamano makubwa katika Siku ya Kupambana na Uistikbari
May 24, 2023 07:25Wananchi wa Yemen leo Jumatano wamekusanyika katika maidani kuu ya mji mkuu wa nchi hiyo Sana'a na katika miji mingine ya nchi hiyo kufanya maandamano makubwa kwa mnasaba wa Siku ya Kupambanan na Uistikbari yaani "Yaum Sarkha."
-
WHO yatakiwa kusaidia kuachiliwa huru mateka wa Kipalestina
May 21, 2023 10:09Kamati ya Wafungwa wa Kipalestina imelitaka Shirika la Afya Duniani (WHO) kuingilia kati na kuokoa roho za mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya kuogofya ya utawala vamizi wa Israel.
-
Baada ya miaka 56 askari wa Kizayuni azirejesha funguo alizoiba za Msikiti wa Al Aqsa
May 20, 2023 22:45Mwanajeshi wa zamani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amezirejesha funguo za Babul-Magharibah, moja ya milango ya ukuta wa magharibi wa Msikiti wa Al-Aqsa, tangu alipoziiba miaka 56 iliyopita katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na akaeleza: "hivi ndivyo Israel inapaswa kuwafanyia Wapalestina".
-
Duru za Kizayuni zakiri ushindi mkubwa wa Rais Bashar al Assad wa Syria
May 20, 2023 07:41Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimekiri kwamba Rais Bashar al Assad wa Syria amepata ushindi mkubwa kwa kushiriki kwake katika Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Arab League mjini Jeddah na kuonana kwake na mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia, Mohammad bin Salman.
-
Afisa wa zamani wa Kizayuni akiri utawala huo ulimuua mwandishi wa habari wa Palestina, Shireen Abu Akleh
May 20, 2023 03:22Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar imetangaza katika ripoti yake kwamba afisa mmoja wa ngazi ya juu katika ofisi ya waziri wa zamani wa ulinzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwa serikali ya Marekani kwamba Israel ilihusika na mauaji ya mwandishi wa habari wa Kipalestina "Shireen Abu Akleh" aliyepigwa risasi na wanajeshi wa utawala huo ghasibu.
-
Mawaziri wa utawala wa Kizayuni watoa wito wa kushambuliwa Msikiti wa Al-Aqsa
May 17, 2023 21:38Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa baadhi ya mawaziri na wajumbe wa bunge la utawala haramu wa Israel, Knesset, wametoa wito wa kushambuliwa Msikiti wa Al-Aqsa katika siku ya maandamano ya bendera.
-
Wazayuni wakiri kupata pigo; wasema: Israel haina uwezo wa kukabiliana na makombora ya Wapalestina
May 16, 2023 10:49Majenerali wa jeshi la utawala wa Kizayuni wamekiri kupata pigo katika vita vya siku tano vilivyoisha Ijumaa iliyopita na kutangaza wazi kwamba, katika uvamizi wake wa hivi karibuni huko Ghaza, utawala wa Israel si tu haukupata mafanikio yoyote, lakini ngome ya ulinzi wa anga ya Israel imeshindwa kukabiliana na makombora ya muqawama wa Palestina.
-
Hizbullah ya Lebanon: Wananchi wa Palestina wathibitisha tena thamani yao katika ushindi na ukombozi
May 15, 2023 22:02Sheikh Naim Qassim, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah amesema kuwa, wananchi wanamuqawama wa Palestina kwa mara nyingine tena wamethibitisha thamani yao katika ushindi na ukombozi.
-
Ayatullah Arafi: Dini zote zisimame imara kukabiliana na dhulma za utawala wa Kizayuni wa Israel
May 15, 2023 03:30Mkuu wa vyuo vya kidini nchini Iran amesema: dini zote zinapaswa kusimama imara na kupinga dhulma na ukandamizaji wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.