Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uvunjaji wa haki za binadamu

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Saudia imekamata dazeni ya wanaharakati wa kike mwaka 2021

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Saudia imekamata dazeni ya wanaharakati wa kike mwaka 2021

    Dec 27, 2021 02:44

    Shirika la kutetea haki za binadamu limetoa tahadhari kuhusu hali mbaya ya haki za binadamu nchini Saudi Arabia, likisema dazeni ya wanaharakati mashuhuri wa haki za wanawake wamekamatwa kiholela na askari wa utawala wa Riyadh katika kipindi chote cha mwaka huu.

  • Shirika la haki za binadamu la al Karama laishitaki Saudi Arabia UN

    Shirika la haki za binadamu la al Karama laishitaki Saudi Arabia UN

    Dec 21, 2021 08:18

    Shirika la kutetea haki za binadamu la al Karama limetuma ripoti kwa Kamati ya Kukabiliana na Mateso ya Umoja wa Mataifa likieleza kiwango cha juu cha mateso na unyanyasaji unaofanyika katika jela za utawala wa Saudi Arabia.

  • Hamaki za Israel hata kwa “ripoti isiyo na dhamana” ya Baraza la Haki za Binadamu la Umioja wa Mataifa

    Hamaki za Israel hata kwa “ripoti isiyo na dhamana” ya Baraza la Haki za Binadamu la Umioja wa Mataifa

    Nov 03, 2021 02:28

    Kitendo cha mwakilishi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Gilad Erdan cha kurarua na kuchanachana kwa hasira ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo kuhusu jinai za utawala huo huko Palestina kimeonyesha wazi kwamba, utawala huo hauwezi kuvumilia hata ripoti ambazo kimsingi “hazina dhama ya utekelezwaji wake”.

  • Waislamu Kenya walaani MUHURI kuajiri ‘mtetezi wa mashoga’

    Waislamu Kenya walaani MUHURI kuajiri ‘mtetezi wa mashoga’

    Sep 01, 2021 07:32

    Waislamu nchini Kenya wameliomba Baraza Kuu la Waislamu nchini humo (SUPKEM) liingilie kati kuhusu uamuzi wa shirika la kutetea haki za Waislamu la Muslims for Human Rights (MUHURI) wa kuajiri Mkurugenzi Mkuu anayedaiwa kuwa mtetezi wa wapenzi wa jinsia moja.

  • Wanaharakati wa Saudia kufanya maandamano ya kupinga serikali Siku ya Arafa

    Wanaharakati wa Saudia kufanya maandamano ya kupinga serikali Siku ya Arafa

    Jul 18, 2021 08:15

    Wanaharakati wa Saudi Arabia wamepanga kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya utawala wa Al Saud Siku ya Arafa.

  • Palestina yaikosoa UN kwa kutoiweka Israel katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto

    Palestina yaikosoa UN kwa kutoiweka Israel katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto

    Jun 21, 2021 11:59

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imeukosoa Umoja wa Mataifa kwa kutoiweka Israeli kwenye orodha nyeusi ya kila mwaka ya makundi na nchi zinazohusika na ukiukaji mkubwa wa haki za watoto, ikisema kupuuza jinai za utawala huo kunawapa kinga ya kuhukumiwa Wazayuni wanaoua watoto.

  • Amnesty yataka uchunguzi wa kifo cha mfungwa wa kisiasa Bahrain

    Amnesty yataka uchunguzi wa kifo cha mfungwa wa kisiasa Bahrain

    Jun 17, 2021 02:25

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo tatanishi cha mfungwa wa kisiasa huko nchini Bahrain.

  • Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji

    Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji

    Jun 10, 2021 02:32

    Mwakilishi wa Taasisi ya Kulinda Watoto nchini Msumbiji imeripoti kuwa, magaidi nchini humo wanawateka nyara watoto.

  • Vikwazo vya Marekani kipindi cha corona ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Vikwazo vya Marekani kipindi cha corona ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Jun 06, 2021 02:37

    Wimbi la maambukizi ya virusi vya corona linaendelea kuchukua roho za watu katika nchi mbalimbali duniani huku jumuiya za kimataifa zikisisitiza udharura wa kutolewa chanjo ya kukabiliana na virusi hivyo na kusambazwa chanjo hiyo na vifaa vingine vya tiba ili kufanikisha jitihada za kuvuka kipindi cha sasa cha janga hilo la kimataifa.

  • Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Bobi Wine: Jamii ya kimataifa inathamini zaidi biashara kuliko maadili, haki za binadamu

    Jun 05, 2021 02:31

    Kiongozi wa upinzani wa Uganda Robert Kyagulanyi Sentamu maarufu kwa jina la Bobi Wine amesema hali ya haki za binadamu nchini Uganda imekuwa mbaya zaidi tangu baada ya uchaguzi wa Januari 14 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS