Feb 21, 2019 07:53
Serikali ya Russia kupitia Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Sargey Lavrov imemuonya Juan Guaidó, mpinzani wa serikali ya Venezuela aliyejitangaza kuwa rais wa nchi hiyo kwa hatua yake ya kuruhusu uingiliaji wa kigeni ndani ya taifa hilo.