Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • "CIA ilifahamu kuhusu njama za kumpindua Rais wa Venezuela"

    Jan 30, 2022 07:52

    Imebainika kuwa, maafisa wa ngazi za juu wa utawala wa Marekani wakiwemo maafisa waandamizi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, walifahamu kuhusu kuwepo kwa njama za kumpindua madarakani Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.

  • Kinara wa upinzani Venezuela: Niko tayari kufanya mazungumzo na serikali ya Maduro

    Kinara wa upinzani Venezuela: Niko tayari kufanya mazungumzo na serikali ya Maduro

    Jan 30, 2022 02:44

    Kinara wa upinzani nchini Venezuela ametangaza utayari wake wa kuanza tena kkufanya mazungumzo na serikali ya Rais Nicolas Maduro.

  • Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Jan 19, 2022 02:40

    Licha ya njama mtawalia za Marekani za kuhakikisha Venezuela inatengwa kieneo na kimataifa, lakini Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini ametangaza kuwa, Venezuela imerejea katika mkondo wa ustawi na kukua uchumi wake licha ya miaka kadhaa ya njama hizo za Marekani.

  • Sisitizo la Rais Maduro la kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro la kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Dec 29, 2021 02:40

    Sambamba na kuendelea mashinikizo ya kisiasa ya Marekani dhidi ya taifa na serikali ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hivyo amesema kuwa, taifa hilo limesimama kidete dhidi ya ubeberu na limefanikiwa kuibuka na ushindi.

  • Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani

    Dec 27, 2021 13:27

    Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Venezuela yaitaka ICC ichunguze vikwazo vya Marekani dhidi yake

    Venezuela yaitaka ICC ichunguze vikwazo vya Marekani dhidi yake

    Aug 25, 2021 12:56

    Makamu wa Rais wa Venezuela ameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ifanye uchunguzi juu ya vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini, akisisitiza kuwa vikwazo hivyo ni jinai dhidi ya binadamu.

  • Maduro aliagiza jeshi la Venezuela litoe jibu kali kwa chokochoko za Marekani

    Maduro aliagiza jeshi la Venezuela litoe jibu kali kwa chokochoko za Marekani

    Jul 25, 2021 11:13

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amelitaka jeshi la nchi hiyo lijiweka tayari na kutoa jibu kali kwa uchokozi na uvamizi wa aina yoyote wa Marekani dhidi ya nchi hiyo.

  • Rais wa Venezuela atangaza utayari wake wa kufanya mazungumzo na mrengo wa upinzani

    Rais wa Venezuela atangaza utayari wake wa kufanya mazungumzo na mrengo wa upinzani

    Jul 24, 2021 08:07

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametangaza kuwa, yuko tayari kushiriki katika mazungumzo na mrengo wa upinzani.

  • Masharti ya Maduro kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wapinzani

    Masharti ya Maduro kwa ajili ya kufanya mazungumzo na wapinzani

    Jul 14, 2021 08:38

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametangaza kuwa yupo tayari kufanya duru nyingine ya mazungumzo na wapinzani wa serikali iwapo baadhi ya masharti aliyotoa yatatimizwa.

  • Sisitizo la Moscow la kuiunga mkono kijeshi Caracas

    Sisitizo la Moscow la kuiunga mkono kijeshi Caracas

    Jun 25, 2021 02:14

    Russia siku zote imekuwa moja kati ya waungaji mkono wakubwa wa Venezuela kimataifa licha ya mashinikizo na vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi hiyo. Vilevile inaendelea kuisaidia serikali ya Caracas na kuipa misaada ya aina mbalimbali hasa katika sekta ya ustawi wa kiuchumi na kijeshi sambamba na kumuunga mkono na kumhami Rais wa nchi hiyo, Nicolas Maduro.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS