-
Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow
Aug 11, 2018 01:49Dmitry Medvedev, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, kushadidishwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia, ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara kwa nchi yake.
-
Russia yazipongeza nchi za Ulaya kwa kusimama imara kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Aug 08, 2018 10:02Maafisa waandamizi wa Russia wamesema kuwa, upinzani wa nchi za Ulaya dhidi ya vikwazo vya Marekani kwa Iran unaonesha namna nchi za bara hilo zilivyo na nia thabiti ya kukabiliana na siasa za kujinufaisha upande mmoja za Washington.
-
Marekani yazitisha nchi za Ulaya kwamba itaziwekea vikwazo nchi zitakazofanya biashara na Iran
Aug 02, 2018 23:54Mtandao wa habari wa Washington Free Beacon umeinukuu serikali ya Marekani na bunge la kongresi la nchi hiyo zikizionya nchi za Ulaya kuhusiana na kuendeleza mashirikiano ya kibiashara na Iran.
-
Zarif: Marekani imepatwa na uraibu wa kuweka vikwazo
Jul 30, 2018 03:19Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema Marekani imepatwa na uraibu wa kuweka vikwazo dhidi ya nchi mbalimbali na kwamba Wairani watavuka kipindi kigumu cha sasa kwa umoja na mshikamano wao.
-
Trump: Vikwazo vya Russia havitaondolewa na hakuna muhula kuhusu mazungumzo na Pyongyang
Jul 19, 2018 03:50Rais wa Marekani amesema katika mazungumzo na wabunge wa nchi hiyo huko White House kuwa hakuna uwezekano wa kufutwa vikwazo dhidi ya Moscow na kwamba vikwazo hivyo vitaendelea kuwepo licha ya kufanyika mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Russia.
-
Mike Pompeo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea
Jul 19, 2018 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa kufikiwa makubaliano kamili ya nyuklia kati ya nchi yake na Korea Kaskazini, kutategemea muda mrefu na kwamba katika kipindi hicho vikwazo vya Washington dhidi ya Pyongyang vitaendelea kuwepo.
-
Hatua mpya ya Umoja wa Ulaya ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Jul 18, 2018 05:31Licha ya kuendelea vitisho vya Marekani kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran JCPOA, Umoja wa Ulaya umepitisha sheria ya kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran inayojulikana kama 'Sheria Zuizi.'
-
Baraza la Usalama la UN laiwekea vikwazo Sudan Kusini
Jul 13, 2018 22:51Baraza la Usalama la Umoja wa Umoja wa Mataifa limeiwekea vikwazo vya silaha nchi ya Sudan Kusini, karibu miaka mitano sasa baada ya nchi hiyo kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Marekani yalegeza msimamo wa vikwazo dhidi ya Iran baada ya kuonywa
Jul 11, 2018 08:51Marekani imelegeza msimamo wake mkali wa kuiwekea Iran vikwazo na kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya nchi hii kuuzwa katika soko la kimataifa ifikapo Novemba 4.
-
Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani
Jul 10, 2018 02:49Waziri wa Mambo wa Nje wa Russia, Sergei Lavrov amesema nchi tatu kubwa za Umoja wa Ulaya na ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimeafikiana kuzindua uhusiano wa kibiashara na Iran pasina kutegemea matumizi ya dola za Marekani.