Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Frank N. von Hippel: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havitokuwa na natija yoyote

    Frank N. von Hippel: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havitokuwa na natija yoyote

    Jul 09, 2018 09:20

    Naibu wa zamani wa Usalama wa Taifa katika ikulu ya Marekani, White House, Frank N. von Hippel amesema kuwa vikwazo vya serikali ya Washington dhidi ya Iran havitokuwa na natija yoyote.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 05:22

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 02:46

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jul 04, 2018 02:53

    Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Kuendelea vikwazo; kilele cha uadui wa Marekani dhidi ya Iran

    Kuendelea vikwazo; kilele cha uadui wa Marekani dhidi ya Iran

    May 31, 2018 20:22

    Vikwazo vipya vimetangazwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia uamuzi wa Marekani wa kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    May 29, 2018 03:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India amesema kuwa, nchi yake haitofuata maagizo ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • UN yamuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini

    UN yamuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini

    May 27, 2018 09:17

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kumuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Sudan Kusini, Kuol Manyang Juk kutokana na kile lilichodai kuwa ni kitendo cha afisa huyo wa Juba kukiuka makubaliano ya usitishaji vita.

  • IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia

    IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia

    May 26, 2018 03:13

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha Duniani IMF amemuasa Rais Donald Trump wa Marekani kuangalia upya sera zake za kushadidisha vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.

  • Vikwazo vya Marekani dhidi ya viongozi wa Hizbullah ya Lebanon

    Vikwazo vya Marekani dhidi ya viongozi wa Hizbullah ya Lebanon

    May 17, 2018 22:08

    Serikali ya Marekani imetangaza vikwazo vingine vipya, mara hii ikiwa ni dhidi ya viongozi waandamizi wa Hizbullah ya Lebanon akiwemo Katibu Mkuu wake Sayyid Hassan Nasrullah na naibu wake Sheikh Naeem Qassim.

  • Kususiwa sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    Kususiwa sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani mjini Quds

    May 13, 2018 06:05

    Zaidi ya nusu ya viongozi wa kigeni walioalikwa kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa ubalozi wa Marekani mjini Quds, wamekataa kushiriki sherehe hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS