Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Kujizuia Ulaya kubeba gharama za kujitoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    Kujizuia Ulaya kubeba gharama za kujitoa Marekani katika makubaliano ya JCPOA

    May 12, 2018 07:55

    Jean-Yves Le Drian Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ameitaja hatua ya Marekani ya kuyawekea mashinikizo mashirika ya nje ambayo yana uhusiano wa kibiashara na Iran kuwa haikubaliki na kueleza kuwa: Nchi za Ulaya hazipasi kubeba gharama za kujitoa Marekani ndani ya JCPOA.

  • Majibu makali ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    Majibu makali ya Russia kwa vikwazo vipya vya Marekani

    May 12, 2018 02:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa tamko kali la kujibu vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake na kusema kuwa, vikwazo hivyo vya serikali ya Donald Trump dhidi ya Moscow vinatokana na hamaki za Washington za kushindwa mashambulizi yake ya tarehe 14 Aprili nchini Syria.

  • Muhammad Javad Zarif: Serikali ya Marekanin imefilisika kimaadili

    Muhammad Javad Zarif: Serikali ya Marekanin imefilisika kimaadili

    Apr 13, 2018 23:47

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa njama za Marekani za kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran na kusema kuwa, serikali ya Washington imefilisika kimaadili.

  • Qassemi: Marekani haitofanikiwa kukwamisha ustawi wa kielimu wa Iran kwa kutumia mbinu ya vikwazo

    Qassemi: Marekani haitofanikiwa kukwamisha ustawi wa kielimu wa Iran kwa kutumia mbinu ya vikwazo

    Mar 24, 2018 00:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hatua ya karibuni ya Marekani ya kuwawekea vikwazo shakhsia 10 na shirika moja linaloendesha shughuli zake Iran na kusisitiza kuwa serikali ya Marekani haitofanikiwa kusimamisha au kuzuia ustawi wa kielimu wa wananchi wa Iran kwa kutumia mbinu ya vikwazo.

  • Uturuki: Marekani isithubutu kutuwekea aina yoyote ya vikwazo, sisi ni marafiki

    Uturuki: Marekani isithubutu kutuwekea aina yoyote ya vikwazo, sisi ni marafiki

    Mar 10, 2018 23:57

    Serikali ya Uturuki kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo, imeitahadharisha Marekani juu ya kuiwekea vikwazo vya aina yoyote.

  • IGAD yaunga mkono vikwazo dhidi ya wanaovuruga amani Sudan Kusini

    IGAD yaunga mkono vikwazo dhidi ya wanaovuruga amani Sudan Kusini

    Mar 02, 2018 04:09

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali ya Nchi za Afrika Mashariki IGAD imetangaza kuwa inaunga mkono hatua ya kuwekewa vikwazo viongozi na shakhsia wote wanaokwamisha jitihada za kupatiwa ufumbuzi mgogoro nchini Sudan Kusini.

  • Korea Kaskazini: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi yetu ni sawa na kututangazia vita

    Korea Kaskazini: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi yetu ni sawa na kututangazia vita

    Feb 26, 2018 05:21

    Korea Kaskazini imesema kuwa, vikwazo vipya vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ni sawa na tangazo la vita dhidi ya Pyongyang.

  • Radiamali ya Hamas kwa hatua ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi yake

    Radiamali ya Hamas kwa hatua ya Marekani ya kupasisha vikwazo vipya dhidi yake

    Feb 15, 2018 12:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja hatua ya Bunge la Wawakilishi la Marekani ya kupasisha sheria ya kuiwekea vikwazo vipya harakati hiyo kwa kisingizio kuwa Hamas inawatumia raia kama ngao ya binadamu, kuwa ni kitendo kinachokwenda sambamba na matakwa ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN yawawekea vikwazo jenerali wa jeshi Congo DR, makamanda wa waasi

    UN yawawekea vikwazo jenerali wa jeshi Congo DR, makamanda wa waasi

    Feb 03, 2018 12:04

    Kamati ya Vikwazo ya Umoja wa Mataifa imeyaweka majina manne ya makamanda wengine wa kijeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika orodha yake nyeusi.

  • Kim Jong-un: Vikwazo vya kimataifa dhidi ya Korea Kaskazini havina taathira yoyote

    Kim Jong-un: Vikwazo vya kimataifa dhidi ya Korea Kaskazini havina taathira yoyote

    Jan 13, 2018 10:19

    Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, hata kama vikwazo vya kimataifa dhidi ya Pyongyang vitaendelea kwa karne nzima, nchi yake haitokabiliwa na matatizo makubwa na badala yake itasimama kukabiliana na vikwazo hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS