Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati

    Ziara isiyo na tija ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika nchi za Saudia na Imarati

    Mar 19, 2022 06:05

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mbaye alikuwa ziarani katika nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), amejaribu sana kuzishawishi nchi hizo mbili ziongeze kiwango chao cha uzalishaji mafuta, lakini amerejea London mikono mitupu.

  • Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia

    Macron na Biden waafikiana kuongeza vikwazo dhidi ya Russia

    Mar 14, 2022 08:13

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amezungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Marekani kuhusu mashambulio ya Russia dhidi ya Ukraine, na pande hizo mbili zimekubaliana kuzidisha vikwazo dhidi ya Moscow.

  • Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya

    Kuongezeka propaganda za kueneza chuki dhidi ya Russia barani Ulaya

    Mar 09, 2022 08:08

    Huku mgogoro ukizidi kuwa mkubwa baina ya Russia na nchi za Magharibi hususan kutokana na kupamba moto mapigano nchini Ukraine, mashinikizo yanayotokana na vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia nayo yameongezeka.

  • Amir-Abdollahian: Mazungumzo ya Vienna yatafanikiwa iwapo nchi za Magharibi zaitabadilisha msimamo

    Amir-Abdollahian: Mazungumzo ya Vienna yatafanikiwa iwapo nchi za Magharibi zaitabadilisha msimamo

    Feb 27, 2022 04:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya na kusema baadhi ya masuala muhimu yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna ya kuondolewa Iran vikwazo yanaweza kutatuliwa.

  • Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia

    Feb 25, 2022 13:33

    Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.

  • Vikwazo vya kimaonyesho vya Magharibi dhidi ya Russia kwa kisingizio cha mgogoro wa Ukraine

    Vikwazo vya kimaonyesho vya Magharibi dhidi ya Russia kwa kisingizio cha mgogoro wa Ukraine

    Feb 24, 2022 02:52

    Tangazo la Russia la kutambua rasmi uhuru wa Jamhuri za watu wa Donetsk na Luhansk huko mashariki mwa Ukraine limeibua hisia kali za nchi za Magharibi.

  • DiCarlo: Vikwazo vya UN vimekuwa kibogoyo, havina tena taathira

    DiCarlo: Vikwazo vya UN vimekuwa kibogoyo, havina tena taathira

    Feb 10, 2022 08:59

    Wakati Umoja wa Mataifa ukiendelea kutumia vikwazo kama sera ya kuziadhibu nchi mbalimbali duniani, Naibu Katibu Mkuu wa umoja huo katika Masuala ya Siasa na Kujenga Amani, Rosemary Anne DiCarlo amekiri kwamba utumiaji wa vikwazo hauna tena taathira kama ilivyokuwa hapo awali.

  • Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Kukua uchumi wa Venezuela licha ya miaka kadhaa ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani

    Jan 19, 2022 02:40

    Licha ya njama mtawalia za Marekani za kuhakikisha Venezuela inatengwa kieneo na kimataifa, lakini Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini ametangaza kuwa, Venezuela imerejea katika mkondo wa ustawi na kukua uchumi wake licha ya miaka kadhaa ya njama hizo za Marekani.

  • Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China

    Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China

    Dec 09, 2021 04:44

    Jen Psaki Msemaji wa Ikulu ya White House alitangaza Jumatatu usiku kuwa, "serikali ya Joe Biden haitatuma mwakilishi rasmi au wa kidiplomasia katika michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi." Amedai kuwa sababu ya uamuzi huo wa serikali ya Marekani ni mauaji ya kimbari na jinai dhidi ya binadamu katika mkoa wa Xinjiang na vitendo vingine vya ukiukwaji wa haki za binadamu China.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Nov 20, 2021 13:43

    Wizara ya Fedha ya Marekani juzi Alhamisi ilitangaza kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya shakhsia sita na shirika moja la Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa rais wa Marekani. Ofisi inayosimamia fedha ya taasisi hiyo ya Marekani imesema kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya watu sita na taasisi moja ya Iran kwa kile ilichokitaja kuwa kujaribu kuathiri uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS