Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Poland yaonya: Ulaya ipo katika ncha ya kutumbukia vitani

    Poland yaonya: Ulaya ipo katika ncha ya kutumbukia vitani

    Jan 14, 2022 03:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametahadharisha kuwa, bara Ulaya lipo katika hatari kubwa ya kutumbukia kwenye vita wakati huu, kuliko ilivyokuwa miongo mitatu iliyopita.

  • Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen

    Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen

    Dec 05, 2021 02:37

    Mashambulio ya mabomu dhidi ya Yemen yanayofanywa na jeshi la muungano unaoongozwa na Saudi Arabia yanaendelea huku nchi za Magharibi, zinazotoa nara za kutetea haki za binadamu hususan Marekani, zikiendelea kuisaidia Saudi Arabia katika kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • UN na AU zatoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, onyo la kukaririwa hali ya Kabul latolewa

    UN na AU zatoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, onyo la kukaririwa hali ya Kabul latolewa

    Dec 04, 2021 02:36

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimetoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Ethiopia, huku afisa wa Umoja wa Mataifa akionya dhidi ya kukaririwa hali iliyoshudiwa Kabul nchini Afghanistan baada ya Taliban kuidhibiti nchini hiyo, huko Addis Ababa.

  • Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus

    Rais Lukashenko: Marekani inataka kuanzisha vita Belarus

    Nov 27, 2021 04:37

    Rais Alexander Lukashenko wa Belarus amesema Marekani inatumia mgogoro wa wakimbizi kutaka kuibua makabiliano baina ya nchi mbili hizo.

  • Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa

    Umoja wa Afrika kutuma mjumbe nchini Sudan kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisiasa

    Nov 15, 2021 02:48

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utatuma mjumbe nchini Sudan kwa ajili ya kutafuta suluhisho la mgogoro wa kisaisa nchini humo.

  • Serikali ya Ethiopia yatangaza masharti ya mazungumzo ya kusitisha mapigano Tigray

    Serikali ya Ethiopia yatangaza masharti ya mazungumzo ya kusitisha mapigano Tigray

    Nov 12, 2021 07:53

    Serikali ya Ethiopia imetangaza masharti kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kusitisha mapigano na viongozi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF), kufuatia juhudi za kidiplomasia za kimataifa zenye lengo la kusitisha uhasama unaozidi kuongezeka huko kaskaqzini mwa nchi hiyo.

  • China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki

    China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki

    Nov 11, 2021 09:46

    Rais Xi Jinping wa China ameonya kuhusu uwezekano wa kurejea mgogoro wa zama za Vita Baridi katika eneo la Asia Pasifiki huku hali ya taharuki ikiendelea kushuhudiwa baina ya Marekani na China kuhusu eneo la China Taipei.

  • Kiongozi wa wanaotaka kujitenga Biafra (IPOB), kufikishwa mahakamani leo

    Kiongozi wa wanaotaka kujitenga Biafra (IPOB), kufikishwa mahakamani leo

    Nov 10, 2021 06:32

    Kiongozi wa Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), wanaotaka kujitenga eneo la kusini mashariki mwa Nigeria, anatazamiwa kurejeshwa mahakamani hii leo Jumatano katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.

  • UN: Ethiopia inakaribia kutumbukia katika vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe

    UN: Ethiopia inakaribia kutumbukia katika vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe

    Nov 09, 2021 12:37

    Mkuu wa Idara ya Siasa ya Umoja wa Mataifa, Rosemary DiCarlo amesema hatari ya Ethiopia kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ni kubwa mno", akiongeza kuwa athari za kisiasa za kushadidi ghasia nchini humo zitazidisha migogoro inayolisumbua eneo la Pembe ya Afrika.

  • Serikali ya Biden yaidhinisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia

    Serikali ya Biden yaidhinisha mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia

    Nov 06, 2021 15:47

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Marekani imeidhinisha mauzo ya makombora yenye thamani ya dola milioni 650 kwa Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS