Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Jun 28, 2022 02:51

    Jeshi la Sudan limelitumu jeshi la Ethiopia kuwa limewanyonga wanajeshi 7 na raia mmoja wa Sudan waliokuwa wafungwa nchini humo, jambo ambalo limekanushwa na maafisa rasmi wa Ethiopia, wakieleza kuwa Addis Ababa itatoa tamko rasmi la kujibu madai hayo ya Sudan.

  • Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    May 25, 2022 02:16

    Linda Thomas Greenfield, balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, indhari ya uhaba wa chakula duniani inayotokana na vita vya Ukraine na Rusia imefikia katika kiwango cha juu kabisa na mazingira ya akthari ya watu ulimwenguni ya kupata chakula yamezidi kuwa magumu siku baada ya siku.

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine

    Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine

    May 11, 2022 02:39

    Baa la njaa limegeuka na kuwa tatizo kubwa linaoukabili ulimwengu katika hali ya hivi sasa.

  • Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Taathira hasi ya vita vya Ukraine juu ya uchumi wa dunia

    Apr 14, 2022 02:24

    Ikiwa zimepita siku 47 tangu kuanza vita vya Russia na Ukraine, hasara za kiuchumi za vita hivyo zinaongezeka siku baada ya nyingine, kadiri kwamba Shirika la Biashara Duniani WTO limetangaza katika ripoti yake ya karibuni kwamba vita hivyo vimeathiri vibaya uchumi wa dunia.

  • Wajerumani, Wacyprus na Wagiriki waandamana kuinga mkono Russia

    Wajerumani, Wacyprus na Wagiriki waandamana kuinga mkono Russia

    Apr 05, 2022 08:12

    Wananchi wa Ujerumani, Cyprus na Ugiriki wamefanya maandamano wakiiunga mkono Russia na kupinga hatua zilizochukuliwa na madola ya Magharibi na vikwazo vyao dhidi ya nchi hiyo.

  • WFP yatahadharisha kuhusu uhaba wa chakula duniani

    WFP yatahadharisha kuhusu uhaba wa chakula duniani

    Apr 03, 2022 03:32

    Wakati vita vya Russia na Ukraine vikiendelea, upatikanaji wa chakula umekuwa mgumu zaidi kwa watu wengi duniani, huku msemaji wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) akisema vita vya Russia na Ukraine vimezidisha dola milioni 71 kwa mwezi kwenye gharama zinazotumiwa na shirika hilo la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kununua chakula.

  • Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika

    Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika

    Mar 30, 2022 03:00

    Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) ambayo ni mkopeshaji mkubwa barani humo anafanya kila awezalo kuzuia bara la Afrika lisikabiliwa na mgogoro wa chakula kutokana na athari mbaya za vita vya Rusia na Ukraine.

  • Mazungumzo ya amani ya CAR yamalizika pasina na matunda yoyote

    Mazungumzo ya amani ya CAR yamalizika pasina na matunda yoyote

    Mar 29, 2022 01:30

    Mazungumzo ya amani katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati iliyoathiriwa na vita vya ndani vinavyoendelea tangu mwaka 2013 yamemalizika pasina na kuchukuliwa na maamuzi muhimu.

  • Vita vya Ukraine na mgogoro wa chakula duniani

    Vita vya Ukraine na mgogoro wa chakula duniani

    Mar 25, 2022 02:27

    Zaidi ya nchi 40 zimetia saini barua ya kutaka kuitishwe mkutano wa dharura wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) ili kukabiliana na mgogoro wa chakula, ambao huenda ukazidishwa na vita vya Ukraine.

  • Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO

    Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO

    Mar 14, 2022 02:53

    Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS