-
Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka
Jul 28, 2026 03:55Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.
-
Jeshi la Yemen latekeleza hujuma ya makomora dhidi ya Saudi Arabia
Jul 25, 2026 11:15Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimefyatua makombora na kupiga kituo kikuu cha kijeshi cha anga katika jimbo la Asir, kusini mwa Saudi Arabia, ikiwa ni hatua ya kujibu mapigo dhidi ya mashambulizi ya kijeshi ya hivi karibuni ya utawala wa Saudia pamoja na mzingiro unaoendelea dhidi ya nchi hiyo.
-
Yemen yaonya Saudi Arabia kuhusu ‘matokeo mabaya’ iwapo uchokozi na kuzingirwa vitaendelea
Jul 21, 2026 11:28Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imeonya utawala wa Saudi Arabia kuhusu “matokeo mabaya na makubwa” iwapo utaendelea kuongeza mashambulizi yake kwa kulenga miundombinu ya kiraia, na kuimarisha sera ya kuzingira bandari na viwanja vya ndege nchini Yemen.
-
Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia inahudumia miradi ya Wamarekani-Wazayuni
Jul 19, 2026 03:24Mjumbe wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kwamba Saudi Arabia imeweka uwezo na suhula zake za kisiasa, kifedha na kijeshi katika huduma ya miradi ya Marekani eneo la Asia Magharibi na inafanya kazi ya kudhoofisha mataifa ambayo yana misimamo dhidi ya Israel.
-
Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland
Jun 26, 2026 11:20Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kwamba atashambulia uwepo wowote wa Israel katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland kwa njia zote zinazowezekana, akisisitiza kwamba Yemen "haitakaa kimya mbele ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland, na haitawasubiri waoga."
-
Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali
Jun 23, 2026 11:20Mwanachama wa ngazi za juu wa harakati inayotawala nchini Yemen ya Ansarullah ameonya kuhusu uwepo wa vikosi vya jeshi la Israel katika maji ya Somalia, akisema kwamba kupelekwa huko wanajeshi hao kutatambuliwa kuwa shabaha halali.
-
Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa
Apr 19, 2026 10:34Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.
-
Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel
Jul 07, 2025 02:49Jeshi la Yemen limefanya mashambulizi mapya ya makombora katika maeneo mbali mbali ya Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ili kulipiza kisasi cha mashambulizi ya anga ya utawala huo pandikizi dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Ansarullah: Katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujisalimisha hakuna nafasi
Jul 06, 2025 15:03Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujidhalilisha na kusalimu amri hakuna nafasi hata chembe.
-
Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen
Jul 06, 2025 10:57Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.