-
Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel
Jul 07, 2025 06:19Jeshi la Yemen limefanya mashambulizi mapya ya makombora katika maeneo mbali mbali ya Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ili kulipiza kisasi cha mashambulizi ya anga ya utawala huo pandikizi dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Ansarullah: Katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujisalimisha hakuna nafasi
Jul 06, 2025 18:33Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujidhalilisha na kusalimu amri hakuna nafasi hata chembe.
-
Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen
Jul 06, 2025 14:27Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
-
UN: Saudia ikomeshe mashambulizi yake Yemen na kuheshimu usitishaji vita
Oct 19, 2016 07:44Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ameitaka Saudia kukomesha mashambulizi yake nchini humo mara moja kupitia makubaliano ya usitishaji vita.
-
Aal Saud katika wigo wa jinai kubwa na hujuma ya vita nchini Yemen
Oct 09, 2016 11:23Katika mwezi wa 19 wa mashambulizi ya kila upande na kinyama nchini Yemen, utawala wa Saudia umetekeleza jinai nyingine ya kutisha katika faili la jinai zake ndani ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
-
Jeshi na wananchi Yemen wajiweka tayari kukabiliana na Saudia
Jul 23, 2016 16:30Mkuu wa Kamati ya Mapinduzi nchini Yemen ameelezea habari ya kujiweka tayari kwa kila upande jeshi na harakati za kujitolea za wananchi kwa ajili ya hujuma zozote za Saudia.
-
Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen
Apr 11, 2016 08:16Harakati ya Houthi ya Yemen imesema itaheshimu makubaliano ya usitishaji vita nchini humo.
-
UN: Saudia inawalenga raia katika vita nchini Yemen
Mar 19, 2016 03:09Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa amesema Saudia na waitifaki wake wanadondosha mabomu katika shule, mahospitali na vituo vya afya nchini Yemen.