Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 08:21

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • Hujuma za chuki dhidi ya Waislamu Canada zaongezeka kwa 71%

    Hujuma za chuki dhidi ya Waislamu Canada zaongezeka kwa 71%

    Aug 05, 2022 10:52

    Jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu zimeongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Canada.

  • Licha ya hukumu ya mahakama, mwandishi Muislamu mkosoaji wa serikali ya India aendelea kusota rumande

    Licha ya hukumu ya mahakama, mwandishi Muislamu mkosoaji wa serikali ya India aendelea kusota rumande

    Jul 17, 2022 02:14

    Mohammed Zubair, mwandishi wa habari Muislamu raia wa India, ambaye ni mkosoaji wa waziri mkuu wa nchi hiyo Narendra Modi, ameendelea kuwekwa kizuizini licha ya kutolewa hukumu na mahakama ya kuamuru aachiliwe huru.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ghadir ni suala la kipekee katika historia ya mwanaadamu

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Ghadir ni suala la kipekee katika historia ya mwanaadamu

    Jul 15, 2022 11:29

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Suala la Ghadir ni kadhia ya kipekee katika historia ya mwanaadamu, na Mwenyezi Mungu hajalipa tukio lolote lile umuhimu mkubwa kuliko tukio la Ghadir Khum.

  • Msikiti washambuliwa New York katika hujuma ya chuki dhidi ya Uislamu

    Msikiti washambuliwa New York katika hujuma ya chuki dhidi ya Uislamu

    Jul 13, 2022 03:46

    Msikiti mmoja umevunjiwa heshima mjini New York, huo ukiwa ni muendelezo wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani.

  • Baadhi ya Waislamu waswali Iddi leo, wengine kuadhimisha sikukuu hii kesho

    Baadhi ya Waislamu waswali Iddi leo, wengine kuadhimisha sikukuu hii kesho

    Jul 09, 2022 04:09

    Baadhi ya Waislamu katika nchi kadhaa duniani wanaswali na kusherehekea sikukuu ya Idul Adh'ha hii leo, huku wengine wakitazamiwa kuadhimisha sherehe hizo kesho Jumapili.

  • Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)

    Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)

    Jul 02, 2022 07:56

    Mahakama ya Juu ya India imemtaka msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata kinachoongozwa na Waziri Mkuu, Narendra Modi, Nupur Sharma, kujitokeza kwenye televisheni na kuomba radhi kwa taifa zima la India, baada ya matamshi yake ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) ambayo yameisababisha maandamano makubwa na kuchochea hali ya mvutano nchini humo.

  • Twitter yaungana na serikali ya India kuwakandamiza Waislamu, yafunga akaunti za watetezi wao

    Twitter yaungana na serikali ya India kuwakandamiza Waislamu, yafunga akaunti za watetezi wao

    Jun 28, 2022 13:30

    Waandishi wa habari na wanaharakati wamepinga ongezeko la hatua za serikali ya India ikishirikiana na mtandao wa kijamii wa Twitter za kuwabana watu mashuhuri wanaowatetea Waislamu na kuunga mkono harakati za maandamano yanayopinga ukandamiza wa serikali ya New Delhi dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.

  • Wanazuoni wa Kiislamu wataka sheria ya kupiga marufuku kutukanwa matukufu ya kidini

    Wanazuoni wa Kiislamu wataka sheria ya kupiga marufuku kutukanwa matukufu ya kidini

    Jun 20, 2022 04:20

    Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa mwito wa kupasishwa sheria ya kujinaisha na kupiga marufuku kuvunjiwa heshima matukufu ya dini mbalimbali duniani.

  • Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Jun 11, 2022 07:27

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS