Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021 licha ya kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021 licha ya kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu

    Apr 27, 2022 03:49

    Utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa Waislamu wa Marekani walitoa msaada wa dola bilioni 1.8 mwaka 2021, mwaka huo huo ambao ulishuhudia ongezeko kubwa la visa vya ubaguzi na unyanyasaji dhidi ya wafuasi wa dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.

  • Waislamu wa India wapeleka mahakamani mabuldoza hatari ya kisiasa

    Waislamu wa India wapeleka mahakamani mabuldoza hatari ya kisiasa

    Apr 18, 2022 13:07

    Jumuiya mashuhuri ya Kiislamu imewasilisha ombi katika Mahakama Kuu ya India, ikiitaka kuingilia kati baada ya matingatinga na serikali kuharibu mali na milki za Waislamu wanaotuhumiwa kuhusika na ghasia katika majimbo yanayoongozwa na chama cha Waziri Mkuu, Narendra Modi cha Bharatiya Janata Party (BJP).

  • Waislamu 5 wajeruhiwa kwa kupigwa risasi msikitini nchini Canada

    Waislamu 5 wajeruhiwa kwa kupigwa risasi msikitini nchini Canada

    Apr 17, 2022 07:59

    Watu watano wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa kwa risasi na wahalifu wasiojulikana nchini Canada, huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vikionekana kushtadi nchini humo.

  • Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki

    Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki

    Mar 30, 2022 11:48

    Wimbi la kejeli na hasira limetanda katika mitandao ya kijamii nchini India baada ya mahakama kufunga kesi dhidi ya wanasiasa wawili waliotoa matamshi ya kichochezi dhidi ya Waislamu, ikisema kuwa uchochezi si kauli za chuki ukiambatana na tabasamu.

  • Waislamu wapinga mahakamani marufuku ya vazi la hijabu shuleni India

    Waislamu wapinga mahakamani marufuku ya vazi la hijabu shuleni India

    Mar 30, 2022 07:05

    Wanaharakati wa mawakili wa Kiislamu nchini India wameenda katika Mahakama ya Kilele ya jimbo la Kusini mwa India la Karnataka, kuukatia rufaa uamuzi wa Mahakama ya Juu kuidhinisha marufuku ya vazi la hijabu katika shule na vyuo vikuu vya jimbo hilo.

  • Radiamali za shambulio la kigaidi la Peshawar, Pakistan

    Radiamali za shambulio la kigaidi la Peshawar, Pakistan

    Mar 06, 2022 08:22

    Shambulio la kigaidi lililolenga Msikiti wa Waislamu wa Kishia mjini Peshawar Pakistan linaendelea kulaaniwa na pande mbalimbali ulimwenguni.

  • Muigizaji wa India akamatwa kwa kutoa maoni kuhusu kesi ya marufuku ya hijabu

    Muigizaji wa India akamatwa kwa kutoa maoni kuhusu kesi ya marufuku ya hijabu

    Feb 25, 2022 03:19

    Muigizaji na mwanaharakati wa India, Chetan Kumar Ahimsa amekamatwa na polisi kwa madai ya kuchapisha ujumbe wa Twitter akimkosoa mmoja wa majaji wanaosikiliza maombi ya kupigwa marufuku vazi la hijabu mashuleni.

  • Maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu shuleni yaenea kote India

    Maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu shuleni yaenea kote India

    Feb 14, 2022 03:21

    Maandamano ya kulaani hatua ya skuli kadhaa katika jimbo la Karnataka kusini mwa India kuwazuia wasichana Waislamu wanaovaa hijabu wasiingie madarasani kwa kisingizio cha kutekeleza amri ya wizara ya elimu ya jimbo hilo, yameenea katika pembe mbalimbali za nchi hiyo ya Asia.

  • Chuo kingine India chazuia wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu

    Chuo kingine India chazuia wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu

    Feb 05, 2022 04:36

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kuendekeza misimamo ya chuki na kufurutu ada ya serikali ya waziri mkuu wa India Narendra Modi, wanafunzi Waislamu wanaovaa hijabu wamepigwa marufuku kuingia madarasani katika chuo kimoja katika jimbo la Karnataka, kusini mwa India.

  • Mgombea urais Ufaransa kupiga marufuku majina ya

    Mgombea urais Ufaransa kupiga marufuku majina ya "Muhammad", misikiti na vazi la hijabu

    Jan 26, 2022 04:14

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour, ametangaza ajenda na mipango yake kuhusu dini ya Kiislamu, ambayo amesema ataitekeleza iwapo ataingia Ikulu ya Elysee.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS