Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wakimbizi

  • Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Jun 17, 2022 02:17

    Katika hali ambayo, viongozi wa Uingereza wanang'ang'ania msimamo wao wa kuhamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini humo, safari ya kwanza ya ndege ambayo ilikusudiwa na Uingereza kuwasafirisha kwa lazima wakimbizi na kuwapeleka nchini Rwanda, imeakhirishwa.

  • UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi

    UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi

    Jun 14, 2022 07:57

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi, ametupilia mbali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kuwahamishia Rwanda watafuta hifadhi wanaokwenda nchini humo huku akisema makubaliano hayo ya kando kati ya nchi mbili hizo ni makosa.

  • Kuendelea vitendo visivyo vya kibinadamu vya madola ya Ulaya dhidi ya wahajiri

    Kuendelea vitendo visivyo vya kibinadamu vya madola ya Ulaya dhidi ya wahajiri

    Jun 12, 2022 02:33

    Baada ya serikali ya Uingereza kuchukua uamuzi wa kuwahamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini Uingereza, sasa mahakama ya nchi hiyo nayo imeunga mkono na kuidhinisha uamuzi huo.

  • Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi

    Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi

    May 19, 2022 02:12

    Huku mgogoro wa kiuchumi na kisiasa ukiendelea katika baadhi ya nchi za Asia na huku vita baina ya Ukraine na Russia navyo vikiendelea, wimbi la wakimbizi katika mipaka ya nchi za Ulaya nalo limeongezeka.

  • UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda

    May 01, 2022 04:10

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine 44 wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dharura la dola za Marekani milioni 47.8 ili kukabiliana na mahitaji muhimu ya maelfu ya wakimbizi waliofika Uganda mwaka huu, wakikimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na za mapigano ya hapa na pale nchini Sudan Kusini.

  • Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza

    Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza

    Apr 20, 2022 02:48

    Serikali ya Eritrea imekosoa makubaliano ya kuwahamishia Rwanda wakimbizi kutoka Uingereza ikisisitiza kuwa, mpango huo haukubaliki, unashtua na unapaswa kupingwa na kulaaniwa vikali.

  • Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi

    Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi

    Apr 18, 2022 02:27

    Kufuatia kuongezeka idadi ya wakimbizi wanaoingia Uingereza kutoka nchi mbali mbali duniani, wakuu wa London wamechukua hatua kali kuzuia wimbi hilo ambapo sasa wanaoingia nchini humo kama wakimbizi watahamishiwa Rwanda huku faili zao zikichunguzwa.

  • Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya

    Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya

    Dec 31, 2021 02:49

    Huku mizozo ya kisiasa na kiuchumi ikiendelea kupanuka Asia Magharibi na katika nchi nyingi za Afrika, wimbi la watu wanaotafuta hifadhi na wakimbizi barani Ulaya linaendelea kwa kasi kubwa.

  • Kupitishwa na Bunge la Uingereza sheria ya kibaguzi dhidi ya wahamiaji

    Kupitishwa na Bunge la Uingereza sheria ya kibaguzi dhidi ya wahamiaji

    Dec 11, 2021 02:45

    Bunge la Uingereza limepitisha sheria tatanishi ya "Utaifa na Mipaka", Nationality and Borders kwa kura 298 za wabunge waliounga mkono dhidi ya 231 walioupinga mswada wa sheria hiyo.

  • Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili

    Dec 04, 2021 02:39

    Baada ya siku saba, Ufaransa imekataa ombi la Uingereza lililokuwa limetolewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson kwa Rais Emmanuel Macron.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS