-
Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda
Jun 17, 2022 02:17Katika hali ambayo, viongozi wa Uingereza wanang'ang'ania msimamo wao wa kuhamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini humo, safari ya kwanza ya ndege ambayo ilikusudiwa na Uingereza kuwasafirisha kwa lazima wakimbizi na kuwapeleka nchini Rwanda, imeakhirishwa.
-
UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi
Jun 14, 2022 07:57Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi, ametupilia mbali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kuwahamishia Rwanda watafuta hifadhi wanaokwenda nchini humo huku akisema makubaliano hayo ya kando kati ya nchi mbili hizo ni makosa.
-
Kuendelea vitendo visivyo vya kibinadamu vya madola ya Ulaya dhidi ya wahajiri
Jun 12, 2022 02:33Baada ya serikali ya Uingereza kuchukua uamuzi wa kuwahamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini Uingereza, sasa mahakama ya nchi hiyo nayo imeunga mkono na kuidhinisha uamuzi huo.
-
Vigezo vya nyuso mbili vya nchi za Ulaya katika suala la wakimbizi
May 19, 2022 02:12Huku mgogoro wa kiuchumi na kisiasa ukiendelea katika baadhi ya nchi za Asia na huku vita baina ya Ukraine na Russia navyo vikiendelea, wimbi la wakimbizi katika mipaka ya nchi za Ulaya nalo limeongezeka.
-
UNHCR yahitaji dola milioni 47.8 kuwasaidia wakimbizi Uganda
May 01, 2022 04:10Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR na wadau wengine 44 wa misaada ya kibinadamu wametoa ombi la dharura la dola za Marekani milioni 47.8 ili kukabiliana na mahitaji muhimu ya maelfu ya wakimbizi waliofika Uganda mwaka huu, wakikimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na za mapigano ya hapa na pale nchini Sudan Kusini.
-
Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza
Apr 20, 2022 02:48Serikali ya Eritrea imekosoa makubaliano ya kuwahamishia Rwanda wakimbizi kutoka Uingereza ikisisitiza kuwa, mpango huo haukubaliki, unashtua na unapaswa kupingwa na kulaaniwa vikali.
-
Uingereza yakosolewa kwa mpango wake ulio dhidi ya binadamu wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi
Apr 18, 2022 02:27Kufuatia kuongezeka idadi ya wakimbizi wanaoingia Uingereza kutoka nchi mbali mbali duniani, wakuu wa London wamechukua hatua kali kuzuia wimbi hilo ambapo sasa wanaoingia nchini humo kama wakimbizi watahamishiwa Rwanda huku faili zao zikichunguzwa.
-
Vifo na wasiwasi wa wakimbizi katika safari ya kuelekea Ulaya
Dec 31, 2021 02:49Huku mizozo ya kisiasa na kiuchumi ikiendelea kupanuka Asia Magharibi na katika nchi nyingi za Afrika, wimbi la watu wanaotafuta hifadhi na wakimbizi barani Ulaya linaendelea kwa kasi kubwa.
-
Kupitishwa na Bunge la Uingereza sheria ya kibaguzi dhidi ya wahamiaji
Dec 11, 2021 02:45Bunge la Uingereza limepitisha sheria tatanishi ya "Utaifa na Mipaka", Nationality and Borders kwa kura 298 za wabunge waliounga mkono dhidi ya 231 walioupinga mswada wa sheria hiyo.
-
Ufaransa yapinga ombi la Uingereza, mizozo yashadidi baina ya pande mbili
Dec 04, 2021 02:39Baada ya siku saba, Ufaransa imekataa ombi la Uingereza lililokuwa limetolewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson kwa Rais Emmanuel Macron.