Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wakristo

  • Mufti wa Misri: Fatwa 3000 zimetolewa kupinga kuishi pamoja Waislamu na Wakristo

    Mufti wa Misri: Fatwa 3000 zimetolewa kupinga kuishi pamoja Waislamu na Wakristo

    Apr 01, 2017 16:25

    Mufti wa Misri amesema kuwa asilimia 90 ya hukumu na fatwa za watu wanaofurutu ada zinawachochea watu kwenda kinyume na maamrisho ya Mwenyezi Mungu na kuzusha mifarakano baina ya Waislamu na Wakristo.

  • Hakuna anayesalimika na mashambulizi ya magaidi nchini Misri

    Hakuna anayesalimika na mashambulizi ya magaidi nchini Misri

    Mar 07, 2017 04:31

    Makumi ya familia za Wakristo zimelazimika kukimbia makazi yao katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri kutokana na mashambulizi ya watu wenye silaha.

  • El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi

    El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi

    Mar 01, 2017 07:18

    Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametetea stratijia na mikakati ya serikali yake katika kupambana na magenge ya kigaidi kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote

    Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote

    Jan 20, 2017 04:22

    Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO amesisitiza kuwa mji mtakatifu wa Quds ni mstari mwekundu kwa Wapalestina, kwa ulimwengu wa Kiarabu, kwa Waislamu na pia kwa Wakristo ulimwenguni.

  • AFP: Wafuasi wa dini za wachache wana usalama mkubwa nchini Iran

    AFP: Wafuasi wa dini za wachache wana usalama mkubwa nchini Iran

    Dec 26, 2016 07:24

    Shirika la habari la Ufaransa AFP limetangaza kuwa, wafuasi wa dini za wachache wakiwemo Wakristo wanaishi kwa usalama mkubwa nchini Iran na kwamba nchi hiyo ni katika nchi zenye usalama mkubwa zaidi kwa watu wa dini za wachache kwenye eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rais Rouhani atuma salamu za Krismasi kwa Papa Francis na Wakristo wote duniani

    Rais Rouhani atuma salamu za Krismasi kwa Papa Francis na Wakristo wote duniani

    Dec 25, 2016 08:00

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa salamu za kheri na fanaka kwa viongozi wa nchi za Wakristo duniani kwa mnasaba wa kuwadia Krismami, siku ya kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa Masih AS (Yesu).

  • Ireland yaweka sheria ya kuwawajibisha mawakili Waislamu kuapa kwa kutumia Qur'ani

    Ireland yaweka sheria ya kuwawajibisha mawakili Waislamu kuapa kwa kutumia Qur'ani

    Apr 25, 2016 04:05

    Jamii ya wanasheria nchini Ireland, imewawajibisha mawakili na washauri wa sheria Waislamu kutumia Qur'ani Tukufu wakati wa kula kiapo.

  • Mhubiri Mkristo Mmarekani aliyewanyanyasa mayatima kingono huko Kenya afungwa

    Mhubiri Mkristo Mmarekani aliyewanyanyasa mayatima kingono huko Kenya afungwa

    Mar 08, 2016 14:48

    Mhubiri Mkristo wa Marekani amehukumiwa miaka 40 jela kwa kuwanyanyasa kingono watoto katika kituo kimoja cha mayatima chini Kenya.

  • Waislamu na Wakristo wa Cameroon kulinda misikiti na makanisa dhidi ya mashambulio ya Boko Haram

    Waislamu na Wakristo wa Cameroon kulinda misikiti na makanisa dhidi ya mashambulio ya Boko Haram

    Feb 23, 2016 03:39

    Waislamu na Wakristo wa Cameroon wanaandaa mikakati ya kupambana na kundi la Boko Haram la nchini Nigeria.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS