-
Mwanadiplomasia wa UN akosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia
Mar 02, 2016 14:11Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuwashughulikia wanawake (UN Women) amekosoa idadi ndogo ya wanawake katika bunge la Liberia na kusema ni muhali kwa sauti za wanawake kusikika vyema kutokana na uwakilishi wao mdogo bungeni.
-
Huffington Post: Idadi ya wanawake wakazi asili wa Canada waliouawa ni kubwa zaidi
Feb 19, 2016 03:39Gazeti la Marekani la The Huffington Post limeripoti kuwa idadi ya wanawake asilia wa Canada waliouawa au kutoweka ni kubwa zaidi ya takwimu zilizokadiriwa hapo awali.
-
Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa migogoro ya Afrika
Feb 13, 2016 15:22Wanawake na watoto wametajwa kuwa ndiyo wahanga wakuu wa migogoro inayozikumba nchi kadhaa za Afrika.