-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Vikosi vya ulinzi vyatoa 'vipigo vikali' kwa vituo vya Marekani, na mali baada ya 'hujuma haramu'
Jun 10, 2026 10:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeripoti kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hii vimetoa vipigo vikali kwa kambi za Marekani na mali mbalimbali katika kanda hii ambavyo Marekani imevitumia kuishambulia Iran.
-
Iran yasema misimamo ya Marekani “inayobadilika na kinzani” imekwamisha mazungumzo
Jun 08, 2026 03:21Iran imesema mazungumzo yanayoendelea na Marekani bado yamekwama hasa kutokana na misimamo ya Washington inayobadilika mara kwa mara na yenye kauli zinazokinzana. Aidha Marekani inaendelea “kubadilisha vigezo vya mazungumzo.” Hata hivyo, ubadilishanaji wa ujumbe kati ya pande hizo mbili unaendelea kupitia wapatanishi kutoka Pakistan.
-
Baqaei: Mauaji ya umati ya Minab ni mfano mmoja tu wa jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani
Jun 07, 2026 11:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ameeleza kuwa mauaji ya Minab ni kati ya mamia ya jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani.
-
Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
May 30, 2026 04:50Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
-
Baqaei: Marekani imefanya uhalifu wa kivita kwa kujaribu nguvu ya kombora lilitumika kwa mara ya kwanza kuua watu Lamerd, Iran
May 26, 2026 11:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani ilitumia kwa mara ya kwanza kombora la PrMS katika shambulio lake kwenye eneo la makazi ya raia na uwanja wa michezo wa Lamerd katika Mkoa wa Fars kusini mwa Iran, kwa lengo la kujaribu nguvu za uharibifu za silaha hiyo."
-
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
Nov 11, 2025 23:01Ripoti kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani na Uingereza zimechapishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran.
-
Iran yalaani hatua ya Wazayuni, yaonya juu ya kuangamizwa kabisa Palestina
Jul 24, 2025 23:50Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imelaani hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, Knesset, ya kuidhinisha muswada unaoweka udhibiti wa utawala huo ghasibu katika Ukingo wa Magharibi na Bonde la Jordan.
-
China yaapa 'kupambana hadi mwisho' dhidi ya ushuru wa Trump
Apr 08, 2025 06:15Wizara ya Biashara ya China imeionya Marekani dhidi ya kuingia katika msururu wa vikwazo vya kibiashara vya 'kujibishana mapigo' baada ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kutishia kuweka ushuru wa ziada kwa bidhaa za China zinazoingizwa nchini Marekani.
-
Ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani na Uingereza
Dec 16, 2024 03:22Kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa Marekani na Uingereza, ripoti ambayo imeandaliwa kwa kutelekeza mswada uliopitishwa na Bunge la Iran mwaka 1391 Hijria Shamsia,
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya " Siku ya Muqawama wa Kiislamu"
Aug 14, 2024 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kupongeza kuadhimishwa "Siku ya Muqawama wa Kiislamu."