Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Jul 17, 2022 03:35

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza orodha mpya ya maafisa wa sasa na wa zamani wa serikali ya Marekani ambao kwa makusudi wamekuwa wakiunga mkono kundi la kigaidi la MKO lililo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Jun 06, 2022 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.

  • Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia

    Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia

    May 31, 2022 07:38

    Iran imetuma wajumbe wake sita wa ubalozi mdogo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kwenda kutoa huduma kwa raia wa Iran wakati wa ibada za Hija mwaka huu.

  • Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai

    Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai

    May 03, 2022 04:46

    Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

  • Iran yalalamika rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden

    Iran yalalamika rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden

    Apr 18, 2022 07:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Sweden mjini Tehran na kumfahamisha kuhusu malalamiko makali ya Iran kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kundi moja lenye misimamo mikali nchini Sweden katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi

    Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi

    Apr 09, 2022 12:27

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha mpya ya vikwazo dhidi ya raia wa Marekani wanaohusika na vitendo vya ugaidi na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Iran yataka jamii ya kimataifa ikabiliane na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Iran yataka jamii ya kimataifa ikabiliane na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 14, 2021 07:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka serikali na taasisi za kimataifa kutekeleza majukumu yao ya kuhitimisha kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina na kukabiliana pia na jinai na uvamizi unaotekelezwa na Wazayuni.

  • Zarif: Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani umezuia utoaji chanjo za corona duniani

    Zarif: Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani umezuia utoaji chanjo za corona duniani

    Apr 25, 2021 07:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo na ugaidi wa kimatibabu ya Marekani imepelekea kutofanikiwa kampeni ya utoaji chanjo za kupambana na corona duniani.

  • Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Apr 03, 2021 02:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.

  • "Mlango wa fursa kwa Marekani kurekebisha makosa ya Trump unakaribia kujifunga"

    Feb 10, 2021 23:36

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema iwapo Marekani na nchi za Ulaya zitaendelea kujikokota katika utekelezaji na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itachukua hatua nyingine mpya za kupunguza uwajibikaji wake katika mapatano hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS