Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Iran yatoa onyo kali kuhusu vitisho vya Israel dhidi ya Lebanon

    Iran yatoa onyo kali kuhusu vitisho vya Israel dhidi ya Lebanon

    Jun 29, 2024 09:25

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametahadharisha dhidi ya jaribio la utawala wa Kizayuni wa Israel la kupanua wigo wa vita na jinai katika maeneo mengine kwa lengo la kufidia kushindwa kwake katika Ukanda wa Gaza.

  • YouTube 'yajigonga' katika dai la uhuru wa maoni kwa kuifunga akaunti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    YouTube 'yajigonga' katika dai la uhuru wa maoni kwa kuifunga akaunti ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    May 29, 2024 00:10

    Mtandao wa kijamii wa YouTube umeifuta akaunti rasmi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa kisingizio cha kukiuka kanuni zake kufuatia hatua ya akaunti hiyo kuweka mkanda wa video wa lugha ya Kiingereza wenye anuani "Resistance, the only option for Palestine", yaani Muqawama ndilo chaguo pekee kwa Palestina.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Feb 17, 2023 23:07

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa, matamshi ya viongozi wa China kuhusiana na kuwa na urafiki usio na mipaka na Russia yamepelekea kuibuka wasiwasi nchini Marekani.

  • Radiamali kali ya Iran dhidi ya kushadidi hatua za chuki za madola ya Magharibi

    Radiamali kali ya Iran dhidi ya kushadidi hatua za chuki za madola ya Magharibi

    Dec 16, 2022 09:51

    Katika siku za hivi kariuni madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yameshadidisha hatua na mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yakitumia kama yanavyodai fursa ya kuibuka vurugu na machafuko hapa nchini.

  • Russia yasisitiza kuhamishwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka New York

    Russia yasisitiza kuhamishwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka New York

    Sep 05, 2022 03:04

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesisitiza kuwa Moscow inazingatia kikamilifu pendekezo la kuhamisha makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka Marekani hadi sehemu nyingine.

  • Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Jul 16, 2022 23:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza orodha mpya ya maafisa wa sasa na wa zamani wa serikali ya Marekani ambao kwa makusudi wamekuwa wakiunga mkono kundi la kigaidi la MKO lililo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Jun 05, 2022 23:06

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.

  • Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia

    Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia

    May 31, 2022 03:08

    Iran imetuma wajumbe wake sita wa ubalozi mdogo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kwenda kutoa huduma kwa raia wa Iran wakati wa ibada za Hija mwaka huu.

  • Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai

    Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai

    May 03, 2022 00:16

    Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

  • Iran yalalamika rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden

    Iran yalalamika rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden

    Apr 18, 2022 02:42

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Sweden mjini Tehran na kumfahamisha kuhusu malalamiko makali ya Iran kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kundi moja lenye misimamo mikali nchini Sweden katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS