-
Iran yatuma ujumbe wa watu sita katika ubalozi wake mdogo nchini Saudia
May 31, 2022 07:38Iran imetuma wajumbe wake sita wa ubalozi mdogo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje kwa ajili ya kwenda kutoa huduma kwa raia wa Iran wakati wa ibada za Hija mwaka huu.
-
Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai
May 03, 2022 04:46Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.
-
Iran yalalamika rasmi kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu Sweden
Apr 18, 2022 07:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Sweden mjini Tehran na kumfahamisha kuhusu malalamiko makali ya Iran kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kundi moja lenye misimamo mikali nchini Sweden katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi
Apr 09, 2022 12:27Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha mpya ya vikwazo dhidi ya raia wa Marekani wanaohusika na vitendo vya ugaidi na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Iran yataka jamii ya kimataifa ikabiliane na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
May 14, 2021 07:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka serikali na taasisi za kimataifa kutekeleza majukumu yao ya kuhitimisha kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina na kukabiliana pia na jinai na uvamizi unaotekelezwa na Wazayuni.
-
Zarif: Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani umezuia utoaji chanjo za corona duniani
Apr 25, 2021 07:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo na ugaidi wa kimatibabu ya Marekani imepelekea kutofanikiwa kampeni ya utoaji chanjo za kupambana na corona duniani.
-
Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani
Apr 03, 2021 02:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.
-
"Mlango wa fursa kwa Marekani kurekebisha makosa ya Trump unakaribia kujifunga"
Feb 10, 2021 23:36Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema iwapo Marekani na nchi za Ulaya zitaendelea kujikokota katika utekelezaji na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itachukua hatua nyingine mpya za kupunguza uwajibikaji wake katika mapatano hayo.
-
Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran
Feb 08, 2021 12:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono kikamilifu jitihada za Umoja wa Mataifa za kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen.
-
Zarif: Muqawama wa Wairani umefelisha mashinikizo ya juu ya Marekani
Jan 20, 2021 03:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema muqawama, mapambano na kusimama kidete wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu kumeipigisha mweleka sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya taifa hili.