Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi

    Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi

    Apr 09, 2022 07:57

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha mpya ya vikwazo dhidi ya raia wa Marekani wanaohusika na vitendo vya ugaidi na ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Iran yataka jamii ya kimataifa ikabiliane na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Iran yataka jamii ya kimataifa ikabiliane na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 14, 2021 03:06

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka serikali na taasisi za kimataifa kutekeleza majukumu yao ya kuhitimisha kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina na kukabiliana pia na jinai na uvamizi unaotekelezwa na Wazayuni.

  • Zarif: Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani umezuia utoaji chanjo za corona duniani

    Zarif: Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani umezuia utoaji chanjo za corona duniani

    Apr 25, 2021 02:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo na ugaidi wa kimatibabu ya Marekani imepelekea kutofanikiwa kampeni ya utoaji chanjo za kupambana na corona duniani.

  • Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Apr 02, 2021 22:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.

  • "Mlango wa fursa kwa Marekani kurekebisha makosa ya Trump unakaribia kujifunga"

    Feb 10, 2021 20:06

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema iwapo Marekani na nchi za Ulaya zitaendelea kujikokota katika utekelezaji na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itachukua hatua nyingine mpya za kupunguza uwajibikaji wake katika mapatano hayo.

  • Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran

    Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran

    Feb 08, 2021 08:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono kikamilifu jitihada za Umoja wa Mataifa za kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen.

  • Zarif: Muqawama wa Wairani umefelisha mashinikizo ya juu ya Marekani

    Zarif: Muqawama wa Wairani umefelisha mashinikizo ya juu ya Marekani

    Jan 19, 2021 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema muqawama, mapambano na kusimama kidete wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu kumeipigisha mweleka sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Zarif akosoa undumakuwili wa Wamagharibi mkabala wa mienendo ya Trump

    Zarif akosoa undumakuwili wa Wamagharibi mkabala wa mienendo ya Trump

    Jan 08, 2021 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali undumakuwili wa nchi za Magharibi ambazo hivi sasa zinakosoa mienendo ya kukanyaga utawala wa sheria ya Rais Donald Trump wa Marekani, licha ya kufuata kibubusa sera zake za kibeberu katika kipindi cha miaka minne iliyopita.

  • Zarif aishangaa Marekani kupiga ngoma ya vita badala ya kukabili corona

    Zarif aishangaa Marekani kupiga ngoma ya vita badala ya kukabili corona

    Jan 01, 2021 00:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya vikali Marekani kwa kupiga ngoma ya vita na kusisitiza kuwa, taifa hili lipo tayari kujilinda.

  • Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Dec 24, 2020 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemjia juu Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameituhumu Tehran kuwa imehusika na mashambulio ya maroketi dhidi ya ubalozi wa US mjini Baghdad, Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS