-
Iran yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Wamarekani wanaohusika na ugaidi
Apr 09, 2022 07:57Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha mpya ya vikwazo dhidi ya raia wa Marekani wanaohusika na vitendo vya ugaidi na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Iran yataka jamii ya kimataifa ikabiliane na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
May 14, 2021 03:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imezitaka serikali na taasisi za kimataifa kutekeleza majukumu yao ya kuhitimisha kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina na kukabiliana pia na jinai na uvamizi unaotekelezwa na Wazayuni.
-
Zarif: Ugaidi wa kimatibabu wa Marekani umezuia utoaji chanjo za corona duniani
Apr 25, 2021 02:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo na ugaidi wa kimatibabu ya Marekani imepelekea kutofanikiwa kampeni ya utoaji chanjo za kupambana na corona duniani.
-
Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani
Apr 02, 2021 22:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.
-
"Mlango wa fursa kwa Marekani kurekebisha makosa ya Trump unakaribia kujifunga"
Feb 10, 2021 20:06Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema iwapo Marekani na nchi za Ulaya zitaendelea kujikokota katika utekelezaji na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itachukua hatua nyingine mpya za kupunguza uwajibikaji wake katika mapatano hayo.
-
Iran na Umoja wa Mataifa zajadili mgogoro wa Yemen mjini Tehran
Feb 08, 2021 08:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono kikamilifu jitihada za Umoja wa Mataifa za kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen.
-
Zarif: Muqawama wa Wairani umefelisha mashinikizo ya juu ya Marekani
Jan 19, 2021 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema muqawama, mapambano na kusimama kidete wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu kumeipigisha mweleka sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya taifa hili.
-
Zarif akosoa undumakuwili wa Wamagharibi mkabala wa mienendo ya Trump
Jan 08, 2021 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali undumakuwili wa nchi za Magharibi ambazo hivi sasa zinakosoa mienendo ya kukanyaga utawala wa sheria ya Rais Donald Trump wa Marekani, licha ya kufuata kibubusa sera zake za kibeberu katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
-
Zarif aishangaa Marekani kupiga ngoma ya vita badala ya kukabili corona
Jan 01, 2021 00:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya vikali Marekani kwa kupiga ngoma ya vita na kusisitiza kuwa, taifa hili lipo tayari kujilinda.
-
Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq
Dec 24, 2020 04:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemjia juu Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameituhumu Tehran kuwa imehusika na mashambulio ya maroketi dhidi ya ubalozi wa US mjini Baghdad, Iraq.