-
Waziri Zarif amjibu Pompeo: Hakuna kitu kipya kitakachofanyika Septemba 20
Sep 18, 2020 03:39Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo juu ya njama za Washington za kutaka kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran kwa kutumia mchakato unaofahamika kama 'Snapback Mechanism' na kusisitiza kuwa, 'Hakuna kitu maalumu kitakachofanyika Jumapili ya Septemba 20.'
-
Zarif: Serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka tena katika medani ya kimataifa
Aug 21, 2020 06:38Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia upinzani wa jamii ya kimataifa dhidi ya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia vibaya taratibu zilizowekwa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA za kurejesha upya vikwazo ilivyokuwa imewekewa Iran na kusema, kwa mara nyingine tena serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka katika medani ya kimataifa.
-
Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon
Aug 14, 2020 09:12Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Waziri Mkuu wa Lebanon mjini Beirut na kusema kuwa, wanaotumia vibaya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut wana nia ya kuyumbisha amani ya Lebanon.
-
Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama
Jun 26, 2020 09:01Baada ya matukio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilitumia kisingizio cha kupambana na ugaidi duniani ili kuzishambulia na kuzikalia kijeshi Afghanistan na Iraq.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: "Uhuru" hauna nafasi yoyote katika fikra za viongozi wa Marekani
Jun 20, 2020 23:14Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran imetangaza kuwa miaka mingi ya uporaji na vitisho imethibitisha kwamba "uhuru wa mtu mwingine" hauna nafasi yoyote katika fikra za maafisa wa serikali ya Marekani.
-
Iran: Wamarekani wasimame kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii
May 20, 2020 03:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitizia udharura wa wananchi wa Marekani kusimama imara kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii ndani ya nchi hiyo.
-
Dakta Zarif: Umoja wa Ulaya unaiunga mkono Iran katika kukabiliana na virusi vya Corona
Mar 25, 2020 08:48Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Umoja wa Ulaya unaliunga mkono taifa hili katika kupambana na virusi vya Corona.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Marekani itaondoka Yemen kwa kushindwa
Mar 25, 2020 02:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hujuma ya kijeshi ya muungano wa Saudia dhidi ya Yemen na kusisitiza kuwa: "Marekani kwa mara nyingine itaondoka Yemen kwa kushindwa."
-
Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula
Mar 22, 2020 03:02Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani iliyodai kuwa eti vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran havihusu dawa na chakula.
-
Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria
Mar 18, 2020 23:13Russia imeyapa machaguo mawili makundi ya kigaidi yananayofadhiliwa na nchi za Magharibi katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria. Mwezi Januari mwaka huu jeshi la Syria na washirika wake walianzisha operesheni ya kuusafisha mkoa huo wa Idlib, ambao ndio ngome ya mwisho ya magaidi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.