Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Waziri Zarif amjibu Pompeo: Hakuna kitu kipya kitakachofanyika Septemba 20

    Waziri Zarif amjibu Pompeo: Hakuna kitu kipya kitakachofanyika Septemba 20

    Sep 18, 2020 03:39

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo juu ya njama za Washington za kutaka kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran kwa kutumia mchakato unaofahamika kama 'Snapback Mechanism' na kusisitiza kuwa, 'Hakuna kitu maalumu kitakachofanyika Jumapili ya Septemba 20.'

  • Zarif: Serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka tena katika medani ya kimataifa

    Zarif: Serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka tena katika medani ya kimataifa

    Aug 21, 2020 06:38

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia upinzani wa jamii ya kimataifa dhidi ya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia vibaya taratibu zilizowekwa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA za kurejesha upya vikwazo ilivyokuwa imewekewa Iran na kusema, kwa mara nyingine tena serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka katika medani ya kimataifa.

  • Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon

    Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon

    Aug 14, 2020 09:12

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Waziri Mkuu wa Lebanon mjini Beirut na kusema kuwa, wanaotumia vibaya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut wana nia ya kuyumbisha amani ya Lebanon.

  • Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama

    Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama

    Jun 26, 2020 09:01

    Baada ya matukio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilitumia kisingizio cha kupambana na ugaidi duniani ili kuzishambulia na kuzikalia kijeshi Afghanistan na Iraq.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran:

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: "Uhuru" hauna nafasi yoyote katika fikra za viongozi wa Marekani

    Jun 20, 2020 23:14

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran imetangaza kuwa miaka mingi ya uporaji na vitisho imethibitisha kwamba "uhuru wa mtu mwingine" hauna nafasi yoyote katika fikra za maafisa wa serikali ya Marekani.

  • Iran: Wamarekani wasimame kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii

    Iran: Wamarekani wasimame kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii

    May 20, 2020 03:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitizia udharura wa wananchi wa Marekani kusimama imara kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii ndani ya nchi hiyo.

  • Dakta Zarif: Umoja wa Ulaya unaiunga mkono Iran katika kukabiliana na virusi vya Corona

    Dakta Zarif: Umoja wa Ulaya unaiunga mkono Iran katika kukabiliana na virusi vya Corona

    Mar 25, 2020 08:48

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Umoja wa Ulaya unaliunga mkono taifa hili katika kupambana na virusi vya Corona.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran:  Marekani itaondoka Yemen kwa kushindwa

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Marekani itaondoka Yemen kwa kushindwa

    Mar 25, 2020 02:48

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hujuma ya kijeshi ya muungano wa Saudia dhidi ya Yemen na kusisitiza kuwa: "Marekani kwa mara nyingine itaondoka Yemen kwa kushindwa."

  • Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula

    Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula

    Mar 22, 2020 03:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani iliyodai kuwa eti vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran havihusu dawa na chakula.

  • Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Mar 18, 2020 23:13

    Russia imeyapa machaguo mawili makundi ya kigaidi yananayofadhiliwa na nchi za Magharibi katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria. Mwezi Januari mwaka huu jeshi la Syria na washirika wake walianzisha operesheni ya kuusafisha mkoa huo wa Idlib, ambao ndio ngome ya mwisho ya magaidi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS