Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Mar 17, 2020 12:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeishtaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya jeshi la nchi hiyo kushambulia kambi za jeshi na askari polisi wa Iran.

  • Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Mar 13, 2020 02:33

    Ripoti ya mwaka 2019 ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kuhusiana na haki za binadamu ilitolewa Jumatano iliyopita ya tarehe 11 Machi.

  • Iran: Marekani inafanya njama za kuhalalisha uvamizi wake Aghanistan; amani ya kudumu itapatikana kwa makubaliano ya Waafghani wenyewe

    Iran: Marekani inafanya njama za kuhalalisha uvamizi wake Aghanistan; amani ya kudumu itapatikana kwa makubaliano ya Waafghani wenyewe

    Mar 01, 2020 08:31

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu makubaliano yaliyotiwa saini jana Jumamosi baina ya Marekani na kundi la Taliban la Afghanistan na kusisitiza kuwa, amani ya kudumu nchini humo itapatikana tu kupitia mazungumzo ya Waafghani wenyewe kwa wenyewe na kushirikishwa makundi yote likiwemo la Taliban.

  • Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Dec 17, 2019 04:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito wa kuwekwa jina la walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina katika orodha ya magaidi.

  • Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Dec 13, 2019 06:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeikosoa Marekani kutokana na jinai zake dhidi ya ubinadamu na haki za binadamu katika maeneo mbalimbali ya dunia na imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai hizo.

  • Mousavi: Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Iran hautokani na kulitakia kheri taifa hili

    Mousavi: Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya Iran hautokani na kulitakia kheri taifa hili

    Nov 25, 2019 08:43

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matamshi na uingiliaji wa viongozi wa Marekani katika machafuko ya hivi karibuni nchini Iran chimbuko lake siyo urafiki au kulitakia kheri taifa hili.

  • Tehran: Nchi zilizozaa ugaidi zisiibebeshe Iran matatizo yao

    Tehran: Nchi zilizozaa ugaidi zisiibebeshe Iran matatizo yao

    Nov 24, 2019 08:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu matamshi ya kipuuzi na yasiyo na msingi yaliyotolewa na baadhi ya washiriki wa kikao kilichopewa jina la "Mazungumzo ya Manama" huko Bahran na kusisitiza kuwa tuhuma zilizotolewa na watu hao dhidi ya Iran hazina msingi.

  • Jordan yatupilia mbali madai ya Israel ya kutaka kurefusha muda wa udhibiti wa ardhi za Baqora na Ghamra

    Jordan yatupilia mbali madai ya Israel ya kutaka kurefusha muda wa udhibiti wa ardhi za Baqora na Ghamra

    Oct 17, 2019 10:19

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imetangaza habari ya kutupilia mbali madai ya vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni kwamba serikali ya Amman imeukubalia utawala huo kuendelea kukodi ardhi za maeneo ya Baqora na Ghamra.

  • Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia

    Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia

    Oct 04, 2019 05:33

    Mwenendo wa Marekani wa kuchukua hatua za upande mmoja na nchi hiyo kupanua ubeberu wake katika kipindi cha Rais Donald Trump, umeshika kasi zaidi na sasa umechukua sura mpya.

  • Iran: Tutachukua hatua kubwa zaidi kama nchi za Ulaya zitaendelea kukwepa majukumu yao + Video

    Iran: Tutachukua hatua kubwa zaidi kama nchi za Ulaya zitaendelea kukwepa majukumu yao + Video

    Jul 08, 2019 07:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, kama nchi zilizobakia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA hasa za Ulaya zitaendelea kukwepa kutekeleza majukumu yao, basi Tehran itaingia kwa nguvu kubwa zaidi katika awamu ya tatu ya kupunguza utekelezaji wa ahadi zake ndani ya mapatano hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS