Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wizara ya Mambo ya Nje

  • Iran: Wamarekani wasimame kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii

    Iran: Wamarekani wasimame kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii

    May 20, 2020 03:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitizia udharura wa wananchi wa Marekani kusimama imara kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa kijamii ndani ya nchi hiyo.

  • Dakta Zarif: Umoja wa Ulaya unaiunga mkono Iran katika kukabiliana na virusi vya Corona

    Dakta Zarif: Umoja wa Ulaya unaiunga mkono Iran katika kukabiliana na virusi vya Corona

    Mar 25, 2020 08:48

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Umoja wa Ulaya unaliunga mkono taifa hili katika kupambana na virusi vya Corona.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran:  Marekani itaondoka Yemen kwa kushindwa

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Marekani itaondoka Yemen kwa kushindwa

    Mar 25, 2020 02:48

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hujuma ya kijeshi ya muungano wa Saudia dhidi ya Yemen na kusisitiza kuwa: "Marekani kwa mara nyingine itaondoka Yemen kwa kushindwa."

  • Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula

    Iran yakanusha madai ya uongo ya Marekani kuhusu vikwazo vya dawa na chakula

    Mar 22, 2020 03:02

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani iliyodai kuwa eti vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran havihusu dawa na chakula.

  • Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Mar 18, 2020 23:13

    Russia imeyapa machaguo mawili makundi ya kigaidi yananayofadhiliwa na nchi za Magharibi katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria. Mwezi Januari mwaka huu jeshi la Syria na washirika wake walianzisha operesheni ya kuusafisha mkoa huo wa Idlib, ambao ndio ngome ya mwisho ya magaidi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Iraq yaishtaki Marekani Baraza la Usalama baada ya kushambulia vituo vya jeshi la nchi hiyo

    Mar 17, 2020 12:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeishtaki Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya jeshi la nchi hiyo kushambulia kambi za jeshi na askari polisi wa Iran.

  • Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Mar 13, 2020 02:33

    Ripoti ya mwaka 2019 ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kuhusiana na haki za binadamu ilitolewa Jumatano iliyopita ya tarehe 11 Machi.

  • Iran: Marekani inafanya njama za kuhalalisha uvamizi wake Aghanistan; amani ya kudumu itapatikana kwa makubaliano ya Waafghani wenyewe

    Iran: Marekani inafanya njama za kuhalalisha uvamizi wake Aghanistan; amani ya kudumu itapatikana kwa makubaliano ya Waafghani wenyewe

    Mar 01, 2020 08:31

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu makubaliano yaliyotiwa saini jana Jumamosi baina ya Marekani na kundi la Taliban la Afghanistan na kusisitiza kuwa, amani ya kudumu nchini humo itapatikana tu kupitia mazungumzo ya Waafghani wenyewe kwa wenyewe na kushirikishwa makundi yote likiwemo la Taliban.

  • Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Dec 17, 2019 04:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito wa kuwekwa jina la walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina katika orodha ya magaidi.

  • Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Dec 13, 2019 06:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeikosoa Marekani kutokana na jinai zake dhidi ya ubinadamu na haki za binadamu katika maeneo mbalimbali ya dunia na imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS