Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Araghchi na Guterres wajadili migogoro ya Gaza, Yemen

    Araghchi na Guterres wajadili migogoro ya Gaza, Yemen

    Oct 21, 2025 11:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres wamefanya mazungumzo ya simu na kuzungumzia matukio ya kikanda ikiwemo hali ya Gaza na Yemen.

  • UN: Makubaliano ya amani ya Kongo na Rwanda 'hayaheshimiwi'

    UN: Makubaliano ya amani ya Kongo na Rwanda 'hayaheshimiwi'

    Oct 14, 2025 12:47

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda "hayaheshimiwi."

  • Umoja wa Mataifa wakaribisha taarifa ya Hamas kuhusu usitishaji vita Gaza

    Umoja wa Mataifa wakaribisha taarifa ya Hamas kuhusu usitishaji vita Gaza

    Oct 04, 2025 07:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas inayoonyesha utayarifu wake wa kuwaachilia mateka na kukubali kwa masharti mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Je, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limenasa katika mtego wa kura ya turufu?

    Je, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limenasa katika mtego wa kura ya turufu?

    Oct 01, 2025 02:32

    Haki ya kura ya turufu ni mojawapo ya masuala yenye utata kuhusu mamlaka ya wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran yalaani urejeshaji vikwazo vya UN vilivyokwisha muda wake uliofanywa na Marekani na Ulaya

    Iran yalaani urejeshaji vikwazo vya UN vilivyokwisha muda wake uliofanywa na Marekani na Ulaya

    Sep 30, 2025 07:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameikosoa Marekani na mataifa matatu ya Ulaya kwa kujaribu kutumia utaratibu wa 'snapback' wa makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 ili kurejesha tena vikwazo vilivyokwisha muda wake vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran: Wanachama wa UN hawana wajibu wa kuheshimu maazimio batili dhidi ya Tehran

    Iran: Wanachama wa UN hawana wajibu wa kuheshimu maazimio batili dhidi ya Tehran

    Sep 29, 2025 02:26

    Iran imesema madai yaliyotolewa na Marekani na nchi za Ulaya kuhalalisha kurejeshwa kwa maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi hii hayaziwajibishi nchi wanachama wa UN kuzingatia na kuheshimu hati za umoja huo zilizobatilishwa hapo awali.

  • Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza?

    Vipi Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limefikia natija ya kufanyika mauaji ya kimbari huko Gaza?

    Sep 29, 2025 02:16

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza hatua za Israel huko Gaza kuwa ni mfano wa kisheria wa "mauaji ya halaiki."

  • UN yaiwekea tena Iran vikwazo vilivyokuwa vimeondolewa kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia

    UN yaiwekea tena Iran vikwazo vilivyokuwa vimeondolewa kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia

    Sep 28, 2025 07:21

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeiwekea tena Iran vikwazo vilivyokuwa vimendolewa huko nyuma kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya 2015 katika hatua iliyochochewa na mataifa ya Ulaya bila sababu ya msingi ili kutia dosari miradi ya nyuklia ya Iran, huku baraza hilo likipuuza hatua ya nchi za Magharibi ya kuhujumu makubaliano hayo.

  • Kwa nini Trump anaishupalia jamii ya kimataifa iamini uwongo wake kuhusu Iran?

    Kwa nini Trump anaishupalia jamii ya kimataifa iamini uwongo wake kuhusu Iran?

    Sep 27, 2025 11:10

    Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri katika houba aliyoitoa katika Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa madai yake ya uwongo na yasiyo na msingi dhidi ya Iran.

  • UN, AU na EU zaahidi kushirikiana kwa ajili ya amani na maendeleo barani Afrika

    UN, AU na EU zaahidi kushirikiana kwa ajili ya amani na maendeleo barani Afrika

    Sep 23, 2025 02:57

    Viongozi wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika AU na Umoja wa Ulaya EU, wametilia mkazo tena dhamira yao ya kuendeleza amani na maendeleo endelevu barani Afrika, kwa kuahidi ushirikiano wa kina zaidi ili kukomesha migogoro, kuimarisha mnepo na kukabiliana na changamoto za kimataifa kuanzia madeni hadi mabadiliko ya tabianchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS