Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya

    Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya

    Jul 08, 2025 14:20

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa juu ya vifo vya watu zaidi ya 10 nchini Kenya, ambapo polisi na waandamanaji walikabiliana wakati wa maandamano ya kupinga sera za serikali ya nchi hiyo Jumatatu.

  • WFP yadondosha misaada Sudan Kusini kutokea angani kutokana na mapigano

    WFP yadondosha misaada Sudan Kusini kutokea angani kutokana na mapigano

    Jul 07, 2025 16:38

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, (WFP) limeanza kudondosha misaada ya dharura ya chakula kwa njia ya anga kwa maelfu ya familia katika Jimbo la Upper Nile nchini Sudan Kusini, ambako mapigano yaliyopamba moto tangu mwezi Machi mwaka huu yamewafanya watu walazimike kuhama makazi yao na kukaribia kuzitumbukiza baadhi ya jamii kwenye njaa ya kupindukia.

  • Araqchi akosoa kimya cha Baraza la Usalama kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran

    Araqchi akosoa kimya cha Baraza la Usalama kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran

    Jul 01, 2025 12:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kimya cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.

  • UN: Israel iruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo

    UN: Israel iruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo

    Jul 01, 2025 12:28

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel inapasa kurahisisha na kuruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo kupitia vivuko vilivyopo ili misaada ya haraka iwafikie wakazi wa ukanda huo.

  • Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?

    Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?

    Jun 16, 2025 07:21

    Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa ombi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel dhidi ya Iran, kwa mara nyingine tena kimefichua siasa za kundumakuwili za kimataifa na mapungufu makubwa yaliyoko katika muundo wa Baraza la Usalama.

  • Kamisheni ya UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza

    Kamisheni ya UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza

    Jun 11, 2025 07:19

    Tume huru ya Umoja wa Mataifa imeutuhumu utawala wa Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki kwa kuwashambulia raia wa Kipalestina wanaohifadhiwa katika shule na maeneo ya kidini huko Gaza.

  • UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC

    UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC

    Jun 07, 2025 06:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk amesema "amesikitishwa sana" na vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Gazeti la Israel: Trump anaweza wikiendi hii akatangaza makubaliano ya kumaliza vita Ghaza

    Gazeti la Israel: Trump anaweza wikiendi hii akatangaza makubaliano ya kumaliza vita Ghaza

    May 09, 2025 07:18

    Rais wa Marekani Donald Trump huenda wikiendi hii akatangaza rasimu ya makubaliano ambayo yatamaliza vita vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza. Hayo yameripotiwa na gazeti la Kizayuni la Israel Hayom.

  • UN yatuma salamu za pole na rambirambi kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko wa Bandar Abbas

    UN yatuma salamu za pole na rambirambi kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko wa Bandar Abbas

    Apr 27, 2025 07:43

    Umoja wa Mataifa umetuma salamu za pole kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Shahidi Rajaee kusini mwa Iran jana Jumamosi.

  • Kuendelea jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza mbele ya kimya cha wanaodai kutetea haki za binadamu

    Kuendelea jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza mbele ya kimya cha wanaodai kutetea haki za binadamu

    Apr 24, 2025 10:09

    Umoja wa Mataifa umesema kukwa umekumbwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza na kutahadharisha kuwa eneo hilo linapitia katika hali ngumu sana tangu kuanza vita dhidi ya ukanda huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS