-
Misri: Ni 'upuuzi' kuelezea kuhama kwa Wapalestina ni kwa hiari
Sep 06, 2025 22:54Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Misri, Badr Abdelatty, amesema kuwa, kuelezea uhamisho wa Wapalestina kama ni wa hiari ni “upuuzi.”
-
Katika Kesi ya mauaji ya Shakahola, mbinu za mchungaji Mackenzie zafichuliwa
Sep 06, 2025 22:53Kesi za muda mrefu za mchungaji Paul Mackenzie zinaendelea nchini Kenya, huku kesi zikisikizwa wiki hii katika mahakama ya watoto ya Tononoka mjini Mombasa, pwani ya Kenya.
-
Morocco yawa ya kwanza Afrika kukata tiketi ya kombe la Dunia 2026
Sep 06, 2025 22:52Timu ya taifa ya soka ya Morocco imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika kufuzu katika Kombe la Dunia la Fifa la 2026 baada ya kuicharaza Niger 5-0 .
-
Jeshi la Majini la Iran lipo Afrika Kusini kujadili luteka ijayo ya BRICS
Sep 06, 2025 08:31Mkutano wa kujadili mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya baharini ya nchi wanachama wa BRICS umefanyika katika mji bandari wa Cape Town nchini Afrika Kusini, kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi sita, ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ripoti: Mripuko wa kipindupindu umeua watu 113 nchini Chad
Sep 06, 2025 08:06Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Chad tangu mwezi Julai mwaka huu mpaka sasa imefikia 113.
-
Misri: Hatutakuwa lango la kupitishia Wapalestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao
Sep 06, 2025 03:14Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imelaani matamshi ya waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu na kusisitiza kuwa Misri haitakuwa lango la kupitishia wananchi wa Palestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao.
-
Uganda kutoa mafunzo ya kijeshi ya miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Sep 05, 2025 23:34Jeshi la Uganda UPDF litatoa mafunzo ya kijeshi ya muda wa miezi sita kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika Kati katika hatua ya kuisadia nchi hiyo kujenga upya jeshi lake baada ya miaka ya mingi ya kuvurugika kwa amani na utulivu nchini humo.
-
UN yaonya kuhusu uwezekano wa uhalifu wa kivita na dhidi ya binadamu DRC
Sep 05, 2025 23:31Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza Ijumaa kwamba makundi yenye silaha pamoja na vyombo vya dola katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), yamehusika katika ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaoweza kufikia kiwango cha uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu.
-
Maulidi ya Mtume SAW yaadhimishwa kwa sherehe kubwa Somalia, yatangazwa sikukuu rasmi ya kitaifa
Sep 05, 2025 11:15Maelfu ya Waislamu nchini Somalia jana Alkhamisi, waliandamana mitaani katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu kuadhimisha siku aliyozaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW, huku Wizara ya Kazi na Masuala ya Kijamii ikiitangaza kuwa ni sikukuu ya kitaifa na siku rasmi ya mapumziko kuadhimisha tukio hilo.
-
DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari
Sep 05, 2025 07:08Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mripuko mpya wa Ebola katika jimbo la kati la Kasai, ambalo ni la 16 nchini humo tangu 1976, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likitahadharisha kuwa huenda maambukizi ya maradhi hayo yakaongezeka.