-
Russia yalaani tishio jipya la Trump dhidi ya taasisi za nyuklia za Iran
Jul 31, 2025 04:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amelaani matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani na kusema: "Vitisho vya mara kwa mara dhidi ya Iran vya kufanya mashambulizi mapya ya makombora na kushambulia vituo vya nyuklia vya nchi hiyo vimeibua wasiwasi mkubwa."
-
Pezeshkian apongeza msimamo wa kishujaa wa Venezuela wakati wa vita vya Israel dhidi ya Iran
Jul 31, 2025 00:46Rais Masoud Pezeshkian amesifu msimamo wa wazi na wa kishujaa wa Venezuela katika kulaani uchokozi wa hivi karibuni wa Israel dhidi ya Iran, pamoja na kuonyesha mshikamano na taifa la Iran.
-
Bunge la Iran latoa wito wa kuvunjwa mzingiro wa chakula Gaza na kuzuia maafa ya binadamu
Jul 30, 2025 09:18Katika taarifa yao iliyotolewa mapema leo Jumatano, wajumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran wametaka kuvunjwa mzingiro wa chakula huko Gaza na kukomeshwa maafa makubwa ya binadamu katika eneo hilo.
-
Malengo halisi ya Magharibi kuhusu Iran ni yapi?
Jul 30, 2025 08:29Vyombo vya habari vya kigeni, sambamba na kuripoti kauli ya hivi karibuni ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, vimezingatia kwa namna ya kipekee sehemu ya hotuba yake ambapo amesisitiza kuwa: “Mpango wa nyuklia, urutubishaji na haki za binadamu ni visingizio – wanachotaka wao ni dini na elimu yenu.”
-
Qalibaf: Mauaji ya kimfumo ya Wapalestina huko Gaza yanakumbusha jinai za Wanazi
Jul 30, 2025 04:10Mohammad Baqer Qalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amelaani mauaji ya kimfumo ya Wapaletsina yanayotekelezwa na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kuwa yanakumbusha jinai zilizofanywa na Wanazi wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.
-
Imam Khamenei: Suala la nyuklia na haki za binadamu ni visingizio tu, Marekani haifurahishwi na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu
Jul 29, 2025 23:53Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, sababu kuu ya upinzani wa ubeberu wa dunia unaoongozwa na Marekani mtenda jinai dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ni dini, elimu na umoja wa Wairani chini ya kivuli cha Qur'ani Tukufu na Uislamu.
-
Kamanda Mkuu wa Majeshi la Iran: Hatuna imani kabisa na ahadi za Marekani na Israel
Jul 29, 2025 23:44Meja Jenerali Mousavi Kamanda Mkuu wa Majeshi la Iran amesema kuwa, hatuna imani na ahadi za Wamarekani na Wazayuni, na tumejitayarisha kikamilifu kukabiliana na uovu wao unaowezekana kufanywa upya.
-
Iran yaibuka kama mzalishaji mkuu wa valvu za moyo za tishu za binadamu
Jul 29, 2025 08:17Katika hatua kubwa ya kiteknolojia ya kitabibu, Iran imejipatia nafasi miongoni mwa nchi 10 bora duniani zinazozalisha valvu za moyo zinazotengenezwa kutokana na tishu za binadamu, mafanikio yanayoweza kuleta mapinduzi katika matibabu ya moyo kwa wagonjwa wanaohitaji kupandikizwa valvu hizo.
-
Iran yakanusha vikali madai ya Marekani kuhusu kuingilia mazungumzo ya kusitisha vita Gaza
Jul 29, 2025 08:07Esmaeil Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameyapinga vikali madai ya Marekani kuwa Iran imekuwa ikiingilia mazungumzo ya kusitisha mapigano huko Gaza, akiyataja madai hayo kuwa “yasiyo msingi wowote.”
-
Wizara ya Usalama ya Iran yaeleza ilivyopambana 'kimyakimya' kiintelijensia katika Vita vya Siku 12
Jul 29, 2025 03:31Wizara ya Usalama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ya ufafanuzi kuhusu jinsi ilivyopambana kimya kimya na NATO ya kiintelijensia ya madola ya Magharibi katika vita vya kulazimishwa vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala khabithi wa kizayuni.