-
Iran kujiunga na safu ya watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani
May 13, 2025 03:34Sambamba na maendeleo ya mradi wa uundaji wa ndege ya kwanza ya jet ya Iran ya kubeba abiria 8, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni itajiunga na kundi dogo la watengenezaji wa ndege za kibiashara duniani.
-
Mauzo ya tende za Iran nje ya nchi yapindukia dola milioni 205 kwa mwaka
May 13, 2025 01:05Iran iliuza tende zenye thamani ya zaidi ya dola milioni 205 katika mwaka wa kalenda wa Kiirani wa 1403 (uliomalizika Machi 20, 2025), kwa mujibu wa taarifa mpya kutoka Mamlaka ya Forodha ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRICA), ikionyesha nafasi imara ya nchi hii katika soko la kimataifa la tende.
-
"Iran imeazimia kweli kufikia makubaliano katika mazungumzo ya nyuklia"
May 12, 2025 07:43Rais wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko "jadi" katika mazungumzo yake yasiyo ya moja kwa moja na Marekani ili kufikia makubaliano yenye msingi wa amani, na kusisitiza azma ya Jamhuri ya Kiislamu ya kuendelea kutekeleza shughuli zake za amani za nyuklia.
-
Araqchi: Awamu ya nne wa mazungumzo na Marekani imekuwa makini zaidi kuliko nyingine
May 12, 2025 02:22Baada ya kumalizika duru ya nne ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Mazungumzo hayo yalikuwa mazito zaidi, yenye umakini zaidi, yaliyo wazi zaidi na yanayoangalia mbele zaidi kuliko duru tatu zilizopita."
-
Awamu ya nne ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani yafanyika Oman
May 11, 2025 09:33Awamu ya nne ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani imefanyika leo Jumapili, Mei 11, 2025 mjini Muscat kwa upatanishi wa Oman na kumshirikisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mjumbe maalumu wa rais wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Mafanikio ya Maendeleo ya Binadamu (HDI) ya Iran licha ya vikwazo
May 11, 2025 04:36Iran imeorodheshwa miongoni mwa nchi zenye Kiwango cha Juu cha Maendeleo ya Binadamu katika Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu ya 2025 ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).
-
Vipaumbele muhimu zaidi vya sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
May 11, 2025 04:29Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefafanua vipaumbele na masuala muhimu zaidi katika siasa za nje za Iran katika kikao cha Doha na pia katika vikao vingine na viongozi mbalimbali wa nchi za eneo.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wakutana Jeddah
May 11, 2025 00:48Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wamekutana kujadili masuala muhimu yanayohusu uhusiano wa pande mbili, pamoja na matukio ya kikanda na kimataifa.
-
Kiongozi Muadhamu atoa wito kwa dunia nzima kupinga uhalifu wa Israel na Marekani huko Gaza
May 10, 2025 08:52Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameutaka Ulimwengu wa Kiislamu kutoruhusu suala la Palestina lisahaulike akisisitiza ulazima wa kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
-
Ni vipi vipaumbele vya Iran katika Duru ya 4 ya Mkutano wa Mazungumzo kati ya Iran na Nchi za Kiarabu
May 10, 2025 08:02Duru ya 4 ya Mkutano wa Mazungumzo kati ya Iran na Nchi za Kiarabu chini ya anwani "Uhusiano Imara na Maslahi ya Pande Mbili" inafanyika Doha mji mkuu wa Qatar kwa ushirikiano wa pamoja wa Baraza la Kiistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran na Kituo cha Utafiti cha al Jazira.